Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,597
- 94,666
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo Mkoa wa Iringa Bwana Kiliani Myenzi leo amemueleza Waziri wa Viwanda kuwa, Asilimia zaidi ya 80% ama 90% ya Wananchi wa Kilolo mahitaji yao ni Kiwanda cha Chai kufunguliwa na sio Ununuzi wa Ndege ama Ujenzi wa Reli kwani hata hiyo Reli hawaijui, wala hizo ndege hawana uwezo wa kuzipanda.
Naye Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa akitoa ufafanuzi kuhusu kauli hiyo ya Mwenyekiti, amemuonya Mwenyekiti huyo huku akimtaka awe sehemu ya kutangaza Miradi mikubwa inayofanywa na seriakali ya ccm.
Naona sasa somo limeanza kueleweka hata kwa wenye chama chao. Pole pole ndiyo mwendo tutafika tu na shule zetu za kata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naye Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa akitoa ufafanuzi kuhusu kauli hiyo ya Mwenyekiti, amemuonya Mwenyekiti huyo huku akimtaka awe sehemu ya kutangaza Miradi mikubwa inayofanywa na seriakali ya ccm.
Naona sasa somo limeanza kueleweka hata kwa wenye chama chao. Pole pole ndiyo mwendo tutafika tu na shule zetu za kata.
Sent using Jamii Forums mobile app