Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo leo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya CCM kwa miaka 60 amesema kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya 2020 - 2025 imeelekeza kuwa kufikia mwezi wa 12 mwaka 2022 vijiji vyote nchini Tanzania lazima viwe na umeme na waziri atakayeshindwa kufikia hilo lengo atawajibishwa mara moja.
Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.
Chongolo amebainisha kuwa mpaka sasa hakuna mkoa wala wilaya ambayo haina mkandarasi wa kupeleka umeme maeneo husika.