Ihihihiiiiiii chawa kama chawaHongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,
CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,
Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
Hata mimi aiseNamwaminia sana komredi Chongollo
Nimechekaa😀😀CM 1774858 Wale wengine ni MASACOSS tu