CCM: Je, bado ni chama cha wakulima na wafanyakazi?

Mada ya kichokozi, haya tujikite na ugawanaji na uchangiaji wa keki ya taifa, wafanyakazi husimamia mapato, kukusanya kodi, uzalishaji mali na huduma then mgao 5000 kwa cku rejea kima cha chini 150000 kwa mwezi, mwanasia hasa mbuge 12mil including marupuru. Mkulima haina haja ya kueleza hali halisi ni mbaya mbovu enhe! Tafakari tafuta jibu weka kichwani!
 
Mimi ni mwanachama wa CCM tangu 1990.Wasipowatoa wafanyabiashara kwenye uongozi mwaka huu,narudisha kadi naingia NCCR.
 
Ni Chama cha Uma na Kisu...

Umma - Unashikilia na kuminya Ardhi, Madini, Maji, Na wananchi

Kisu - Kina katakata hizo mali Mezani kugawana na kushibisha Matumbo yao
 
Chama Cha Mapinduzi kimewapindua wenye chama ambao ni wakulima na wafanyakazi na badala yake kimekuwa chama cha wafanyabiashara na majambazi
 
ccm........kwani bado ilikuepo enzi hzo....this tyme it doesnt exist its only survivimg among parties......to be more open ....ccm is nw a subset of chadema n we r proud of that....as we cntinue to advocate people's power.
 
CCM waunda timu nne
Katika kuhakikisha kinashinda uchaguzi huo mdogo, CCM Wilaya ya Igunga kimeunda timu nne maalumu, ikiwamo ya wafanyabiashara maarufu watakaohakikisha kwamba mgombea wa chama hicho, Dk Kafumu anashinda.

Source: Mwananchi Leo

 
Nduguyangu umelitambua hilo leo , kwani wakulima sikuhizi wanapesa ?ccm ya sasa siile ya Mwalimu
 
kwikwi kwikwi kwikwi yaani ni chama cha wezi wanaogawana utajiri wetu wakati sisi tunagawana umaskini wetu
 
Nilishachoka kusema kuhusu CCM, si chama cha wananchi ni wajanja wachache watumiao mali za wengi kwa faida zao binafsi kwa gharama yoyote ile.

Hii ndiyo CCM. TANU ilikuwa chama cha wananchi
 
Wadau na wanachama hai wa CCM hili swali liliwahi kuzungumziwa kipindi kile cha falsafa ya kujivua Gamba..walizungumzia meengi lakini moja lililonipa moyo lilikuwa ni kurudisha Chama kwa wenye chama yaani Wakulima kule vijijini sio wakulima Mafisadi na wafanyakazi sisi wenye mishahara kiduchu..lakini matokeo yake Chama bado kimetekwa na wafanyabiashsra wakubwa na matapeli wanang'ang'ania vyeo wanatawala Chama.

Jaribu kupitia Wenyeviti wa Chama kwa sasa wa Mikoa mbaka Wilayani wengi ni wenye biashara zao hata viwanda.

Ningependa Chama kirudi kwa Wakulima na Wafanyakazi kwani ndio lengo kuu la chama na madhumuni aliyoyafikiria Mwalimu Nyerere...tunazidi kusibiri huku tulipo!!
 
Hebu kamuwekee dhamana lwakatare kwanza ,
Jamaa afya yake inadorora huko lupango werwe uko bize na keyboard hapo
 
Huwa wanarudi kila baada miaka 5 kugawa tshirt khanga kofia na wali....baada hapo wanaondoka tena .......
 
Wadau na wanachama hai wa CCM hili swali liliwahi kuzungumziwa kipindi kile cha falsafa ya kujivua Gamba..walizungumzia meengi lakini moja lililonipa moyo lilikuwa ni kurudisha Chama kwa wenye chama yaani Wakulima kule vijijini sio wakulima Mafisadi na wafanyakazi sisi wenye mishahara kiduchu..lakini matokeo yake Chama bado kimetekwa na wafanyabiashsra wakubwa na matapeli wanang'ang'ania vyeo wanatawala Chama.

Jaribu kupitia Wenyeviti wa Chama kwa sasa wa Mikoa mbaka Wilayani wengi ni wenye biashara zao hata viwanda.

Ningependa Chama kirudi kwa Wakulima na Wafanyakazi kwani ndio lengo kuu la chama na madhumuni aliyoyafikiria Mwalimu Nyerere...tunazidi kusibiri huku tulipo!!

Kwani Nerere yuko hai Tena? Au ni Mababu Zetu?
 
Back
Top Bottom