Elections 2010 CCM Kuharibu Uchaguzi 2010

Kamende

JF-Expert Member
Mar 1, 2008
416
45
Wakuu habari za jioni

NInawaletea habari zilizotua kwenye meza yangu kutoka kwenye source ya ndani kabisa ya CCM anayehusishwa mipango muhimu lakini asiyependa kutekelezwa kwa hila hizo za Chama Cha Mafisadi.

CCM wameorodhesha mikoa ambayo hawawezi kushinda na tayari wamekwishapeleka vijana wa kazi katika mikoa hiyo. Vijana hawa ni wale waliopewa mafunzo kule Iringa na Msinga mkoani Kilimanjaro. Kazi yao ni pamoja na kuingia kwenye vituo vya kupigia kura wakijifanya viongozi wa Tume ya Uchaguzi.

Mwanzoni watapita wakiuliza hali ya vituo na baadaye watakuja kutoa maagizo vituo hivyo vifungwe kwa sababu mbalimbali. Lengo la magizo haya ni kusababisha fujo ambayo itahalalisha kufungwa kwa vituo ukweli na hivyo kuharibu uchaguzi.

NIna taarifa kuwa mikoa ya Arusha, Dar es salaam, Kilimanjaro na Mwanza vijana hawa wamekwisha kufikishwa kwenye wilaya ambazo watafanya kazi. Mathalan katika mkoa wa Kilimanjaro vijana hawa wamekwishawasili katika majimbo ya Rombo, Mshi Mjini, Hai, Siha Same zote na Moshi Vijijini.

Kama hawatadhibitiwa mapema kwa hakika uchaguzi utaharibika na Kikwete atanusurika kipigo cha aibu.

Wajameni tutoe habari hii kwa umma ili kuivujisha isitekelezeke.

CCM!!!
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!!!!
 
Khe khe mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza. Nchi hii walikuwepo wakoloni wakashindwa itakuwa mkwere?

 
Mimi naomba kuwaonya kabisa kwenye kituo changu wasije maana sitakubaliana nao, vijana wengi tunaotaka mabadiliko tumeshaamua tutakuwepo kituoni kuanzia kinafunguliwa mpaka majibu yatakapobandikwa kulinda kura zetu.
 
Wakuu habari za jioni

NInawaletea habari zilizotua kwenye meza yangu kutoka kwenye source ya ndani kabisa ya CCM anayehusishwa mipango muhimu lakini asiyependa kutekelezwa kwa hila hizo za Chama Cha Mafisadi.

CCM wameorodhesha mikoa ambayo hawawezi kushinda na tayari wamekwishapeleka vijana wa kazi katika mikoa hiyo. Vijana hawa ni wale waliopewa mafunzo kule Iringa na Msinga mkoani Kilimanjaro. Kazi yao ni pamoja na kuingia kwenye vituo vya kupigia kura wakijifanya viongozi wa Tume ya Uchaguzi.

Mwanzoni watapita wakiuliza hali ya vituo na baadaye watakuja kutoa maagizo vituo hivyo vifungwe kwa sababu mbalimbali. Lengo la magizo haya ni kusababisha fujo ambayo itahalalisha kufungwa kwa vituo ukweli na hivyo kuharibu uchaguzi.

NIna taarifa kuwa mikoa ya Arusha, Dar es salaam, Kilimanjaro na Mwanza vijana hawa wamekwisha kufikishwa kwenye wilaya ambazo watafanya kazi. Mathalan katika mkoa wa Kilimanjaro vijana hawa wamekwishawasili katika majimbo ya Rombo, Mshi Mjini, Hai, Siha Same zote na Moshi Vijijini.

Kama hawatadhibitiwa mapema kwa hakika uchaguzi utaharibika na Kikwete atanusurika kipigo cha aibu.

Wajameni tutoe habari hii kwa umma ili kuivujisha isitekelezeke.

CCM!!!
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!!!!

KAka Kamende,

Yote hapo juu siwezi sema kitu maana everything s possible...Lakini hili la amani yenu ni ipi na mambo mnayoendeleza huko HAI na kwengineko? Vipi kaka sauti za kilio mapema, hali imegeuka nini?

Kamende huna haki ya kuongelea kuvunjika kwa amani kwani nawe ni sehemu ya kuvunjika huko na unajua hilo.....
 
Na amani ina anzia kwa mtu rohoni na wala si risasi. nani anataka mtutu? ila ikibidi kweny kulinda haki zetu pale tutakapoona tunaibiwa sauti ya umma inatosha kuwanyamazisha mafisadi! Hata mawe yatatuunga mkono na hawa majambazi wa thitiem!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama habari hizi ni za kweli basi wahue kuwa NEC itakuwa imehalalisha uvunjivu wa amani ili kulinda maslahi ya CCM. Lakini naamini Nguvu ya Mungu itashinda na hao vibweka watashindwa kwa jina la Jehova.
 
Back
Top Bottom