CCM: Kufikia Disemba 2022 Vijiji vyote nchini lazima viwe na umeme

Umeme upi sasa? kama mijini tu huo umeme haupo,huko vijijini utafikaje?
 
Vitakuwa na umeme au miundombinu ya umeme?
Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.

Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.
 
Usaliti kwa taifa ni tafsiri iliyoko kwa viongozi wa CCM dhidi ya viongozi wa upinzani. Lakini mikataba yote mibovu ambayo ni hatari ya kweli kwa taifa wameingia viongozi wa CCM, na hakuna wa kuwagusa. Uza ubongo huo kaka.
ncept ya amani na usalama wa nchi sidhani kama inatafsiriwi hivyo. Hata Marekani vitisho vya usalama wa mtu mmoja mmoja vipo. Na kuna factors nyingi; labda chuki binafsi za kibiashara, uhusiano wa hali ya ndoa na mpenzi au usaliti kwa Taifa.

Nazungumzia mfumo wa ulinzi na usalama wa nchi unaotabirika. Na usiseme Watanzania ni wapole; mosi, Watanzania wengi wana akili sana huwezi kuwashawishi wavuruge amani na usalama wa nchi yao wakati wanajua hawana nchi nyingine kukimbilia.

Pili, amani na usalama kwa Tanzania ni matunda mazuri ya vyombo vyetu vya dola. Usidhani ipo tu nchi inalindwa. Wapo waliotamani, wanaotamani na watakaotamani kuivuruga nchi lakini walizimwa na wataendelea kuzimwa.

Miaka 60 ya Uhuru tuonyeshe ukomavu wa kutafuta suluhu ya changamoto zetu kwa mazungumzo ya upendo na amani. Tuache NONGWA.
 
Usaliti kwa taifa ni tafsiri iliyoko kwa viongozi wa CCM dhidi ya viongozi wa upinzani. Lakini mikataba yote mibovu ambayo ni hatari ya kweli kwa taifa wameingia viongozi wa CCM, na hakuna wa kuwagusa. Uza ubongo huo kaka.
Maana ya usaliti umeielewa. Hizo nyingine zako ni porojo tu.
 
Hiyo siyo hoja, atwambie walau kila kitongoji kitakuwa na umeme ila kusema kila kijiji ni ngonjera ambazo tumezizoea
 
Shida siyo umeme kufika vijiji vyote bali wazungumzie idadi ya watanzania kuunganishwa na umeme huko vijijini.

Umeme unapelekwa kwenye taasis za serikali tu huko vijijini halafu unajisifu kuunganisha vijiji vyote!
Yaani hii ni kero kubwa sana, sijui rais hajui kuwa watu huko vijijini watu hawana umeme bali ni kwenye sehemu chache tuu
 
Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.

Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.
Ccm huwa wanatufanya mazuzu sana, kipindi cha uchaguzi walituambia umeme ipo vijiji vyote Tanzani, sasa hii ya kutuambia kufika 2022 umeme utakua vijiji vyote, labda kama kuna vijiji vipya
 

Ataamini huyu na wengineo wengi..
 
Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.

Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.
Bwawa la Mwl Nyerere limeshaanza kujazwa maji kama ilivyoahidiwa?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom