kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
Zile alama zinazua mjadala mitaani kua, Kua Nyundo inamaanisha kumpiga mtanzania nyundo ya utosi na Lile Jembe ni kwenda kumchimbia kaburi na kumfukia.... Lakini walisahau kwamba ile nyundo maanake ni mfanyakazi, na lile jembe ni Mkulima...
Lakini inabidi sasa Wadau wa chama husika waangalie jinsi ya kubadilisha hizo alama maana hata kama lile jembe linamaanisha mkulima, inamaana watanzania hawawezi kubadilika watatumia kilimo duni cha jembe la mkono mpaka mwisho wa dunia, na ile dhana ya kilimo kwanza haipo tena..... itabaki porojo la vijiwe vya kahawa...WAWEKE HATA PICHA YA TREKTA, ikishindikana kabisa waweke hata NG'OMBE.
na Wafanyakazi hicho chama sio chao kama alivyo address JK... nyundo inafanya nini pale?
Changieni wana Jamii....:confused2:
Lakini inabidi sasa Wadau wa chama husika waangalie jinsi ya kubadilisha hizo alama maana hata kama lile jembe linamaanisha mkulima, inamaana watanzania hawawezi kubadilika watatumia kilimo duni cha jembe la mkono mpaka mwisho wa dunia, na ile dhana ya kilimo kwanza haipo tena..... itabaki porojo la vijiwe vya kahawa...WAWEKE HATA PICHA YA TREKTA, ikishindikana kabisa waweke hata NG'OMBE.
na Wafanyakazi hicho chama sio chao kama alivyo address JK... nyundo inafanya nini pale?
Changieni wana Jamii....:confused2: