wakuu,
Taarifa zilizotufikia humu jamvini ni JK (mwenyekiti wa CCM) Kulalamika kuwa CCM kuendelea kutegemea wafadhili matajiri ni kuhatarisha uhuru wa chama. Maswali ya kujiuliza hapa ni kuwa,
1. CCM kama chama kinachounda serikali kimelinda maslahi mangapi ya hawa matajiri kwa kukosa kwao uhuru?
2. Je, CCM ilikuwa wapi siku zote mpaka leo ndiyo iamke usingizini na kujua hai
3. Kimya hiki cha CCM kilichosababisha matajiri kupoka uhuru wa chama na kuzidi kujinufaisha si usaliti kwa wananchi masikini?
Taarifa zilizotufikia humu jamvini ni JK (mwenyekiti wa CCM) Kulalamika kuwa CCM kuendelea kutegemea wafadhili matajiri ni kuhatarisha uhuru wa chama. Maswali ya kujiuliza hapa ni kuwa,
1. CCM kama chama kinachounda serikali kimelinda maslahi mangapi ya hawa matajiri kwa kukosa kwao uhuru?
2. Je, CCM ilikuwa wapi siku zote mpaka leo ndiyo iamke usingizini na kujua hai
3. Kimya hiki cha CCM kilichosababisha matajiri kupoka uhuru wa chama na kuzidi kujinufaisha si usaliti kwa wananchi masikini?