CCM itavuka changamoto hizi; Kidumu Chama cha Mapinduzi!

Mbunge wa CCM

JF-Expert Member
Nov 13, 2009
475
22
ndugu watanzania wenzangu

kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao. nawahalkikishia pia ushirikiano wangu katika kutimiza majukumu yemnu mliyokabidhiwa kwa manufaa ya serikali ya CCM na taifa zima kwa ujumla.

hivi karibuni tumeshuhudia gumzo pana na refu lililohusishwa na kitendo cha wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma wakati mh. rais akianza kusoma hotuba yake ya kuzindua bunge la 10.

binafsi niseme wazi kuwa sikushtuka wala kushangaa. nilikuwa nimeishajiandaa kwa tukio lile kwani ilishajulikana kuwa ingekuwa vile. ila nilichoona ni kuwa kuna mambo ambayo wanaCCM tunapaswa kujifunza na kuwa tayari kama tunataka chama chetu kivuke wimbi hili la mabadiliko. mambo hayo ni kama ifuatavyo
1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali

2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.

3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini

4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine

5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo

6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu

7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)

8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM

kuna mengi, lakini kwa haya machache niseme kuwa Tanzania yenye ufanisi tele inawezekana chini ya CCM

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU
 
Mkuu from my experience humu Jamvini you are in the wrong place i think this is the wrong audience for you...... Most people hapa wamechoka na SAME OLD SAME OLD STORIES; and they want Change am sure hata wewe since umekuwa hapa jamvini since 2009 umeona hayo.
 
ndugu watanzania wenzangu

kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao. nawahalkikishia pia ushirikiano wangu katika kutimiza majukumu yemnu mliyokabidhiwa kwa manufaa ya serikali ya CCM na taifa zima kwa ujumla.

hivi karibuni tumeshuhudia gumzo pana na refu lililohusishwa na kitendo cha wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma wakati mh. rais akianza kusoma hotuba yake ya kuzindua bunge la 10.

binafsi niseme wazi kuwa sikushtuka wala kushangaa. nilikuwa nimeishajiandaa kwa tukio lile kwani ilishajulikana kuwa ingekuwa vile. ila nilichoona ni kuwa kuna mambo ambayo wanaCCM tunapaswa kujifunza na kuwa tayari kama tunataka chama chetu kivuke wimbi hili la mabadiliko. mambo hayo ni kama ifuatavyo
1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali

2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.

3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini

4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine

5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo

6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu

7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)

8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM

kuna mengi, lakini kwa haya machache niseme kuwa Tanzania yenye ufanisi tele inawezekana chini ya CCM

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU

Mkuu hicho chama unachoongelea ni kipi? CCM au kingine?

1. Hebu nieleze CCM inawezaje kutekeleza namba 2 hapo juu wakati mwenyekiti wake. RA, EL, Chenge, Makamba na mafisadi wengine ndio wameshikilia usukani?
2. CMM kama ni chama na siyo dola, kinawezaje kutekeleza namba 6 na 7?

Kwa wenye miwani mizuri wanaweza kupata kinachoendelea nyuma ya pazia,

Nawatakia kila la heri,

DC
 
ndugu watanzania wenzangu

kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao. nawahalkikishia pia ushirikiano wangu katika kutimiza majukumu yemnu mliyokabidhiwa kwa manufaa ya serikali ya CCM na taifa zima kwa ujumla.

hivi karibuni tumeshuhudia gumzo pana na refu lililohusishwa na kitendo cha wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma wakati mh. rais akianza kusoma hotuba yake ya kuzindua bunge la 10.

binafsi niseme wazi kuwa sikushtuka wala kushangaa. nilikuwa nimeishajiandaa kwa tukio lile kwani ilishajulikana kuwa ingekuwa vile. ila nilichoona ni kuwa kuna mambo ambayo wanaCCM tunapaswa kujifunza na kuwa tayari kama tunataka chama chetu kivuke wimbi hili la mabadiliko. mambo hayo ni kama ifuatavyo
1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali

2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.

3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini

4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine

5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo

6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu

7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)

8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM

kuna mengi, lakini kwa haya machache niseme kuwa Tanzania yenye ufanisi tele inawezekana chini ya CCM

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU
You can't teach an old dog new tricks
 
ndugu watanzania wenzangu

kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao. nawahalkikishia pia ushirikiano wangu katika kutimiza majukumu yemnu mliyokabidhiwa kwa manufaa ya serikali ya CCM na taifa zima kwa ujumla.

hivi karibuni tumeshuhudia gumzo pana na refu lililohusishwa na kitendo cha wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma wakati mh. rais akianza kusoma hotuba yake ya kuzindua bunge la 10.

binafsi niseme wazi kuwa sikushtuka wala kushangaa. nilikuwa nimeishajiandaa kwa tukio lile kwani ilishajulikana kuwa ingekuwa vile. ila nilichoona ni kuwa kuna mambo ambayo wanaCCM tunapaswa kujifunza na kuwa tayari kama tunataka chama chetu kivuke wimbi hili la mabadiliko. mambo hayo ni kama ifuatavyo
1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali

2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.

3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini

4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine

5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo

6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu

7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)

8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM

kuna mengi, lakini kwa haya machache niseme kuwa Tanzania yenye ufanisi tele inawezekana chini ya CCM

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU


Hii makala ungeipeleka kwenye gazeti la UHURU na HABARI LEO nadhani ndio sehemu yake kule.
 
ndugu watanzania wenzangu

kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao. nawahalkikishia pia ushirikiano wangu katika kutimiza majukumu yemnu mliyokabidhiwa kwa manufaa ya serikali ya CCM na taifa zima kwa ujumla.

hivi karibuni tumeshuhudia gumzo pana na refu lililohusishwa na kitendo cha wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma wakati mh. rais akianza kusoma hotuba yake ya kuzindua bunge la 10.

binafsi niseme wazi kuwa sikushtuka wala kushangaa. nilikuwa nimeishajiandaa kwa tukio lile kwani ilishajulikana kuwa ingekuwa vile. ila nilichoona ni kuwa kuna mambo ambayo wanaCCM tunapaswa kujifunza na kuwa tayari kama tunataka chama chetu kivuke wimbi hili la mabadiliko. mambo hayo ni kama ifuatavyo

1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali
Hapo unaonyesha kudharau hekima ya vijana na nadhani unataka warubuniwe
2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.
Chama hiki kilikuwa kinaheshimika sana. Lakini kama ilivyo katika maisha ya kila kitu kuwa na stages za incubation, maturity, and declination. CCM imeshapitia incubation 1977-1983, Maturity 1983-2008 (tena ilikuwa ni rough period kwa CCM), sasa hivi kimo kwenye declination itakayokamilika baada ya miaka miwili au mitatu tu.
3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini
Yaani kijitahidi badala ya kufanya kweli. Ni nani wanaoweza kufanya hivyo iwapo ilani yenyewe ni viraka viraka tu
4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine
Akili mbovu hiyo, ni kwa sababu huko CCM hakuna wajenga hoja, hivyo wanaogopa kuumbuliwa
5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo
Hii ni contradiction ni 4 hapo juu; hata hivyo tunajua kuwa CUF ni CCM-2.
6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu
Haya ni mawazo ya watu wanaotaka kutawala kwa kutumia nguvu. Mmefanya hivyo uchaguzi huu, kwa hiyo mnataka iwe ni sera ya kudumu
7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)

8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM
Katiba inayotakiwa ni ya Tanzania yote, sijui unaota nini kuwa na Katiba itakayoandikwa na CCM tu ahalfu ukadhani itakubalika na wote
kuna mengi, lakini kwa haya machache niseme kuwa Tanzania yenye ufanisi tele inawezekana chini ya CCM

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU
Kama wewe ndiye sampuli ya wabunge wa CCM, basi Tanzania ina janga kubwa sana kwa sababu wapo 260 wanaolipwa milioni 12 kwa mwezi.
 
ndugu watanzania wenzangu

kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwatakia utumishi mwema wenye mafanikio mawaziri wote walioteuliwa katika wizara mbalimbali pamoja na wasaidizi wao. nawahalkikishia pia ushirikiano wangu katika kutimiza majukumu yemnu mliyokabidhiwa kwa manufaa ya serikali ya CCM na taifa zima kwa ujumla.

hivi karibuni tumeshuhudia gumzo pana na refu lililohusishwa na kitendo cha wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma wakati mh. rais akianza kusoma hotuba yake ya kuzindua bunge la 10.

binafsi niseme wazi kuwa sikushtuka wala kushangaa. nilikuwa nimeishajiandaa kwa tukio lile kwani ilishajulikana kuwa ingekuwa vile. ila nilichoona ni kuwa kuna mambo ambayo wanaCCM tunapaswa kujifunza na kuwa tayari kama tunataka chama chetu kivuke wimbi hili la mabadiliko. mambo hayo ni kama ifuatavyo
1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali

2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.

3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini

4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine

5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo

6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu

7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)

8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM

kuna mengi, lakini kwa haya machache niseme kuwa Tanzania yenye ufanisi tele inawezekana chini ya CCM

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU
Mheshimiwa Mbunge, heshima sana
Napenda kukupa pole kwa jitihada zako za kuokoa mgonjwa wenu ajulikanaye kama chama cha majambazi. Hakuna namna unavyoweza kuwakamata vijana wa TZ kama bado unamteua Zakia kuwa Mbunge, unapinga mazungumzo na wapinzani, dhahabu zetu zinaporwa na milima bandia inaongezeka, mfano Buhemba huku wakazi wake wakizama katika lindi la umaskini, unafanya kampeni kwa kutumia comedy bila kutoa majibu ya tatizo la ajira kwa vijana, mbaya zaidi ahadi za mwaka huu ndiyo fimbo yenu 2015. Huwezi kutushawishi kuwa mtajenga MAchinga Compelx 5 kabla ya 2015, Meli lake victoria, Kigoma kuwa Dubai, Tanga mji wa viwanda na mengine mengi.
Jambo lingine muhimu ni kuwa hakuna uwajibikaji, mfano madudu ya takukuru yanabarikiwa na viongozi wa nchi, tumesahau kabisa msamiati wa uwajibikaji.
Chama hakiwezi kujitenga na Rostam, Lowassa, Chenge, na waliojificha nyuma celtel nasikia munaiita airtel saa hizi. Mnapropagate udini na watu wamewaelewa vizuri
Yako mengi mhemishiwa hayo ni kwa uchache tu
 
Mheshimiwa Mbunge, heshima sana
Napenda kukupa pole kwa jitihada zako za kuokoa mgonjwa wenu ajulikanaye kama chama cha majambazi. Hakuna namna unavyoweza kuwakamata vijana wa TZ kama bado unamteua Zakia kuwa Mbunge, unapinga mazungumzo na wapinzani, dhahabu zetu zinaporwa na milima bandia inaongezeka, mfano Buhemba huku wakazi wake wakizama katika lindi la umaskini, unafanya kampeni kwa kutumia comedy bila kutoa majibu ya tatizo la ajira kwa vijana, mbaya zaidi ahadi za mwaka huu ndiyo fimbo yenu 2015. Huwezi kutushawishi kuwa mtajenga MAchinga Compelx 5 kabla ya 2015, Meli lake victoria, Kigoma kuwa Dubai, Tanga mji wa viwanda na mengine mengi.
Jambo lingine muhimu ni kuwa hakuna uwajibikaji, mfano madudu ya takukuru yanabarikiwa na viongozi wa nchi, tumesahau kabisa msamiati wa uwajibikaji.
Chama hakiwezi kujitenga na Rostam, Lowassa, Chenge, na waliojificha nyuma celtel nasikia munaiita airtel saa hizi. Mnapropagate udini na watu wamewaelewa vizuri
Yako mengi mhemishiwa hayo ni kwa uchache tu


Mkuu Makondo,

Ndo maana nikamwambia huyu Mbunge kuwa hayo mambo yake hayawezi kutekelezwa kabla CCM haijafa. Nimekuwa naongea na watu wanaodai kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika ndani kwa ndani humo CCM kuwa wanaota ndoto za mchana. Kufanya mabadiliko kutokea ndani ni sawa na kusema kuwa hao wote uliowataja na vibaraka wao kibao wakubali kujinyonga wenyewe. Are they ready and willing to commit suicide?

CCM iachwe ife tu...there is no way it can get back to its feet na wote wanaojipendekeza huko wasubiri kiama chao!
 
