Uchaguzi 2020 CCM itashinda kwa kishindo kikubwa sana Arusha Mjini

“Wamechoka siasa za fujo, vurugu na maandamanko” - hiyo ni sentensi moja uliyoandika kwenye bandiko.

Unazungumzia miaka gani?? Nikukumbushe - uliyoyasema yalitokea kabla ya uchaguzi wa 2015 na Lema bado alishinda. Toka 2015 hakujawa hata na mkutano wa hadhara ukioruhusiwa na Polisi! Unazungumzia Arusha ipi??

Haikusaidii kudanganya. Timiza wajibu wako, piga kura kumchagua unayemtaka!!
 
Mapema leo, mgombea wa ubunge Arusha mjini kwa ticket ya CCM alikua anarudisha fomu yake kwa msimamizi wa uchaguzi Arusha.

Pamoja nae ameandamana na mgombea wa viti maalum bi Catherine Magige.

Pamoja na wanachama na wafuasi wengi Sana wa chama Cha mapinduzi kujitokeza kumsindikiza mgombea wao, wananchi wengi Sana waliacha shughuli zao ili tu wamuone na wengine wengi wamejitokeza kumsindikiza ndugu Mrisho Mashaka Gambo kurudisha fomu ya uchaguzi.

Kwa niliyoyashuhudia kwa macho, ni wazi Sasa siasa za CHADEMA ndo zinafikia kikomo Arusha mjini. Wananchi wanasema walichoka na siasa za fujo, vurugu na maandamano.

Hata hivyo wananchi wanalalamika mbunge aliyemaliza muda wake Godbless Lema alikuwa hashiriki kwenye shughuli zinazowagusa wananchi, haswa wakipata shida. Mfano waliotoa wananchi ni wakati wa janga la Moto wa soko la samunge. Mbunge hakuonekana kabisa na Wala hakuwapa pole wajasiriamali wadogowadogo waliopatwa na janga kubwa Kama lile. Hakika ni Jambo la kushtua Sana haswa ukichukulia familia nyingi za watu wa Arusha lazma utakuta Wana ndugu, jamaa ama rafiki anafanya biashara eneo la samunge. Hakika Moto ule uligusa familia nyingi Arusha.

Katika maeneo ya kaloleni, wakazi wa Soweto wanasema kamwe hawatamsahau Lema na CHADEMA kwa jinsi walivyowadanganya wakati waliposababisha fujo na vurugu katika uwanja wa Soweto. Watoto wawili Sharifa na Fatuma Jumanne waliumia na wakapelekwa katika hospitali ya Mount Meru kwa ajili ya matibabu. Mbunge aliyemaliza muda wake Lema pamoja na Mbowe na CHADEMA waliwashauri wazaz wawahamishie watoto katika hospitali ya selian, kwakuwa wao watalipa bill ya waganga wote.

Watoto wale walihamishiwa pale seliani huku CHADEMA waakijua kabisa sio kweli kwamba walikuwa wamelipia pale, matokeo yake wale watoto hawakupata huduma yeyote kwakuwa Ile ni hospitality malipo Hali iliyopelekea mmoja wa mtoto kukatwa mguu na mwingine kupata ulemavu. Chama Cha Mapinduzi baada ya kupata habari Ile haraka sana iliingilia Kati na kuwapeleka watoto wale Nairobi na kuhakikisha wanatibiwa mpaka wanapona.

Bila aibu Mbowe na Lema walikuwa wanahojiwa na vyombo vya habari na kuuhadaa Uma kwamba wagonjwa wapo Nairobi huku wakijua kabisa kwamba waliwadanganya wazaz na kuwapotosha (laiti wangewaacha watoto pale hospital ya mkoa ya Mount Meru, watoto wangepatiwa huduma mapema hivyo wasingepata ulemavu), lakini pia waliuhadaa Uma wa watanzania huku wakijua hawakutoa hata Senti tano kuwahudumia watoto wale na hata hawajui wako wapi na wanaendelea vipi kwa Sasa. Watoto hao wanaendelea na masomo yao huku CCM ikiwafatilia kwa ukaribu mkubwa Sana.

Haya niliyoandika hapa ni kwa uchache sana wa malalamiko ya wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake dhidi ya mbunge Lema na chama chake Cha CHADEMA.

Lakini pia Wana Mengi Sana wanayompongeza Mh. Raisi Magufuli na serikali ya awamu ya tano aliyoyafanya Arusha. Miradi mingi ya pesa nyingi imekuja Arusha. Maji, umeme barabara na pia kinaa mama naa vijana wamewezeshwa kufanya biashara, hivyo kuongeza ajira Arusha. Huduma za afya haswa ya mama, mtoto na wazee zimeboreshwa Sana pamoja na kwamba Jimbo lilikuwa lipo upinzani.

Baada ya kuona umati wa watu wengi namna hiyo waliojitokeza kusupport CCM na wagombea wake, HAKIKA NIMEAMINI SIASA ZA CHADEMA SASA ZIMEFIKIA UKINGONI NA SIASA ZA LEMA ZIMEFIKIA TAMATI ARUSHA MJINI.
Walikuwa pamoja na Lema sasa huo umati ulikuwa wa CCM kwa vipi? Danganya wajinga wenzio. Kwani matokeo si yatatoka kwenye sanduku la kura? Subiri uchaguzi usijifarague.
 
Walikuwa pamoja na Lema sasa huo umati ulikuwa wa CCM kwa vipi? Danganya wajinga wenzio. Kwani matokeo si yatatoka kwenye sanduku la kura? Subiri uchaguzi usijifarague.
Mna hasira kweli kipindi hiki. Poleni. Umati ulianzia CCM wilaya, Lema alikuwepo?
 
Mna hasira kweli kipindi hiki. Poleni. Umati ulianzia CCM wilaya, Lema alikuwepo?
Sina shida na CCM wilayani au mbinguni, nazungumzia urejeshaji wa fomu za wagombea wakiwa wote ofisi za msimamizi wa tume. Nyomi ya CCM huko huko CCM.
 
“Wamechoka siasa za fujo, vurugu na maandamanko” - hiyo ni sentensi moja uliyoandika kwenye bandiko.

Unazungumzia miaka gani?? Nikukumbushe - uliyoyasema yalitokea kabla ya uchaguzi wa 2015 na Lema bado alishinda. Toka 2015 hakujawa hata na mkutano wa hadhara ukioruhusiwa na Polisi! Unazungumzia Arusha ipi??

Haikusaidii kudanganya. Timiza wajibu wako, piga kura kumchagua unayemtaka!!
Moto wa samunge ulitokea lini?? Nasema malalamiko ni Mengi, hayo ni kwa uchache Sana.
 
Mapema leo, mgombea wa ubunge Arusha mjini kwa ticket ya CCM alikua anarudisha fomu yake kwa msimamizi wa uchaguzi Arusha.

Pamoja nae ameandamana na mgombea wa viti maalum bi Catherine Magige.

Pamoja na wanachama na wafuasi wengi Sana wa chama Cha mapinduzi kujitokeza kumsindikiza mgombea wao, wananchi wengi Sana waliacha shughuli zao ili tu wamuone na wengine wengi wamejitokeza kumsindikiza ndugu Mrisho Mashaka Gambo kurudisha fomu ya uchaguzi.

Kwa niliyoyashuhudia kwa macho, ni wazi Sasa siasa za CHADEMA ndo zinafikia kikomo Arusha mjini. Wananchi wanasema walichoka na siasa za fujo, vurugu na maandamano.

Hata hivyo wananchi wanalalamika mbunge aliyemaliza muda wake Godbless Lema alikuwa hashiriki kwenye shughuli zinazowagusa wananchi, haswa wakipata shida. Mfano waliotoa wananchi ni wakati wa janga la Moto wa soko la samunge. Mbunge hakuonekana kabisa na Wala hakuwapa pole wajasiriamali wadogowadogo waliopatwa na janga kubwa Kama lile. Hakika ni Jambo la kushtua Sana haswa ukichukulia familia nyingi za watu wa Arusha lazma utakuta Wana ndugu, jamaa ama rafiki anafanya biashara eneo la samunge. Hakika Moto ule uligusa familia nyingi Arusha.

