Ccm kuanzisha chama chuo cha maadili ya kifisadi?

Eliphaz the Temanite

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
3,018
1,147
Habari ya CHADEMA kwamba wanataka kuanzisha chama cha maadili ya uogonzi nimeipokea kwa furaha kubwa na inaonyesha jinsi gani chama hiki kinayodhamira na mwelekeo sahihi. Huo ni ukomavu wa kisisasa. ukitaka viongozi waadilifu lazima uwafuge na uwapalilie vivyo hivyo Uzalendo.
Moni yangu ni kwamba tunataka chuo hiki kiwe ni chuo kikubwa kwa maana ya uwezo wa kudahili idadi ya wanafunzi, kitoe elimu bora ili kiweze kuharakisha kujenga discipline kwa watumishi na viongozi wa serikali.
Wananchi walio na mapenzi mema na nchi hii tuko nyuma yenu na fanyeni utaratifu tuweze kuwachangia. Waonyesheni mfano wananchi ya kwamba mnaweza kutekeleza kile mnachopanga kwa mafanikio na Huyo Zitto kabwe Mfukuzeni mara moja ndani ya chama

Kwa vile watani wenu chama cha kijani hupenda kufanya kinyume na mnachofanya huenda wao watajenga cha cha maadili ya mafisadi!
Teheteheeeee
 
Back
Top Bottom