CCM kimfumo ishakufa, kimebaki kiwiliwili kilichopo kwenye Serikali na 2020 kinaenda kukatika

DIZZO MTAWALA

JF-Expert Member
Aug 22, 2015
240
767
Chama cha mapinduzi ni muunganiko wa vyama viwili kimoja cha ukombozi kingine cha mapinduzi yaaani TANU na ASP kilitengeneza mfumo wake ulioshikana na dola kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa viongozi wake walipita jkt na chuo cha kivukoni wengi walitokea huko JK kapita kina mzee lowasa comred kinana na wengine wengi.

Kutoka mwaka 1977 kilipoasisiwa kiliishi kama chama dola baada ya kuchafuka hali ya kisiasa Zanzibar 1984 na RAIS wa Zanzibar mzee jumbe kuvuliwa vyeo vyote vya chama na Serikali na kuwekwa kizuizini kilijipa mamlaka zaidi wakafanya mabadiliko ya katiba ikawa chama kushika hatamu .

Kuingia kwa mfumo wa vyama vingi 1992 ni jambo ccm hawakulipenda walionja utamu wa dola ilikubali kishingo upande tu pia walijaribu kuvidhohofisha vyama vya upinzani visikue kisiasa rejea anguko la NCCR mageuzi iliyotengenezewa mgogoro kikaenda kuangukia mkonge hotel tanga kati ya mwenyekiti Mrema na katibu wake Marando rejea pia misukosuko ya CUF wamejarabu kukisambaratisha sasa wamekipora kabisa.

Nyakati zote hizo CCM ilikuwa na uhalali wa kisiasa kwa maana kukubalika na umma na uhalali wa kidola kwa maana ya serikali sasa

Toka mwaka 2006 CHADEMA kilipojibadilisha chini ya Mbowe amewafanya CCM kukosa uhalali wa kisiasa na kubaki na uhalali wa kidola walijitahidi kupandikiza migogoro mingi yote mwamba Freeman Aikaeli Mbowe aliishinda rejea mgogoro wa 2009 ktk uchaguzi wa ndani wa CHADEMA walivuka salama wakarudia tena 2014 wakashindwa 2015 CCM ilibaki madarakani si kwa sababu ya kura bali mfumo wetu wa kikatiba tu .

Yote kwa yote CCM iliangushwa kwa umma ikabaki na uhalali wa dola walipoingia tu madarakani awamu hii ya tano ikatangaza kuufuta upinzani ifikapo 2020 hapo ndipo vitendo vya kikandamizaji vikaanza zikatungwa sheria kama za huduma ya vyombo vya habari sheria ya mitandao pia kauli za mkuu wa nchi kupiga marufuku ya maandamano na mikutano ya hadhara na jeshi la polisi kuwa sehemu ya uenezi wa chama cha mapinduzi

Vitendo vya utekaji kama Ben rabiu saanane pia kanguye na azori gwanda pamoja na wengine wengi pia viongozi wa upinzani kubambikiwa kesi kama hii iliyoisha ya viongozi wa chadema na mahakama ya rufaa ilidhibitisha kwenye kesi ya Mbilinyi alionewa

Wamejitahidi kuwalaghai viongozi wa upinzani kwa kuwaidi vyeo na pesa pamoja na yote hayo ccm iliweka mpira kwapani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwaondoa wagombea wote wa upinzani nchi nzima

Leo kuelekea uchaguzi mkuu 2020 mwezi Oktoba tayari CCM inatumia nguvu kubwa kujiaminisha kwa umma bahati mbaya wanajidhalilisha fikiria spika anamuita mbunge aliyejiuzulu mwenyewe akapokewa na chama kingine Leo anamwambia arudi bungeni huu ni ujua uliopitiza

CCM kimfumo ishakufa kimebaki kiwiliwili kilichopo kwenye serikali na 2020 kinaenda kukatika
 
Vijana tuliwaambia muache kunywa mbege asubuhi Unaona Sasa ulichokiandika

Nakuhakikishia kwa mara ya kwanza toka 1985
Ccm inaenda kushinda Uchaguzi kwa 98%

Tukutane October Mkuu
 
Chama cha mapinduzi ni muunganiko wa vyama viwili kimoja cha ukombozi kingine cha mapinduzi yaaani TANU na ASP kilitengeneza mfumo wake ulioshikana na dola kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa viongozi wake walipita jkt na chuo cha kivukoni wengi walitokea huko JK kapita kina mzee lowasa comred kinana na wengine wengi.

