CCM kubaki madarakani, lazima umri wa mpiga kura uongezwe kuwa miaka 50+

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Ni ndoto CCM kutawala milele kama Nape anavyonadi, ni ndoto za mwendawazimu, sijui kama wendawazimu unaweza mshika mtu na kumwachia, je ukimshika mara kwa mara na kumwachia bado ni wendawazimu au ni wazimu halisi.

Nape ili CCM iendelee kutawala nakupa mbinu mojatu, umri wa mpiga kura uwe unaongezwa kwa miaka 5 zaidi kila uchaguzi unapofika. Ni wazi kama hilo haiwezekani basi CCM pia haiwezkani kubaki mdarakani, ni wazi mbinu ya kuiba au kucachua matokeo au kutangaza kwa nguvu ushindi kwa CCM imeshashindikana, Unakumbuka Mwanza jinsi ambavyo walijaribu bila mafanikio??? na sehemu nyingine nyingi.

Nawasilisha, Muda waCCM umekwisha kama matumaini ya maisha bora yalivyoisha.
 
Ni ndoto CCM kutawala milele kama Nape anavyonadi, ni ndoto za mwendawazimu, sijui .

Ndoto za kutawala milele mbona wengi wanaota kwenye vyama vyao? Hebu tuambie Mbowe na Slaa wataachia lini madaraka? Au tuambia Profesa Lipumba na Maalim Seif Wataachia lini madaraka? Au Mbatia Na Augustino Lyatonga Mrema wataachia lini madaraka? Au Mchungaji Mtikila naye lini ataachia madaraka?

Kama ni wendawazimu basi nchi hii vyama vya vimeshikwa na wendawazimu kasoro CCM ambayo inatabia ya viongozi wake wa juu kuachia madaraka na kupisha wengine huko kwingine ni kutawala milele kisingizio wanapendwa!!! Wakiambiwa CCM nayo inapendwa ndio maana haItoki hilo hawataki!Wapendwa na watu ni wao tu!!!!!!!
 
Ndoto za kutawala milele mbona wengi wanaota kwenye vyama vyao? Hebu tuambie Mbowe na Slaa wataachia lini madaraka? Au tuambia Profesa Lipumba na Maalim Seif Wataachia lini madaraka? Au Mbatia Na Augustino Lyatonga Mrema wataachia lini madaraka? Au Mchungaji Mtikila naye lini ataachia madaraka?

Kama ni wendawazimu basi nchi hii vyama vya vimeshikwa na wendawazimu kasoro CCM ambayo inatabia ya viongozi wake wa juu kuachia madaraka na kupisha wengine huko kwingine ni kutawala milele kisingizio wanapendwa!!! Wakiambiwa CCM nayo inapendwa ndio maana haItoki hilo hawataki!Wapendwa na watu ni wao tu!!!!!!!

kWANI WEWE UNAJUA MBOWE NA DR SLAA WAMEANZA KUTAWALAL LINI? NI SAWA NA LIPUMBA NA SEIF! ACCORDING TO YOU?
 
Ndoto za kutawala milele mbona wengi wanaota kwenye vyama vyao? Hebu tuambie Mbowe na Slaa wataachia lini madaraka? Au tuambia Profesa Lipumba na Maalim Seif Wataachia lini madaraka? Au Mbatia Na Augustino Lyatonga Mrema wataachia lini madaraka? Au Mchungaji Mtikila naye lini ataachia madaraka?

Kama ni wendawazimu basi nchi hii vyama vya vimeshikwa na wendawazimu kasoro CCM ambayo inatabia ya viongozi wake wa juu kuachia madaraka na kupisha wengine huko kwingine ni kutawala milele kisingizio wanapendwa!!! Wakiambiwa CCM nayo inapendwa ndio maana haItoki hilo hawataki!Wapendwa na watu ni wao tu!!!!!!!

Ukiniambia lini CCM uenyekiti umegombewa na watu wawili au zaidi, nitafurahi, hebu tukumbushe
 
kWANI WEWE UNAJUA MBOWE NA DR SLAA WAMEANZA KUTAWALAL LINI? NI SAWA NA LIPUMBA NA SEIF! ACCORDING TO YOU?

Jamani, hao jamaa ni wagumu sana kuelewa subirini wataelewa kauli ya mwenyekiti wao alimaanisha nini aliposema wajiandae kisaikolojia
 
Kuna watu Mungu anawachukia kiasi kwamba aliwanyima uwezo wa kuona hata wakitazama, uwezo wa kusikia hata kama ukiwaongelea masikioni mwao, wanachojua wao ni CCM tu, ni kama kondoo fulani hivi, hatuwashangai maana ni maumbile mungu kawapa
 
Ukiniambia lini CCM uenyekiti umegombewa na watu wawili au zaidi, nitafurahi, hebu tukumbushe

Cha muhimu unajua ikifika miaka 10 unajua hata kama mheshimiwa Mwenyekiti anapendwa kama asali lazima aondoke apishe wengine huko kwingine ni adumu mwenyekiti forever!
 
Cha muhimu unajua ikifika miaka 10 unajua hata kama mheshimiwa Mwenyekiti anapendwa kama asali lazima aondoke apishe wengine huko kwingine ni adumu mwenyekiti forever!
Suala sio anapisha au la, ni anapatikanaje??? Nyerere alikaa mpaka akachoka mwenyewe. acha kuhamisha goal post kila mara kama tetea.
 
Hakuna chama cha kutawala milele ila kwa sasa ccm ni chama bora bado hakijapatikana chama cha upinzani kinachoweza kuongoza taifa hili kwa sasa.
 
mhaini amekamatwa, ataachiwa huru au la, tusubiri. Nape aliwahi kuomba kazi kwa JK kupitia mke wa JK akiwa jukwaani, Nanukuu- mwambie mzee hata sisi kazi tunaziweza, mwisho wa kunuuu, alipopewa uDC akatulia kimya, wachua tumbo nyinyi.
 
Suala sio anapisha au la, ni anapatikanaje??? Nyerere alikaa mpaka akachoka mwenyewe. acha kuhamisha goal post kila mara kama tetea.

Naomba kachukue katiba ya CCM usome kwa uthibitisho wa anavyopatikana.Kila anayetaka anajaza fomu halafu mchakato unaanza kwenye vikao halali vya chama hadi mwisho anapigiwa kura kupitishwa.Kwenye kuchukua fomu au kutangaza nia hakuna anayezuiwa tofauti na upinzani ambako mtu akionyesha nia tu ya kugombea si kelele hizo!

Mwenyekiti wa CCM hupatikana kidemokrasia na ana ukomo wa kukalia kiti ili asikizoee na kuwa dikteta.Upinzani demokrasia ya kupisha mtu bado Hata Akina Cheyo wazee wazima na UDP naona bado tu hawasikii la mtu.
 
Naona wameanza kujiandaa kisaikolojia kwa kuanza na serikali 3 na kule Bunda nasikia wameanza kutoa fomu bure ili walau apatikane wa kuwaondolea aibu ..hayo yote ni maandalizi ya kisaikolojia kuelekea 2015
 
Tatizo la cdm mpaka leo hawaja fahamu kuwa uchaguzi mkuu tanzania ni maigizo tu. Ni kama vile bongo movie.
 
Kigezo hicho hakitasaidia sana kuiingiza madarakakani kwenye uchaguzi ujao. Wakitaka kupona waandae kamati ya ufundi kwaajili ya "kuhesabu" kura zote zitakazopigwa mijini!
 
Ndoto za kutawala milele mbona wengi wanaota kwenye vyama vyao? Hebu tuambie Mbowe na Slaa wataachia lini madaraka? Au tuambia Profesa Lipumba na Maalim Seif Wataachia lini madaraka? Au Mbatia Na Augustino Lyatonga Mrema wataachia lini madaraka? Au Mchungaji Mtikila naye lini ataachia madaraka?

Kama ni wendawazimu basi nchi hii vyama vya vimeshikwa na wendawazimu kasoro CCM ambayo inatabia ya viongozi wake wa juu kuachia madaraka na kupisha wengine huko kwingine ni kutawala milele kisingizio wanapendwa!!! Wakiambiwa CCM nayo inapendwa ndio maana haItoki hilo hawataki!Wapendwa na watu ni wao tu!!!!!!!

Mbona povu? muda wa ccm kuondoka madarakani umefika!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom