Emmanuel J. Buyamba
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,167
- 651
Ni kupitia taarifa ya habari ya Star tv saa mbili usiku huu. Mwenyekiti wa kundi la Tanzania kwanza (nje ya bunge) linaloundwa na CCM ndugu Matefu
kasema wataandamana kumshinikiza balozi wa Ujerumani nchini kuzikemea taasisi za kijerumani wanazozishuku kwamba zinavuruga mchakato wa katiba mpya nchini.
kasema wataandamana kumshinikiza balozi wa Ujerumani nchini kuzikemea taasisi za kijerumani wanazozishuku kwamba zinavuruga mchakato wa katiba mpya nchini.