Kutoka mwaka 1977 kilipoasisiwa kiliishi kama chama dola baada ya kuchafuka hali ya kisiasa Zanzibar 1984 na RAIS wa Zanzibar mzee jumbe kuvuliwa vyeo vyote vya chama na Serikali na kuwekwa kizuizini kilijipa mamlaka zaidi wakafanya mabadiliko ya katiba ikawa chama kushika hatamu .

Kuingia kwa mfumo wa vyama vingi 1992 ni jambo ccm hawakulipenda walionja utamu wa dola ilikubali kishingo upande tu pia walijaribu kuvidhohofisha vyama vya upinzani visikue kisiasa rejea anguko la NCCR mageuzi iliyotengenezewa mgogoro kikaenda kuangukia mkonge hotel tanga kati ya mwenyekiti Mrema na katibu wake Marando rejea pia misukosuko ya CUF wamejarabu kukisambaratisha sasa wamekipora kabisa.

Nyakati zote hizo CCM ilikuwa na uhalali wa kisiasa kwa maana kukubalika na umma na uhalali wa kidola kwa maana ya serikali sasa

Toka mwaka 2006 CHADEMA kilipojibadilisha chini ya Mbowe amewafanya CCM kukosa uhalali wa kisiasa na kubaki na uhalali wa kidola walijitahidi kupandikiza migogoro mingi yote mwamba Freeman Aikaeli Mbowe aliishinda rejea mgogoro wa 2009 ktk uchaguzi wa ndani wa CHADEMA walivuka salama wakarudia tena 2014 wakashindwa 2015 CCM ilibaki madarakani si kwa sababu ya kura bali mfumo wetu wa kikatiba tu .

Yote kwa yote CCM iliangushwa kwa umma ikabaki na uhalali wa dola walipoingia tu madarakani awamu hii ya tano ikatangaza kuufuta upinzani ifikapo 2020 hapo ndipo vitendo vya kikandamizaji vikaanza zikatungwa sheria kama za huduma ya vyombo vya habari sheria ya mitandao pia kauli za mkuu wa nchi kupiga marufuku ya maandamano na mikutano ya hadhara na jeshi la polisi kuwa sehemu ya uenezi wa chama cha mapinduzi

Vitendo vya utekaji kama Ben rabiu saanane pia kanguye na azori gwanda pamoja na wengine wengi pia viongozi wa upinzani kubambikiwa kesi kama hii iliyoisha ya viongozi wa chadema na mahakama ya rufaa ilidhibitisha kwenye kesi ya Mbilinyi alionewa

Wamejitahidi kuwalaghai viongozi wa upinzani kwa kuwaidi vyeo na pesa pamoja na yote hayo ccm iliweka mpira kwapani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwaondoa wagombea wote wa upinzani nchi nzima

Leo kuelekea uchaguzi mkuu 2020 mwezi Oktoba tayari CCM inatumia nguvu kubwa kujiaminisha kwa umma bahati mbaya wanajidhalilisha fikiria spika anamuita mbunge aliyejiuzulu mwenyewe akapokewa na chama kingine Leo anamwambia arudi bungeni huu ni ujua uliopitiza

CCM kimfumo ishakufa kimebaki kiwiliwili kilichopo kwenye serikali na 2020 kinaenda kukatika
Ni kweli CCM ilichobaki mikononi mwake ni vyombo vya dola, vinavyoendelea kuifanya iendelee ku-survive huku ikiwa inaendelea kupumulia mashine.........

Kiuhalisia CCM ishakufa zamani.
 
Chama cha mapinduzi ni muunganiko wa vyama viwili kimoja cha ukombozi kingine cha mapinduzi yaaani TANU na ASP kilitengeneza mfumo wake ulioshikana na dola kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa viongozi wake walipita jkt na chuo cha kivukoni wengi walitokea huko JK kapita kina mzee lowasa comred kinana na wengine wengi.

Kutoka mwaka 1977 kilipoasisiwa kiliishi kama chama dola baada ya kuchafuka hali ya kisiasa Zanzibar 1984 na RAIS wa Zanzibar mzee jumbe kuvuliwa vyeo vyote vya chama na Serikali na kuwekwa kizuizini kilijipa mamlaka zaidi wakafanya mabadiliko ya katiba ikawa chama kushika hatamu .

Kuingia kwa mfumo wa vyama vingi 1992 ni jambo ccm hawakulipenda walionja utamu wa dola ilikubali kishingo upande tu pia walijaribu kuvidhohofisha vyama vya upinzani visikue kisiasa rejea anguko la NCCR mageuzi iliyotengenezewa mgogoro kikaenda kuangukia mkonge hotel tanga kati ya mwenyekiti Mrema na katibu wake Marando rejea pia misukosuko ya CUF wamejarabu kukisambaratisha sasa wamekipora kabisa.

Nyakati zote hizo CCM ilikuwa na uhalali wa kisiasa kwa maana kukubalika na umma na uhalali wa kidola kwa maana ya serikali sasa

Toka mwaka 2006 CHADEMA kilipojibadilisha chini ya Mbowe amewafanya CCM kukosa uhalali wa kisiasa na kubaki na uhalali wa kidola walijitahidi kupandikiza migogoro mingi yote mwamba Freeman Aikaeli Mbowe aliishinda rejea mgogoro wa 2009 ktk uchaguzi wa ndani wa CHADEMA walivuka salama wakarudia tena 2014 wakashindwa 2015 CCM ilibaki madarakani si kwa sababu ya kura bali mfumo wetu wa kikatiba tu .

Yote kwa yote CCM iliangushwa kwa umma ikabaki na uhalali wa dola walipoingia tu madarakani awamu hii ya tano ikatangaza kuufuta upinzani ifikapo 2020 hapo ndipo vitendo vya kikandamizaji vikaanza zikatungwa sheria kama za huduma ya vyombo vya habari sheria ya mitandao pia kauli za mkuu wa nchi kupiga marufuku ya maandamano na mikutano ya hadhara na jeshi la polisi kuwa sehemu ya uenezi wa chama cha mapinduzi

Vitendo vya utekaji kama Ben rabiu saanane pia kanguye na azori gwanda pamoja na wengine wengi pia viongozi wa upinzani kubambikiwa kesi kama hii iliyoisha ya viongozi wa chadema na mahakama ya rufaa ilidhibitisha kwenye kesi ya Mbilinyi alionewa

Wamejitahidi kuwalaghai viongozi wa upinzani kwa kuwaidi vyeo na pesa pamoja na yote hayo ccm iliweka mpira kwapani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwaondoa wagombea wote wa upinzani nchi nzima

Leo kuelekea uchaguzi mkuu 2020 mwezi Oktoba tayari CCM inatumia nguvu kubwa kujiaminisha kwa umma bahati mbaya wanajidhalilisha fikiria spika anamuita mbunge aliyejiuzulu mwenyewe akapokewa na chama kingine Leo anamwambia arudi bungeni huu ni ujua uliopitiza

CCM kimfumo ishakufa kimebaki kiwiliwili kilichopo kwenye serikali na 2020 kinaenda kukatika
Mbona inachelewa kudedi tutenge matanga?
 
Kama ni binadamu basi anakabiliwa na shida ya upumuaji
Ni kweli CCM ilichobaki mikononi mwake ni vyombo vya dola, vinavyoendelea kuifanya iendelee ku-survive huku ikiwa inaendelea kupumulia mashine.........

Kiuhalisia CCM ishakufa zamani.

In God we Trust
 
Chama cha mapinduzi ni muunganiko wa vyama viwili kimoja cha ukombozi kingine cha mapinduzi yaaani TANU na ASP kilitengeneza mfumo wake ulioshikana na dola kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa viongozi wake walipita jkt na chuo cha kivukoni wengi walitokea huko JK kapita kina mzee lowasa comred kinana na wengine wengi.

Kutoka mwaka 1977 kilipoasisiwa kiliishi kama chama dola baada ya kuchafuka hali ya kisiasa Zanzibar 1984 na RAIS wa Zanzibar mzee jumbe kuvuliwa vyeo vyote vya chama na Serikali na kuwekwa kizuizini kilijipa mamlaka zaidi wakafanya mabadiliko ya katiba ikawa chama kushika hatamu .

Kuingia kwa mfumo wa vyama vingi 1992 ni jambo ccm hawakulipenda walionja utamu wa dola ilikubali kishingo upande tu pia walijaribu kuvidhohofisha vyama vya upinzani visikue kisiasa rejea anguko la NCCR mageuzi iliyotengenezewa mgogoro kikaenda kuangukia mkonge hotel tanga kati ya mwenyekiti Mrema na katibu wake Marando rejea pia misukosuko ya CUF wamejarabu kukisambaratisha sasa wamekipora kabisa.

Nyakati zote hizo CCM ilikuwa na uhalali wa kisiasa kwa maana kukubalika na umma na uhalali wa kidola kwa maana ya serikali sasa

Toka mwaka 2006 CHADEMA kilipojibadilisha chini ya Mbowe amewafanya CCM kukosa uhalali wa kisiasa na kubaki na uhalali wa kidola walijitahidi kupandikiza migogoro mingi yote mwamba Freeman Aikaeli Mbowe aliishinda rejea mgogoro wa 2009 ktk uchaguzi wa ndani wa CHADEMA walivuka salama wakarudia tena 2014 wakashindwa 2015 CCM ilibaki madarakani si kwa sababu ya kura bali mfumo wetu wa kikatiba tu .

Yote kwa yote CCM iliangushwa kwa umma ikabaki na uhalali wa dola walipoingia tu madarakani awamu hii ya tano ikatangaza kuufuta upinzani ifikapo 2020 hapo ndipo vitendo vya kikandamizaji vikaanza zikatungwa sheria kama za huduma ya vyombo vya habari sheria ya mitandao pia kauli za mkuu wa nchi kupiga marufuku ya maandamano na mikutano ya hadhara na jeshi la polisi kuwa sehemu ya uenezi wa chama cha mapinduzi

Vitendo vya utekaji kama Ben rabiu saanane pia kanguye na azori gwanda pamoja na wengine wengi pia viongozi wa upinzani kubambikiwa kesi kama hii iliyoisha ya viongozi wa chadema na mahakama ya rufaa ilidhibitisha kwenye kesi ya Mbilinyi alionewa

Wamejitahidi kuwalaghai viongozi wa upinzani kwa kuwaidi vyeo na pesa pamoja na yote hayo ccm iliweka mpira kwapani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwaondoa wagombea wote wa upinzani nchi nzima

Leo kuelekea uchaguzi mkuu 2020 mwezi Oktoba tayari CCM inatumia nguvu kubwa kujiaminisha kwa umma bahati mbaya wanajidhalilisha fikiria spika anamuita mbunge aliyejiuzulu mwenyewe akapokewa na chama kingine Leo anamwambia arudi bungeni huu ni ujua uliopitiza

CCM kimfumo ishakufa kimebaki kiwiliwili kilichopo kwenye serikali na 2020 kinaenda kukatika
Chadema inaimarika sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimesha kufa kitambo hata hicho kiwili wili hakipo, sasa ivi wapinzani ndio lulu huko lumumba.
Kwa miaka mitano wamedili na chadema wakijua wanakibomoa kumbe ndio wanakijenga.
 
Back
Top Bottom