Shetemba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 883
- 889
Chimbuko la chama mapinduzi ,kilkuwa hivi mwalimu nyerere baada kuwasoma watanganyika na kugundua kuwa ni mijitu ambayo aina elimu na majinga,wakati yeye akiwa na elimu yake ya chuo kikuu cha Makerere cha Uganda.Alianzisha chama cha TANU baadaye CCM.
Hakika hakugundua kwamba siku azigandi,alijitaidi kujiimarisha kimadaraka kwa kutumia ngozi ya CCM,siku ziliisha
Ikabidi atoke kwa nguvu za wazungu kimya kimya lakini aliongopa na kujifanya kuwa ameng'atuka , alichosahau ni kubadilisha chama chake badala ya kuwa ni chama cha wananchi akakiacha kikiwa vile vile ni chombo cha RAISI aliye madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika hakugundua kwamba siku azigandi,alijitaidi kujiimarisha kimadaraka kwa kutumia ngozi ya CCM,siku ziliisha
Ikabidi atoke kwa nguvu za wazungu kimya kimya lakini aliongopa na kujifanya kuwa ameng'atuka , alichosahau ni kubadilisha chama chake badala ya kuwa ni chama cha wananchi akakiacha kikiwa vile vile ni chombo cha RAISI aliye madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app