Hii Si mahala pako; inaonoekana una dunia yako; nenda kale maisha duniani kwako maana sisi walala hoi wala hatuhitaji ngonjera na ukizileta tunaona ni kundi la wezi tu wanakuja wanacheka mchana uziku wanaiba na mbaya tulishawajua hadi polisi wanajulikana; Wezi wakubwa nyinyi; wezi wakubwa nyinyi; wezi wakubwa nyinyi tetetetetete good
 
1. kupeleka itikadi ya chama kwa kundi la vijana amabo wanonekana kushabikia mambo wasiyoyajua vizuri hali inayotafsiriwa kuwa vijana hawakitaki tena chama cha mapinduzi japo uzoefu unaonyesha kuwa vijana wamekuwa hawatabiriki siku zote na katika nchi mbalimbali
Mkuu, vijana wanajua vizuri sana mambo yanayowahusu... kwa kuanza hivi tu kwangu mimi ni kwamba wewe ndio hujui vizuri... kuna upuuzi mmoja wanasiasa wengi mnao.. you think kwamba you are just think tanks by default. wewe ndio hujui vizuri sir, remember hata ukienda kule kijijini kwenu waweza kudhani kwamba watu hawajui vizuri, in fact they know but its our attitude that put them off

2. chama kijikite katika kujenga taswira ya kuaminika machoni pa wananchi ikiwa ni pamoja na kujiweka kando na matendo yanayoweza kukiunganisha na mamabo yanayopigwa vita nchini kwa sasa kama ufisadi nk.
agreed

3. chama kupitia serikali yake kijitahidi kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo inayotokana na ilani yake ya uchaguzi ili kidhihirishe kwa vitendo utashi na uwezo wa kusimamia juhudi za kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini
Mkuu kusimami hakuna maana tena, inabidi kureview everything, kusimami mara nyingi hakuna output or end in it... read between the lines
4. kwa wakati huu chama kijitenge kabisa na hatua yoyote ya kukaa na chadema ama chama chochote kingine kujadili jamabo lolote la kitaifa na iwapo itaonekana vyema basi chama kichukue hatua chenyewe bila kushirikisha chamas kingine
crap!!!

5. chama kiimarishe ushirikiano na vyama vya CUF na vingine vilivyo vidogo ili kujihakikishia kuungwa mkono na wadau anwai wa maendeleo
Unajichanganya mwenyewe, hapo juu unasema kijitenge, chini unasema kijiunge... CCM haina haja ya kusema ijiunge na kafu.. kafu ni ccm akademia

6. juhudi zisizo za dhahiri sana zifanywe kwenye idara za usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola kuweka mizania ya chokochoko za udini, ukabila na uzanzibari katika urari ili kupunguza taratibu na hatimaye kumaliza kabisa hofu iliyoanza kujengeka ya kukua kwa hali hizo zisizoendana na utamaduni wa siasa zetu
agreed

7. mwenge wa uhuru utumike kuimarisha uzalendo na uwajibikaji wa raia katika kushiriki michakato mbalimbali ya kidemokrasia na kuamsha ari ya kisiasa kwa wale amabo ari hiyo imeshuka (rejea idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura)
watu waliojitokeza si 42% ni zaidi ya hapo sema wizi ulifanya kazi na zile 5M ghost voters walioandaliwa


8. kujitahidi kulipatia ufumbuzi suala la mambi ya kuasisiwa mchakayo wa kuandikwa katiba mpya lakini bila uharaka na kupeleka turufu yake kwa wapinzani wa CCM
mambi ya kuasisiwa mchakayo ndio nini?

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZU
kweli chama cha mapinduzu kidumu

ashakum si matusi mkuu, ila sasa wale wabunge waliokua na makesi ya rushwa na hata kukimbia nchini leo wamerudi na kutuwakilisha kweli ni wasafi? na je tuwaamini?
 
ashakum si matusi mkuu, ila sasa wale wabunge waliokua na makesi ya rushwa na hata kukimbia nchini leo wamerudi na kutuwakilisha kweli ni wasafi? na je tuwaamini?
naskia mmoja alidhulumu sana hadi wagonjwa wa ukimwi hadi donor community wamemshtaki UN
 
Mbunge wa CCM - Kuna msemo mmoja usemao "Clothers Makes a Pirate" Shida ya sasa ni kwamba watu wanakiusisha CCM na Mafisadi kwahiyo kitu constructive unachoweza fanya hama Chama...... Hapo hata mimi takuunga mkono
 
Mbunge wa CCM - Kuna msemo mmoja usemao "Clothers Makes a Pirate" Shida ya sasa ni kwamba watu wanakiusisha CCM na Mafisadi kwahiyo kitu constructive unachoweza fanya hama Chama...... Hapo hata mimi takuunga mkono

Kweli mkuu...huwezi kujisafisha tope kwa kujipaka tope zaidi!
 
ok ungejuwa kuwa hicho chama unachokiongelea hapo juu kimeshikwa na viongozi ambao hawataki mabadiliko na pia ni watetezi wa mambo ya kifisadi,tambuwa kuwa ingekuwa ni nchi nyingine mtu kama MRAMBA,CHENGE na wengine wasingeteuliwa hata ktk nafasi ya ufagiaji,lakini ktk chama chetu cha kubebana na kukumbatiana kimefanya hivyo bila woga na kuwapigia hatakampeni bila aibu,sasa sielewi na sinaimani kama hicho unachokita kifanyike kitawezekana,tambuwa kuwa chama chetu kimeshikwa na wenye pesa na ndio wanao panga kila jambo kwa maslahi yao

labda tubadilishe uongozi na kuwapigachini baadhi ya wanachama wanaojifanya ni miungumtu kwamba bila wao chama hakiendi

nadhani mwisho chama chetu umefika hatuwezi tena kuwabadilisha hao vijana walioelimika.ukumbuke wasomi wengi ambao ndio engine ya taifa lolote duniani hawanashida tena na chama chetu,tumebakia na mzee makamba na chiligati ambo wao husema lolote lile hata pasipo kulifanyia kazi ili mradi kaagizwa kusema


eeeeeeeee mungu bariki hili taifa lenye mali na watu wenye upeo mkubwa wa kufikila liondokane na umaskini wa kujitakia

mapinduziiiiii daimaaaa:bump:
 
Kaleta hoja na kama kuna watu wanaona hoja za ndugu yetu huyu ni dhaifu zioneshwe hivyo; kuzipuuzia au kumuita yeye majina hakufanyi hoja nyingine kuwa na nguvu. Turudi kwenye hoja hujibiwa kwa hoja!
 
Tut tut tut...........

IMG_4530.jpg
 
Kaleta hoja na kama kuna watu wanaona hoja za ndugu yetu huyu ni dhaifu zioneshwe hivyo; kuzipuuzia au kumuita yeye majina hakufanyi hoja nyingine kuwa na nguvu. Turudi kwenye hoja hujibiwa kwa hoja!

kweli mkuu, ..... hoja zake naona ziko wazi.... lakini watu wameng'ang'ania kuzipuuza.............

baki kwenye hoja.......... nina wasiwasi kama chama chenyewe kina utashi wa kutosha kufanya hayo aliyoshauri/aliyopendekeza.... inavyoonekana yeye hakubahatika kupata uwaziri ndio maana anawapongeza wenzake..... lakini nin shauku pia ya kuhoji yeyey kama si waziri na nakumbuka pia aliwahi kusema kuwa ni mwanachama wa kawiada ndani ya ccm na si mjimbe wa kikao chochote chenye nguvu ndani ya ccm.... sasa katika subordinate status kkama hiyo ndani ya chama kikibwa, kikongwe, well established na bureaucratic kama ccm atapenyezaje ushawishi wake huo?........ labda atusaidie kama ana mkakati maalum anaofikiria kuutumia ndio unaomfanya kuwa optimistic kiasi hiki kuwa ccm itavuka.... aulete nasi tumchangie mawazo.......... thanks and best wishez...................
 
Duh..kweli wabunge tunao siku izi...

Kiranga ukwapi mkuu au we ni maalumu kwa yule dada yetu tu
 
Sidhani kama ana hoja huyu Mbunge.
-Vijana anaodai hawaaminiki, wamewezaje kuviamini vyama vya upinzani?
-Mbunge hapendi kukaa na Chadema, lakini anaona vema kushirikiana na CUF na vyama vidogo
-Anadai CCm isimamie vema mipango ya maendeleo - nani aliwazuia kufanya hivyo kwa miaka 50?
-Anaona waingie kwenye marekebisho ya katiba kwa uangalifu: Uangalifu kwa CCM maana yake ni shingo
upande. Hii haitasaidia.
-Kutumia idara ya usalama na vyombo vya dola kuondoa udini ni sawa na kutumia kibatari kumulikia nyoka aliye katika chumba chenye pipa la petroli.

CCM inahitaji kuja na yafuatayo kama inataka kupona mwaka 2015:
-Kukiri madhaifu yake bila kuuma maneno, sawa na JKN alivyoandika "Tujisahihishe"
-Ije na mpango wa mabadiliko ya kweli (Change). Kwa sasa haina agenda hiyo bali inataka kufanya zaidi kila kitu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom