commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
Salaam
Utafiti wangu mdogo unanionyesha kwamba CCM itashinda kwa kishindo sana kwenye uchaguzi huu, na kupata kura nyingi sana kutoka kwa makundi haya
1. Wale waathirika wa bomoa bomoa kimara (Zaidi ya familia 350 ziliathirika) na maeneo mengine ambao kesi zao bado zilikuwa mahakamani. Nyumba zikabomelewa kwa ubabe na kibri kisa wao ni wa pinzani, huku wale wa Mwanza na maeneo mengine waliompa kura mkuu wa malaika wakiachwa wazi. Mbali ya shida hizo bado Jamii hizo zitapiga kura nyingii sana kwa chama pendwa CCM. CCM juu!
2. Wale wanafunzi wa UDOM zaidi ya 7000 Waliofukuzwa usiku kama vibaka, eti hawakuwa na sifa za kujiunga na ile program iliyosainiwa na JK, na wasomi wa UDOM. Huku mtoto mpendwa Jeska akiingia chuoni hapo bila Vigezo, nao watapiga kura nyingi sanaa
3. Wale Wajumbe zaidi ya 2500 nchi nzima, ambao waliwakata wagombea mbali mbali wasio na sifa, lakini badae Mkuu wa malaika akawarudisha kwa maslahi yake . Wajumbe hawa na wa kamati kuu pale dodoma mbali ya kwamba wana hasira kwa kufanyiwa kiini macho cha kuambiwa ni uchaguzi wa kumpata mgombea wao, lakini cha ajabu ikaprintiwa fomu 1 tu, yaani uchaguzi ukageuzwa kuwa kuteua, Mbali ya hasira zoote hizo wajumbe watakipigia kura chama cha mboga mboga
4. Wale wafanya biashara wa sukari, walioonja joto ya jiwe mwaka 2016-2017 kwa sakata la sukari, wakiamuliwa sukari lazima iuzwe Tsh 1800, na kweli wakashusha bei mapaka sasa sukari inapatika kwa bei rahisi ya Tsh 3000-400/Kilo 1 nao wana kura nyingi sana kwa chama pendwa
5. CCM watapata kura zingine nyingi sana toka kwa watumishi wa serikali (ZAIDI YA WATUMISHI (465,810), Ambao hawajawahi kupandishiwa mishahara, wala madaraja, wala kulipwa pesa za uhamisho, tangu 2015, nao kura nyingi zitakwenda kwa CCM
6. Mikoa ya Kusini, (Wale wakulima wa Mbaazi na korosho), ambao leo uchumi wao umeimarika sanaa kwa korosho na mbaazi zao kupata bei nzuri na woote kulipwa, lakini tulisubiri walete vyoko vyoko tuwatandike na shangazi zao, nao watakipa kura nyingi sanaa
7. Wakazi wa mkoa wa Kagera na viunga vyake (Nshomile sana), wamejinasibu kukipa kura za sizizo na kifani chama cha mboga mboga, kwa kuwa ni kweli mambo mabaya yote yanaanzia kwao (Mto ngono, tetemeko, ukimwi etc)
8. Vijana wenye vyeti vyao vya elimu ya juu (zaidi ya 1, 350,000) waliopo mtaani, mbali ya kwamba hawana ajira tangu 2015, wameahidi kukipa ushindi mnono chama cha mboga mboga, mbali ya kwamba mpaka sasa hawana ajira ila kila mwaka deni lao la mkopo wa elimu ya juu linaongezeka kwa 6%.
9. Kanda ya kaskazini (Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro), mbali ya kwamba imetengwa kimaendeleo na awamu hii kwa kuwa wao ni wapinzani, nao wameahidi kukipa kura chama cha mboga mbonga
10. Kundi la wazee wastaafu na wale wa Africa Mashariki (TZ) wanaokadiriwa kuwa 657,000, mbali ya kutopata huduma za afya stahiki na malipo yao ya kustaafu kwa wakati toka kwa mifuko ya hifadhi ya jamaii, nao wameahidi kukipa ushindi mkubwa chama pendwa
11. Wajasiriamali wadodogo wadogo waliopigwa zaidi ya 1.4 Bilioni kutokanana na vitambulisho vya mjasilia mali (20,000Tsh), nao wameahidi kukipa kura nyingii sanaa chama kile
12. Wafanyabiashara wale waliofirisiwa na TRA , kwa kushindwa kuonyesha hesabu zao za miaka 5 ya nyumba, au wale waliogundulika kusapoti upinzani nao watakipa kura za kibabe chama pendwa
16. Wakandarasi wapatao zaidi ya 14,600 ambao wanaidai serikali malipo yao ya kazi mabali mbali, walizofanya ndani ya miaka hii 5, nao watakuwa mbele kutoa kura za kutosha kwa chama kile
17. Wale watumishi hewa, wa vyeti hewa (Wakiwemo wale wamama waliotumia ubini wa waume zao katika vyeti vya masomo), nao watatoa kura nyingi sanaa kwa CCM. CCM Hoyee
18. Wale wafanyabiashra nguli, wakubwa wakiongozwa na Manji na wengineo walioionja adha ya Bashite na madwa ya kulevya nao watapiga kura za hasira kwa chama kile
19. Wale watumishi zaidi ya 1318 ambao walikuwa wakitumbuliwa kibabe mbele ya vyombo vya habari bila utaratibu wa kiutumishi, bila kusikilizwa nao watapiga kura nyingii sana kwa chama kile
20. Na wale wote waliopoteza wapendwa wao huku serikali ya chama kile isichukue hatua zozote, nao watakuwa na kura za kutosha
21. Wale watanzania wote walioona hii miaka 5, katiba ya nchi inazingatiwa vyema sanaaa na si matakwa ya mtu 1 nao, nao watakipa chama cha mboga kula za kishindo
22. Wakulima wa mazao ya chakula na wale wa mazao ya kibiashara kama pamba, kahawa, chai na tumbaku, na Cocoa wapatao 3,480,700 ambao tangu sera za mazao hayo zibadilishe na utawala huu mwaka 2018, wakulima wakakosa sauti, makampuni yaliyowasapoti yakala hasara, na kufunga ofisini, na wakulima kuzuiwa kuuza mazao yao nje, nao watapiga kura nyingi kwa chama kile
22. Watumishi zaidi ya 1.5 Millioni, wanao idai mifuko ya hifadhi ya jamii mafao yao, ambao wameambiwa wasubiri miaka 60 ndipo wapate mafao yao, nao watakipa kura za kishino chama kile
Mengineo mtaongezea wana CCM wenzangu. Kwako mwalimu Kashasha.
Utafiti wangu mdogo unanionyesha kwamba CCM itashinda kwa kishindo sana kwenye uchaguzi huu, na kupata kura nyingi sana kutoka kwa makundi haya
1. Wale waathirika wa bomoa bomoa kimara (Zaidi ya familia 350 ziliathirika) na maeneo mengine ambao kesi zao bado zilikuwa mahakamani. Nyumba zikabomelewa kwa ubabe na kibri kisa wao ni wa pinzani, huku wale wa Mwanza na maeneo mengine waliompa kura mkuu wa malaika wakiachwa wazi. Mbali ya shida hizo bado Jamii hizo zitapiga kura nyingii sana kwa chama pendwa CCM. CCM juu!
2. Wale wanafunzi wa UDOM zaidi ya 7000 Waliofukuzwa usiku kama vibaka, eti hawakuwa na sifa za kujiunga na ile program iliyosainiwa na JK, na wasomi wa UDOM. Huku mtoto mpendwa Jeska akiingia chuoni hapo bila Vigezo, nao watapiga kura nyingi sanaa
3. Wale Wajumbe zaidi ya 2500 nchi nzima, ambao waliwakata wagombea mbali mbali wasio na sifa, lakini badae Mkuu wa malaika akawarudisha kwa maslahi yake . Wajumbe hawa na wa kamati kuu pale dodoma mbali ya kwamba wana hasira kwa kufanyiwa kiini macho cha kuambiwa ni uchaguzi wa kumpata mgombea wao, lakini cha ajabu ikaprintiwa fomu 1 tu, yaani uchaguzi ukageuzwa kuwa kuteua, Mbali ya hasira zoote hizo wajumbe watakipigia kura chama cha mboga mboga
4. Wale wafanya biashara wa sukari, walioonja joto ya jiwe mwaka 2016-2017 kwa sakata la sukari, wakiamuliwa sukari lazima iuzwe Tsh 1800, na kweli wakashusha bei mapaka sasa sukari inapatika kwa bei rahisi ya Tsh 3000-400/Kilo 1 nao wana kura nyingi sana kwa chama pendwa
5. CCM watapata kura zingine nyingi sana toka kwa watumishi wa serikali (ZAIDI YA WATUMISHI (465,810), Ambao hawajawahi kupandishiwa mishahara, wala madaraja, wala kulipwa pesa za uhamisho, tangu 2015, nao kura nyingi zitakwenda kwa CCM
6. Mikoa ya Kusini, (Wale wakulima wa Mbaazi na korosho), ambao leo uchumi wao umeimarika sanaa kwa korosho na mbaazi zao kupata bei nzuri na woote kulipwa, lakini tulisubiri walete vyoko vyoko tuwatandike na shangazi zao, nao watakipa kura nyingi sanaa
7. Wakazi wa mkoa wa Kagera na viunga vyake (Nshomile sana), wamejinasibu kukipa kura za sizizo na kifani chama cha mboga mboga, kwa kuwa ni kweli mambo mabaya yote yanaanzia kwao (Mto ngono, tetemeko, ukimwi etc)
8. Vijana wenye vyeti vyao vya elimu ya juu (zaidi ya 1, 350,000) waliopo mtaani, mbali ya kwamba hawana ajira tangu 2015, wameahidi kukipa ushindi mnono chama cha mboga mboga, mbali ya kwamba mpaka sasa hawana ajira ila kila mwaka deni lao la mkopo wa elimu ya juu linaongezeka kwa 6%.
9. Kanda ya kaskazini (Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro), mbali ya kwamba imetengwa kimaendeleo na awamu hii kwa kuwa wao ni wapinzani, nao wameahidi kukipa kura chama cha mboga mbonga
10. Kundi la wazee wastaafu na wale wa Africa Mashariki (TZ) wanaokadiriwa kuwa 657,000, mbali ya kutopata huduma za afya stahiki na malipo yao ya kustaafu kwa wakati toka kwa mifuko ya hifadhi ya jamaii, nao wameahidi kukipa ushindi mkubwa chama pendwa
11. Wajasiriamali wadodogo wadogo waliopigwa zaidi ya 1.4 Bilioni kutokanana na vitambulisho vya mjasilia mali (20,000Tsh), nao wameahidi kukipa kura nyingii sanaa chama kile
12. Wafanyabiashara wale waliofirisiwa na TRA , kwa kushindwa kuonyesha hesabu zao za miaka 5 ya nyumba, au wale waliogundulika kusapoti upinzani nao watakipa kura za kibabe chama pendwa
16. Wakandarasi wapatao zaidi ya 14,600 ambao wanaidai serikali malipo yao ya kazi mabali mbali, walizofanya ndani ya miaka hii 5, nao watakuwa mbele kutoa kura za kutosha kwa chama kile
17. Wale watumishi hewa, wa vyeti hewa (Wakiwemo wale wamama waliotumia ubini wa waume zao katika vyeti vya masomo), nao watatoa kura nyingi sanaa kwa CCM. CCM Hoyee
18. Wale wafanyabiashra nguli, wakubwa wakiongozwa na Manji na wengineo walioionja adha ya Bashite na madwa ya kulevya nao watapiga kura za hasira kwa chama kile
19. Wale watumishi zaidi ya 1318 ambao walikuwa wakitumbuliwa kibabe mbele ya vyombo vya habari bila utaratibu wa kiutumishi, bila kusikilizwa nao watapiga kura nyingii sana kwa chama kile
20. Na wale wote waliopoteza wapendwa wao huku serikali ya chama kile isichukue hatua zozote, nao watakuwa na kura za kutosha
21. Wale watanzania wote walioona hii miaka 5, katiba ya nchi inazingatiwa vyema sanaaa na si matakwa ya mtu 1 nao, nao watakipa chama cha mboga kula za kishindo
22. Wakulima wa mazao ya chakula na wale wa mazao ya kibiashara kama pamba, kahawa, chai na tumbaku, na Cocoa wapatao 3,480,700 ambao tangu sera za mazao hayo zibadilishe na utawala huu mwaka 2018, wakulima wakakosa sauti, makampuni yaliyowasapoti yakala hasara, na kufunga ofisini, na wakulima kuzuiwa kuuza mazao yao nje, nao watapiga kura nyingi kwa chama kile
22. Watumishi zaidi ya 1.5 Millioni, wanao idai mifuko ya hifadhi ya jamii mafao yao, ambao wameambiwa wasubiri miaka 60 ndipo wapate mafao yao, nao watakipa kura za kishino chama kile
Mengineo mtaongezea wana CCM wenzangu. Kwako mwalimu Kashasha.