Katika maeneo ya kaloleni, wakazi wa Soweto wanasema kamwe hawatamsahau Lema na CHADEMA kwa jinsi walivyowadanganya wakati waliposababisha fujo na vurugu katika uwanja wa Soweto. Watoto wawili Sharifa na Fatuma Jumanne waliumia na wakapelekwa katika hospitali ya Mount Meru kwa ajili ya matibabu. Mbunge aliyemaliza muda wake Lema pamoja na Mbowe na CHADEMA waliwashauri wazaz wawahamishie watoto katika hospitali ya selian, kwakuwa wao watalipa bill ya waganga wote.

Watoto wale walihamishiwa pale seliani huku CHADEMA waakijua kabisa sio kweli kwamba walikuwa wamelipia pale, matokeo yake wale watoto hawakupata huduma yeyote kwakuwa Ile ni hospitality malipo Hali iliyopelekea mmoja wa mtoto kukatwa mguu na mwingine kupata ulemavu. Chama Cha Mapinduzi baada ya kupata habari Ile haraka sana iliingilia Kati na kuwapeleka watoto wale Nairobi na kuhakikisha wanatibiwa mpaka wanapona.

Bila aibu Mbowe na Lema walikuwa wanahojiwa na vyombo vya habari na kuuhadaa Uma kwamba wagonjwa wapo Nairobi huku wakijua kabisa kwamba waliwadanganya wazaz na kuwapotosha (laiti wangewaacha watoto pale hospital ya mkoa ya Mount Meru, watoto wangepatiwa huduma mapema hivyo wasingepata ulemavu), lakini pia waliuhadaa Uma wa watanzania huku wakijua hawakutoa hata Senti tano kuwahudumia watoto wale na hata hawajui wako wapi na wanaendelea vipi kwa Sasa. Watoto hao wanaendelea na masomo yao huku CCM ikiwafatilia kwa ukaribu mkubwa Sana.

Haya niliyoandika hapa ni kwa uchache sana wa malalamiko ya wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake dhidi ya mbunge Lema na chama chake Cha CHADEMA.

Lakini pia Wana Mengi Sana wanayompongeza Mh. Raisi Magufuli na serikali ya awamu ya tano aliyoyafanya Arusha. Miradi mingi ya pesa nyingi imekuja Arusha. Maji, umeme barabara na pia kinaa mama naa vijana wamewezeshwa kufanya biashara, hivyo kuongeza ajira Arusha. Huduma za afya haswa ya mama, mtoto na wazee zimeboreshwa Sana pamoja na kwamba Jimbo lilikuwa lipo upinzani.

Baada ya kuona umati wa watu wengi namna hiyo waliojitokeza kusupport CCM na wagombea wake, HAKIKA NIMEAMINI SIASA ZA CHADEMA SASA ZIMEFIKIA UKINGONI NA SIASA ZA LEMA ZIMEFIKIA TAMATI ARUSHA MJINI.
Unaota ndoto ya mchana
 
Mapema leo, mgombea wa ubunge Arusha mjini kwa ticket ya CCM alikua anarudisha fomu yake kwa msimamizi wa uchaguzi Arusha.

Pamoja nae ameandamana na mgombea wa viti maalum bi Catherine Magige.

Pamoja na wanachama na wafuasi wengi Sana wa chama Cha mapinduzi kujitokeza kumsindikiza mgombea wao, wananchi wengi Sana waliacha shughuli zao ili tu wamuone na wengine wengi wamejitokeza kumsindikiza ndugu Mrisho Mashaka Gambo kurudisha fomu ya uchaguzi.

Kwa niliyoyashuhudia kwa macho, ni wazi Sasa siasa za CHADEMA ndo zinafikia kikomo Arusha mjini. Wananchi wanasema walichoka na siasa za fujo, vurugu na maandamano.

Hata hivyo wananchi wanalalamika mbunge aliyemaliza muda wake Godbless Lema alikuwa hashiriki kwenye shughuli zinazowagusa wananchi, haswa wakipata shida. Mfano waliotoa wananchi ni wakati wa janga la Moto wa soko la samunge. Mbunge hakuonekana kabisa na Wala hakuwapa pole wajasiriamali wadogowadogo waliopatwa na janga kubwa Kama lile. Hakika ni Jambo la kushtua Sana haswa ukichukulia familia nyingi za watu wa Arusha lazma utakuta Wana ndugu, jamaa ama rafiki anafanya biashara eneo la samunge. Hakika Moto ule uligusa familia nyingi Arusha.

Katika maeneo ya kaloleni, wakazi wa Soweto wanasema kamwe hawatamsahau Lema na CHADEMA kwa jinsi walivyowadanganya wakati waliposababisha fujo na vurugu katika uwanja wa Soweto. Watoto wawili Sharifa na Fatuma Jumanne waliumia na wakapelekwa katika hospitali ya Mount Meru kwa ajili ya matibabu. Mbunge aliyemaliza muda wake Lema pamoja na Mbowe na CHADEMA waliwashauri wazaz wawahamishie watoto katika hospitali ya selian, kwakuwa wao watalipa bill ya waganga wote.

Watoto wale walihamishiwa pale seliani huku CHADEMA waakijua kabisa sio kweli kwamba walikuwa wamelipia pale, matokeo yake wale watoto hawakupata huduma yeyote kwakuwa Ile ni hospitality malipo Hali iliyopelekea mmoja wa mtoto kukatwa mguu na mwingine kupata ulemavu. Chama Cha Mapinduzi baada ya kupata habari Ile haraka sana iliingilia Kati na kuwapeleka watoto wale Nairobi na kuhakikisha wanatibiwa mpaka wanapona.

Bila aibu Mbowe na Lema walikuwa wanahojiwa na vyombo vya habari na kuuhadaa Uma kwamba wagonjwa wapo Nairobi huku wakijua kabisa kwamba waliwadanganya wazaz na kuwapotosha (laiti wangewaacha watoto pale hospital ya mkoa ya Mount Meru, watoto wangepatiwa huduma mapema hivyo wasingepata ulemavu), lakini pia waliuhadaa Uma wa watanzania huku wakijua hawakutoa hata Senti tano kuwahudumia watoto wale na hata hawajui wako wapi na wanaendelea vipi kwa Sasa. Watoto hao wanaendelea na masomo yao huku CCM ikiwafatilia kwa ukaribu mkubwa Sana.

Haya niliyoandika hapa ni kwa uchache sana wa malalamiko ya wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake dhidi ya mbunge Lema na chama chake Cha CHADEMA.

Lakini pia Wana Mengi Sana wanayompongeza Mh. Raisi Magufuli na serikali ya awamu ya tano aliyoyafanya Arusha. Miradi mingi ya pesa nyingi imekuja Arusha. Maji, umeme barabara na pia kinaa mama naa vijana wamewezeshwa kufanya biashara, hivyo kuongeza ajira Arusha. Huduma za afya haswa ya mama, mtoto na wazee zimeboreshwa Sana pamoja na kwamba Jimbo lilikuwa lipo upinzani.

Baada ya kuona umati wa watu wengi namna hiyo waliojitokeza kusupport CCM na wagombea wake, HAKIKA NIMEAMINI SIASA ZA CHADEMA SASA ZIMEFIKIA UKINGONI NA SIASA ZA LEMA ZIMEFIKIA TAMATI ARUSHA MJINI.
Subirini kmpeni zianze muambiwe ni nani akichoma hilo soko ili mumuone ana msaada kwenu. Subirini mjulishwe ni nani alie kuwa ana choma shule zenu. Msiwaone wana siasa wa Ccm mkadhani ni watu wema. Mna waona hivyo kwa sababu ya shida na njaa zenu ila hawa ni mafisi maji. Mchana wana kuchekea usiku wana kuchoma.
 
Kwani wewe hukuona matangazo ya kuomba kusindikizwa mgombea wa CCM? Watanzania tumeumbwa na utu hivyo mtu akiomba kusindikizwa Kama jirani yetu tunamsindikiza lakini njoo uone tutakachomfanya 28 October hautaamini.
Hata uzinduzi wao utakao fanyika Dodoma jumamosi wameshaanza kupitisha bakuli kuomba magari ya kusomba watu, na kuwaomba wafanya biashara walio teswa miaka mitano wachangie gharama.
Nyomi ya Lissu hivi mlisikia kuna walio pewa usafiri au pesa?? Mapenzi ya maigizo...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom