Matapeli hao na hawaaminiki kwa chochote.Mwaka 1990 ccm walisema,kufika mwaka 2000,shida ya maji TANZANIA itakuwa ni historia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli hao na hawaaminiki kwa chochote.Mwaka 1990 ccm walisema,kufika mwaka 2000,shida ya maji TANZANIA itakuwa ni historia.
ongezea na wengine, lengo langu ni kuonyesha kuwa amani inayosemwa huenda haipo kihivyoKwa nini umemruka Chacha Wangwe?
Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.
Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.
ncept ya amani na usalama wa nchi sidhani kama inatafsiriwi hivyo. Hata Marekani vitisho vya usalama wa mtu mmoja mmoja vipo. Na kuna factors nyingi; labda chuki binafsi za kibiashara, uhusiano wa hali ya ndoa na mpenzi au usaliti kwa Taifa.
Nazungumzia mfumo wa ulinzi na usalama wa nchi unaotabirika. Na usiseme Watanzania ni wapole; mosi, Watanzania wengi wana akili sana huwezi kuwashawishi wavuruge amani na usalama wa nchi yao wakati wanajua hawana nchi nyingine kukimbilia.
Pili, amani na usalama kwa Tanzania ni matunda mazuri ya vyombo vyetu vya dola. Usidhani ipo tu nchi inalindwa. Wapo waliotamani, wanaotamani na watakaotamani kuivuruga nchi lakini walizimwa na wataendelea kuzimwa.
Miaka 60 ya Uhuru tuonyeshe ukomavu wa kutafuta suluhu ya changamoto zetu kwa mazungumzo ya upendo na amani. Tuache NONGWA.
Maana ya usaliti umeielewa. Hizo nyingine zako ni porojo tu.Usaliti kwa taifa ni tafsiri iliyoko kwa viongozi wa CCM dhidi ya viongozi wa upinzani. Lakini mikataba yote mibovu ambayo ni hatari ya kweli kwa taifa wameingia viongozi wa CCM, na hakuna wa kuwagusa. Uza ubongo huo kaka.
Waziri asipopewa fedha za kukamilisha miradi inakuaje mh. SG wa CCM?!Waseme ukweli tu kuwa mpaka 2022 vijiji vyote viwe na nguzo za umeme na siyo umeme
Maana ya usaliti umeielewa. Hizo nyingine zako ni porojo tu.
Yaani hii ni kero kubwa sana, sijui rais hajui kuwa watu huko vijijini watu hawana umeme bali ni kwenye sehemu chache tuuShida siyo umeme kufika vijiji vyote bali wazungumzie idadi ya watanzania kuunganishwa na umeme huko vijijini.
Umeme unapelekwa kwenye taasis za serikali tu huko vijijini halafu unajisifu kuunganisha vijiji vyote!
Ccm huwa wanatufanya mazuzu sana, kipindi cha uchaguzi walituambia umeme ipo vijiji vyote Tanzani, sasa hii ya kutuambia kufika 2022 umeme utakua vijiji vyote, labda kama kuna vijiji vipyaKatibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.
Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.
Bwawa la Mwl Nyerere limeshaanza kujazwa maji kama ilivyoahidiwa?Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.
Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.