CCM kuchele

Frey Cosseny

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
1,984
1,405
1468950150450.jpg
1468950161290.jpg


CCM raha tupu mjini Dodoma kila kona ni Dr John Pombe Magufuli na Dr Jakaya Kikwete naona Lowassa anavyogugumia kwa kilio na hasira.
 
Du tangazo la mkutano kwenye tv linasema ni mkutano wa kumuaga mwenyekiti j kikwete !

Tangazo lingekuwa bomba na kuvuta watazamaji kama lingenukuu kauli ya msemaji wa chama chenu mh c ole sendeka na kusomeka hivi karibuni wajumbe kwenye mkutano mkuu wa CCM wa kumuaga mh mwenyekiti Kikwete na sisi wote ambao tupo chini ya mh j kikwete tutang'oka na kumwachia mwanachama mwenzetu mh JP magufuli ateuwe na watu ambao watakakuwa chini yake !
 
Namuonea huruma huyo kijana kwenye picha namba moja /hasa kwa jua kali la Dodoma lakini akikomaa atatoka na ndizi mbivu .......hajui atendalo mungu muhurumie/mpe mwanga
Amina.
Wanaharakati bado mpo? Yeriko Nyerere na Ben saanane wameshatokomea kusikojulikana
 
Namuonea huruma huyo kijana kwenye picha namba moja /hasa kwa jua kali la Dodoma lakini akikomaa atatoka na ndizi mbivu .......hajui atendalo mungu muhurumie/mpe mwanga
Amina.
Mjumbe jamaa ni UKAWA pure anatumia fursa mkuu. Hakuna kijana anayejielewa akashabikia chama cha mboga mboga.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom