CCM kuimaliza CHADEMA 2020

Baba jayaron

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
3,995
5,432
Habari wana JF...

Kweli siasa ni tamu hasa kwa wenye kipaji cha ushawishi wa hoja.

Leo asubuhi nimebahatika kuona kipindi cha mjadala star tv kikiwa mwishoni pakiwa na mada inayohusiana na Viwanda na kilimo sikumbuki mada iliandikwa vip lakini ili husu hoja hio.

Mchambuzi aliyekua na mtangazaji wa kiume alikua ni kijana mwenye kajinafasi ccm mkoa wa kagera au wilaya ya Bukoba,
Huyu kijana alijitahidi saana kukomaa na hoja kwakutetea yale ambayo serikali ya awamu hii wanafanya na hata kama yaliyo feli yeye alikua na sababu ambayo hakuhusisha serikali na lawama ziliekea kwa wananchi na wapinzani..

Kiukweli alikua anajiamni kiasi cha kumshawishi mtu mwepesi na kuamini kinachoendelea!!! (sina maana ni mabaya matupu) hii imenidhibitisha kwakua palikua namtu ambaye amekua akifuata mkumbo wa kumpinga na kukosoa anayoyafanya mh rais wetu.

Na nilipokua kazini wakati wa mapumziko ya mchana tukipata chakula sehemu fulani paliibuka mjadala juu ya mwenendo wa uchumi na siasa ya nchi yetu, palikua na mtu mmoja bana alikomaa kuitetea serikali kiasi ambacho aliweza kuwashawishi walejamaa mpaka wakabaki bila hoja.

Nikafikiria kwamba ccm bado inanafasi kuubwa saana kuongoza nchi hii kama itapata wanasiasa wazuri wenye ushawishi wa hoja kufikia uwezo wa kuhalalisha hata jambo lililofeli au lenye matokeo mabaya. (si halalishi ufedhuli)

Wakati huu Chadema wakiisumbua serikali ya ccm kwa hoja za udikteta uchwara, mkwamo wa kiuchumi, usalama wa raia na viongozi, matumizi mabovu ya matamshi pamoja na maamuzi yasiyo na tija nadhani kama ccm ikiamua kuwatumia wanachama wajenga hoja na wataalamu wa propaganda hakika Chedema hawatopata kiti hata kimoja bungeni wala huruma na wananchi.

Dodoma msifanye makosa.
Tumuokoe rais wetu
Mimi ni mzalendo.
 
Habari wana JF...

Kweli siasa ni tamu hasa kwa wenye kipaji cha ushawishi wa hoja.

Leo asubuhi nimebahatika kuona kipindi cha mjadala star tv kikiwa mwishoni pakiwa na mada inayohusiana na Viwanda na kilimo sikumbuki mada iliandikwa vip lakini ili husu hoja hio.

Mchambuzi aliyekua na mtangazaji wa kiume alikua ni kijana mwenye kajinafasi ccm mkoa wa kagera au wilaya ya Bukoba,
Huyu kijana alijitahidi saana kukomaa na hoja kwakutetea yale ambayo serikali ya awamu hii wanafanya na hata kama yaliyo feli yeye alikua na sababu ambayo hakuhusisha serikali na lawama ziliekea kwa wananchi na wapinzani..

Kiukweli alikua anajiamni kiasi cha kumshawishi mtu mwepesi na kuamini kinachoendelea!!! (sina maana ni mabaya matupu) hii imenidhibitisha kwakua palikua namtu ambaye amekua akifuata mkumbo wa kumpinga na kukosoa anayoyafanya mh rais wetu.

Na nilipokua kazini wakati wa mapumziko ya mchana tukipata chakula sehemu fulani paliibuka mjadala juu ya mwenendo wa uchumi na siasa ya nchi yetu, palikua na mtu mmoja bana alikomaa kuitetea serikali kiasi ambacho aliweza kuwashawishi walejamaa mpaka wakabaki bila hoja.

Nikafikiria kwamba ccm bado inanafasi kuubwa saana kuongoza nchi hii kama itapata wanasiasa wazuri wenye ushawishi wa hoja kufikia uwezo wa kuhalalisha hata jambo lililofeli au lenye matokeo mabaya. (si halalishi ufedhuli)

Wakati huu Chadema wakiisumbua serikali ya ccm kwa hoja za udikteta uchwara, mkwamo wa kiuchumi, usalama wa raia na viongozi, matumizi mabovu ya matamshi pamoja na maamuzi yasiyo na tija nadhani kama ccm ikiamua kuwatumia wanachama wajenga hoja na wataalamu wa propaganda hakika Chedema hawatopata kiti hata kimoja bungeni wala huruma na wananchi.

Dodoma msifanye makosa.
Tumuokoe rais wetu
Mimi ni mzalendo.
Futa huu uzi Ndugu..
The whole content is absolutely RUBBISH..
Shame.
 
Hebu mwambieni huyo jamaa aruhusu mijadala iliyo huru inayowakosoa asitumie police kunyamazisha watu!! Unapojisifu kwa kuwa na siasa za upande moja lazima uwe zezeta wa kutokuona ukweli
 
Mtu kama huyu unaweza ukashangaa kuna sehemu anaheshimika kabisa na anaitwa akatoe maoni!
 
Unajua ni kwanini Magu amezuia wapinzani wasifanye siasa isipokuwa CCM pekee?

Usinipe jibu.
 
Waziri wa ujenzi awa rais huko Tanganyika. Tutajenga mabarabara nchi nzima.
 
mshsngao wetu sisi kina gogo la shamba ni pale tunapoona ccm ambayo ndio waasisi wa viwanda hawana kiwanda hata kimoja alafu wao ccm wanashangaa chadema kutokuwa na kiwanda
 
Habari wana JF...

Kweli siasa ni tamu hasa kwa wenye kipaji cha ushawishi wa hoja.

Leo asubuhi nimebahatika kuona kipindi cha mjadala star tv kikiwa mwishoni pakiwa na mada inayohusiana na Viwanda na kilimo sikumbuki mada iliandikwa vip lakini ili husu hoja hio.

Mchambuzi aliyekua na mtangazaji wa kiume alikua ni kijana mwenye kajinafasi ccm mkoa wa kagera au wilaya ya Bukoba,
Huyu kijana alijitahidi saana kukomaa na hoja kwakutetea yale ambayo serikali ya awamu hii wanafanya na hata kama yaliyo feli yeye alikua na sababu ambayo hakuhusisha serikali na lawama ziliekea kwa wananchi na wapinzani..

Kiukweli alikua anajiamni kiasi cha kumshawishi mtu mwepesi na kuamini kinachoendelea!!! (sina maana ni mabaya matupu) hii imenidhibitisha kwakua palikua namtu ambaye amekua akifuata mkumbo wa kumpinga na kukosoa anayoyafanya mh rais wetu.

Na nilipokua kazini wakati wa mapumziko ya mchana tukipata chakula sehemu fulani paliibuka mjadala juu ya mwenendo wa uchumi na siasa ya nchi yetu, palikua na mtu mmoja bana alikomaa kuitetea serikali kiasi ambacho aliweza kuwashawishi walejamaa mpaka wakabaki bila hoja.

Nikafikiria kwamba ccm bado inanafasi kuubwa saana kuongoza nchi hii kama itapata wanasiasa wazuri wenye ushawishi wa hoja kufikia uwezo wa kuhalalisha hata jambo lililofeli au lenye matokeo mabaya. (si halalishi ufedhuli)

Wakati huu Chadema wakiisumbua serikali ya ccm kwa hoja za udikteta uchwara, mkwamo wa kiuchumi, usalama wa raia na viongozi, matumizi mabovu ya matamshi pamoja na maamuzi yasiyo na tija nadhani kama ccm ikiamua kuwatumia wanachama wajenga hoja na wataalamu wa propaganda hakika Chedema hawatopata kiti hata kimoja bungeni wala huruma na wananchi.

Dodoma msifanye makosa.
Tumuokoe rais wetu
Mimi ni mzalendo.
Ni wapi ulipokengeuka na kuacha Imani hii leo unataabika?
 
Habari wana JF...

Kweli siasa ni tamu hasa kwa wenye kipaji cha ushawishi wa hoja.

Leo asubuhi nimebahatika kuona kipindi cha mjadala star tv kikiwa mwishoni pakiwa na mada inayohusiana na Viwanda na kilimo sikumbuki mada iliandikwa vip lakini ili husu hoja hio.

Mchambuzi aliyekua na mtangazaji wa kiume alikua ni kijana mwenye kajinafasi ccm mkoa wa kagera au wilaya ya Bukoba,
Huyu kijana alijitahidi saana kukomaa na hoja kwakutetea yale ambayo serikali ya awamu hii wanafanya na hata kama yaliyo feli yeye alikua na sababu ambayo hakuhusisha serikali na lawama ziliekea kwa wananchi na wapinzani..

Kiukweli alikua anajiamni kiasi cha kumshawishi mtu mwepesi na kuamini kinachoendelea!!! (sina maana ni mabaya matupu) hii imenidhibitisha kwakua palikua namtu ambaye amekua akifuata mkumbo wa kumpinga na kukosoa anayoyafanya mh rais wetu.

Na nilipokua kazini wakati wa mapumziko ya mchana tukipata chakula sehemu fulani paliibuka mjadala juu ya mwenendo wa uchumi na siasa ya nchi yetu, palikua na mtu mmoja bana alikomaa kuitetea serikali kiasi ambacho aliweza kuwashawishi walejamaa mpaka wakabaki bila hoja.

Nikafikiria kwamba ccm bado inanafasi kuubwa saana kuongoza nchi hii kama itapata wanasiasa wazuri wenye ushawishi wa hoja kufikia uwezo wa kuhalalisha hata jambo lililofeli au lenye matokeo mabaya. (si halalishi ufedhuli)

Wakati huu Chadema wakiisumbua serikali ya ccm kwa hoja za udikteta uchwara, mkwamo wa kiuchumi, usalama wa raia na viongozi, matumizi mabovu ya matamshi pamoja na maamuzi yasiyo na tija nadhani kama ccm ikiamua kuwatumia wanachama wajenga hoja na wataalamu wa propaganda hakika Chedema hawatopata kiti hata kimoja bungeni wala huruma na wananchi.

Dodoma msifanye makosa.
Tumuokoe rais wetu
Mimi ni mzalendo.
Chadema ife kwa mbinu uchwara hizi za kuwabambikia ubunge kina Mdee , kuwafanyia ugaidi na rushwa , tatizo la maccm kwenye mbinu na mipango yao ni maziro brain .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom