CCM Kugawanyika?

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
E Lowassa kujitenga na timu yake CCM-Mtandao?Akigombea urais 2010 atapita?

R.Aziz,Bw. Nazir Karamagi Dk. Ibrahim Msabaha,Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ,Joseph Mungai,Bw. Basil Mramba, Zakia Meghji ,Dk. Juma Ngasongwa ,Anthony Diallo,Bw. Harith Bakari Mwapachu,Ritha Mlaki, Dk. Charles Mlingwa , Abdissalaam Issa Khatib , Ludovick Mwananzila,Dk. Luka Siyame,Gaudence Kayombo ,Zabein Mhita na Daniel Nsanzugwanko.
 
E Lowassa kujitenga na timu yake CCM-Mtandao?Akigombea urais 2010 atapita?

R.Aziz,Bw. Nazir Karamagi Dk. Ibrahim Msabaha,Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ,Joseph Mungai,Bw. Basil Mramba, Zakia Meghji ,Dk. Juma Ngasongwa ,Anthony Diallo,Bw. Harith Bakari Mwapachu,Ritha Mlaki, Dk. Charles Mlingwa , Abdissalaam Issa Khatib , Ludovick Mwananzila,Dk. Luka Siyame,Gaudence Kayombo ,Zabein Mhita na Daniel Nsanzugwanko.

Wacha alinacha zako! Watanzania sio wajinga kiasi hicho. CCM kimeshajulikana kama ni chama cha mafisadi na hao uliowataja hapo juu wameshakuwa history katika anga za siasa watafute shughuli nyingine ya kufanya.
 
Wacha alinacha zako! Watanzania sio wajinga kiasi hicho. CCM kimeshajulikana kama ni chama cha mafisadi na hao uliowataja hapo juu wameshakuwa history katika anga za siasa watafute shughuli nyingine ya kufanya.

Nakubaliana nawe Bubu huyu jamaa msitahiki ni mzushi tu kila mara .
 
Wacha alinacha zako! Watanzania sio wajinga kiasi hicho. CCM kimeshajulikana kama ni chama cha mafisadi na hao uliowataja hapo juu wameshakuwa history katika anga za siasa watafute shughuli nyingine ya kufanya.

jee unajua kuwa CHADEMA

NI CHAMA CHA DOMO KAYA NA ENDELEZO LA MAJUNGU
 
jee unajua kuwa CHADEMA

NI CHAMA CHA DOMO KAYA NA ENDELEZO LA MAJUNGU

haya ndiyo maneno ambayo viongozi wa ccm waliyasema kuhusu CHADEMA wakati kashfa za BoT, richmonduli, buzwagi, nk zimeanza kushikiwa bango na CHADEMA.

Lowasa alianzisha kampeni nchi nzima ya kuwaambiwa wananchi kuwa chadema ni chama cha domo kaya na endelezo la majungu oooppppsss kumbe haya ndiyo maneno umetumia hapa?!

Nadhani sasa hivi nchi hiyo inayojulikana kama Tanzania imethibitishiwa kwa uwazi kabisa kuwa ni chama kipi kati ya ccm na chadema ni cha majungu na domo kaya na UFISADI
 
Kama Lowasa ana washauri wazuri ni vema aachie na ubunge pia. Kwa hali ilivyo sasa hivi, itabidi Lowasa awe na ujasiri wa kiibilisi kuweza kusimama bungeni na kuchangia mjadala wowote utakaokuwa unaendelea. Kwa waliomwona siku analalama kabla hajatangaza kuwa amemwomba Rais ajiuzulu, midomo ilimkauka kabisa na kama si Sitta kuingilia kati kumwokoa baada ya Seleli kumtaka athibitshe magazeti ya udaku yaliyotumika kama ushahidi, huyu mzee alikuwa anakwenda kuanguka chini.
Hata hawa wanaompamba sasa hivi kuwa alikuwa hodari na sifa nyingi asizostahili soon wataachana naye.
 
jee unajua kuwa CHADEMA

NI CHAMA CHA DOMO KAYA NA ENDELEZO LA MAJUNGU

Mtu wa Pwani,
I like it, nadhani umeamua kuvunja ukimya. Mimi binafsi nachukizwa na huu mtandao wa uliopo humu ndani ya JF. Nafikia mahali napata hisia labda JF imetiwa mfukoni mwa CHADEMA na huenda ni mfadhili mkubwa wa JF.
Kuna ufisadi mkubwa sana unafanywa na baadhi ya JF members humu ndani tena kwa baraka za PainKiller.
Kwa mfano, fuatilia postings za Mstahiki jinsi zinavyoyumbishwa.
 
Tehe tehe tehe!
wanaweza kugawanyika wakipenda, kwa sasa hoja ya msingi ni; tuwafanye nini hawa mafisadi tuliowakamata? Naogopa isije ikawa kashfa zote zilizoko ktk orodha ni hao hao. Ni vema Muungwana akasikia kilio chetu hawa jamaa wafilisiwe. Baada ya hapo ndio waanze kugawanyika kuunda NGO zao
 
E Lowassa kujitenga na timu yake CCM-Mtandao?Akigombea urais 2010 atapita?

R.Aziz,Bw. Nazir Karamagi Dk. Ibrahim Msabaha,Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ,Joseph Mungai,Bw. Basil Mramba, Zakia Meghji ,Dk. Juma Ngasongwa ,Anthony Diallo,Bw. Harith Bakari Mwapachu,Ritha Mlaki, Dk. Charles Mlingwa , Abdissalaam Issa Khatib , Ludovick Mwananzila,Dk. Luka Siyame,Gaudence Kayombo ,Zabein Mhita na Daniel Nsanzugwanko.

Hawa wote ni "SPENT FORCE", wamekuwa Redundant in politics. Hata waliobaki nao ni walewale tu ufisadi mtindo mmoja. Chama Cha Mafisadi, Chukua Chako Mapema, Chama Cha Magabachori. Kwa mtindo huu hata JK hachomoki; Time will tell.
 
Mtu wa Pwani,
I like it, nadhani umeamua kuvunja ukimya. Mimi binafsi nachukizwa na huu mtandao wa uliopo humu ndani ya JF. Nafikia mahali napata hisia labda JF imetiwa mfukoni mwa CHADEMA na huenda ni mfadhili mkubwa wa JF.
Kuna ufisadi mkubwa sana unafanywa na baadhi ya JF members humu ndani tena kwa baraka za PainKiller.
Kwa mfano, fuatilia postings za Mstahiki jinsi zinavyoyumbishwa.

Naona unaufurahia ule mtandao wa JK, Karamagi, EL, RA n.k. katika kutafuna pesa ya walipa kodi ambayo wewe huipati unaambulia peremende. JF kuwa mtandao wa CHADEMA hilo limesemwa sana tu hapa na wala sio geni. Wanapoishiwa hoja huleta viroja.

Nyani atakomwa hapa hadi giladi.
 
Kama Lowasa ana washauri wazuri ni vema aachie na ubunge pia. Kwa hali ilivyo sasa hivi, itabidi Lowasa awe na ujasiri wa kiibilisi kuweza kusimama bungeni na kuchangia mjadala wowote utakaokuwa unaendelea. Kwa waliomwona siku analalama kabla hajatangaza kuwa amemwomba Rais ajiuzulu, midomo ilimkauka kabisa na kama si Sitta kuingilia kati kumwokoa baada ya Seleli kumtaka athibitshe magazeti ya udaku yaliyotumika kama ushahidi, huyu mzee alikuwa anakwenda kuanguka chini.
Hata hawa wanaompamba sasa hivi kuwa alikuwa hodari na sifa nyingi asizostahili soon wataachana naye.

Mkuu Gee,

Hoja nzito hii, keep it up!
 
Mtu wa Pwani,
I like it, nadhani umeamua kuvunja ukimya. Mimi binafsi nachukizwa na huu mtandao wa uliopo humu ndani ya JF. Nafikia mahali napata hisia labda JF imetiwa mfukoni mwa CHADEMA na huenda ni mfadhili mkubwa wa JF.
Kuna ufisadi mkubwa sana unafanywa na baadhi ya JF members humu ndani tena kwa baraka za PainKiller.
Kwa mfano, fuatilia postings za Mstahiki jinsi zinavyoyumbishwa.

UFISADI GANI UPO JF? NANI AMETUROGA SISI WADANGANYIKA HATA TUNAFANANISHA MIJADALA YA KUMKOMBOA MLALAHOI NA UFISADI KAMA WA IPTL; NETGROUP SOLN, RICHMONDULI, BoT; NBC; CITY WATER; SONGAS; KIWIRA; UKARABATI UKULU(KILA MWAKA BILLIONS OF SHILLINGS). I BELIEVE SOME PEOPLE DON'T HAVE CONSCIENCE, NDIYO MAANA WANAANDIKA KUWAFURAHISHA WALIOWATUMA HATA KAMA NDUGU ZAO WADANGANYIKA WANAKUFA HOSPITALINI KWA KUKOSA MADAWA, AJIRA MILIONI ZIMEGEUKA KITENDAWILI KWA SABABU BEI YA UMEME IMEKWENDA JUU NA WATU WAMEAMUA KUSALIMU AMRI. NAISUBIRI KWA HAMU SIKU ILE MDANGANYIKA ATAKAPOSEMA AMECHOKA, HATA SHOOT TO KILL HAITAZUIA UPEPO WA MABADILIKO. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
E Lowassa kujitenga na timu yake CCM-Mtandao?Akigombea urais 2010 atapita?

R.Aziz,Bw. Nazir Karamagi Dk. Ibrahim Msabaha,Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ,Joseph Mungai,Bw. Basil Mramba, Zakia Meghji ,Dk. Juma Ngasongwa ,Anthony Diallo,Bw. Harith Bakari Mwapachu,Ritha Mlaki, Dk. Charles Mlingwa , Abdissalaam Issa Khatib , Ludovick Mwananzila,Dk. Luka Siyame,Gaudence Kayombo ,Zabein Mhita na Daniel Nsanzugwanko.

33pbhue.jpg
 
Lowassa, R.Aziz, Nazir Karamagi, Dk. Ibrahim Msabaha, Kingunge Ngombale Mwiru, Joseph Mungai, Basil Mramba, Zakia Meghji, Dk. Juma Ngasongwa, Anthony Diallo, Harith Bakari Mwapachu, Ritha Mlaki, Dk. Charles Mlingwa , Abdissalaam Issa Khatib , Ludovick Mwananzila, Dk. Luka Siyame, Gaudence Kayombo, Zabein Mhita na Daniel Nsanzugwanko.

Hawa wote ni Mamillionea waliotengenezwa kama ilani ya chama tawala ilivyosema..hata hivyo bado lengo ni tunahitaji mamillionea 100 by 2010, ktk jitihada za kuondoa Umaskini Tanzania.
 
Mugo"The Great";142946 said:
UFISADI GANI UPO JF? NANI AMETUROGA SISI WADANGANYIKA HATA TUNAFANANISHA MIJADALA YA KUMKOMBOA MLALAHOI NA UFISADI KAMA WA IPTL; NETGROUP SOLN, RICHMONDULI, BoT; NBC; CITY WATER; SONGAS; KIWIRA; UKARABATI UKULU(KILA MWAKA BILLIONS OF SHILLINGS). I BELIEVE SOME PEOPLE DON'T HAVE CONSCIENCE, NDIYO MAANA WANAANDIKA KUWAFURAHISHA WALIOWATUMA HATA KAMA NDUGU ZAO WADANGANYIKA WANAKUFA HOSPITALINI KWA KUKOSA MADAWA, AJIRA MILIONI ZIMEGEUKA KITENDAWILI KWA SABABU BEI YA UMEME IMEKWENDA JUU NA WATU WAMEAMUA KUSALIMU AMRI. NAISUBIRI KWA HAMU SIKU ILE MDANGANYIKA ATAKAPOSEMA AMECHOKA, HATA SHOOT TO KILL HAITAZUIA UPEPO WA MABADILIKO. MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Thank you! you made my day....that is why I love and addicted with JF...because of people like you who always say NOTHING but the TRUTH!
 
Mtu wa Pwani,
I like it, nadhani umeamua kuvunja ukimya. Mimi binafsi nachukizwa na huu mtandao wa uliopo humu ndani ya JF. Nafikia mahali napata hisia labda JF imetiwa mfukoni mwa CHADEMA na huenda ni mfadhili mkubwa wa JF.
Kuna ufisadi mkubwa sana unafanywa na baadhi ya JF members humu ndani tena kwa baraka za PainKiller.
Kwa mfano, fuatilia postings za Mstahiki jinsi zinavyoyumbishwa.


Aksante sana Mwanangu umeliona hilo..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom