Wakati wa kampeni za Urais 2015 yaliongelewa mengi. Mfano "Hakuna mwenye nguvu kuliko chama". Nikijaribu kuangalia kwa undani naona Mgfl ana nguvu mara kumi kuliko chama chenyewe. Wengine wamebaki kujipendekeza tu. Hata siamini kama ni CCM ileile iliyotusadikisha kwa miaka mingi kuwa mambo yao yanaamuliwa na vikao halali vya chama chao. Duu