CCM itaendeleaa kuwa Chama kiongozi na Tumaini la watanzania Daima

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,083
9,456
Ndugu zangu huo ndio ukweli japo ukweli mchungu kwa wasiotaka kuamini ukweli huo, ukiangalia muundo wa chama hiki, ukiangalia, Sera na ajenda za chama hiki, ukiangalia mpokezano wa uongozi ndani ya chama hiki, ukiangalia namna viongozi wake wanavyopikwa na kuandaliwa,


Ukiangalia namna migogoro inavyotatuliwa na kumalizwa, ukiangalia mtandao wake kiuongozi, Ukiangalia mizizi ya chama hiki ,Hakika utahitimisha kwa kukubali ukweli kuwa hapa nchini Hakuna chama mbadala wa CCM na bado hakijatokea Wala Hakuna dalili ya kutokea zaidi ya kupotea kabisa kwa vyama vya upinzani, Maana vyama vyote vilivyopo hapa nchini vinavyojiita vyama vya upinzani Ni Kama Ni vyama SHIKIZI Tu,

Ndio maana Leo unaweza kuona kiongozi mkubwa wa upinzani kesho akawa CCM lakini Ni ngumu kukuta kiongozi mkubwa toka CCM akaenda upinzani na akadumu huko, sababu Ni kuwa Ni ngumu kwa mtu mwenye uelewa na anayependa kulinda heshima yake akawa upinzani, maana kule Ni Kama mkusanyiko wa kambale, Hakuna kuheshimiana Wala kusikilizana, kule kijana yoyote wa umri wowote anaweza kumtukana mzee anayelingana umri na babu yake na bado akashangiliwa na kuitwa huyo ndiyo kamanda aliyeiva,

Upinzani wa Tanzania hauna ajenda Wala Sera za kuuzika kwa mwananchi, kule mgombea ndio huwa ilani,Sera na ajenda ya chama, Ndio maana huwa hawana hata muda wa kuandaa kiongozi wa kuja kugombea nafasi fulani ya juu Zaid ya kwenda na upepo na kusubili Mtu atoke CCM aje kwao Jambo ambalo huwezi kulikuta likitokea CCM,

CCM imejaa hazina ya viongozi wa leo kesho na hata kesho kutwa, Ni chama ambacho ukianza kuangalia safu yake ya viongozi waliopoo na hata waliopembeni unaona Ni chama kilichokamilika kila idara, Ndio maana hakuna mkubwa ndani ya CCM, unaweza ukaondoka CCM na bado CCM ikasonga mbele tu,

Lakini upinzani Ni vyama vilivyoweka matumaini kwa mtu, Ni vyama ambavyo havina hata mbadala wa uongozi, Ni vyama ambavyo ukimtaja mtu Ni Kama ndio chama mwenyewe, Angalia mh Mbowe Ni Mwenyekiti Tangia lini? Nani mbadala wake? Angalia safu yake ya uongozi, je unaleta matumaini? Hapana haileti matumaini maana ukiona viongozi wa kamati kuu wanatukana na kuvunjiana heshima hadharani ujuwe hapo Hakuna chama Zaid ya ubabaishaji na kusaka fursa

CCM Ni chama kilichobeba Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, ni chama kinachosikiliza na kubadilika kulingana na wakati na mahitaji ya wakati, Ni chama kilichobeba matumaini na Imani ya watanzania katika kuwapa maendeleo, mtu akifika katika ofisi ya CCM anakuwa na matumaini na uhakika wa kupata suluhisho ya tatizo au kero yake

Ndio maana kila utakapokwenda katika nchi hii utaikuta CCM, ukienda katika taasisi yoyote Ile utaikuta CCM na ukiwa katika kundi lolote lile utaikuta CCM, mizizi ya CCM imetapakaa na kuambaa kila eneo, CCM Ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu, Wakati Sera na ajenda za upinzani huwa Ni mgombea mwenyewe kulingana na anavyojisikia, wakati CCM huongozwa na ilani ya chama

Tanzania chini ya CCM Ni imara Sana, Ni salama Sana, Ni tumaini la wanyonge, Ni kimbilio la waliokata tamaa na kudhulumiwa, Ni Nuru kwa wanaoona Giza mbele, Ni tumaini kwa wenye ndoto yoyote ya heri, Ni jibu kwa wenye kero na matatizo, Ndio maana unaona viongozi wake kila kukicha wapo kwa wananchi kuwatumikia na kuwasikiliza kero zao ili kutoa majibu


Tanzania ipo katika mikono salama ya mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wa CCm Taifa na Rais wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania
 
Unapenda kuwapa Watu Dhambi wakutukane na Sabato hii sijui utapata faida Gani Wewe MBWA
20220830_080032.jpg
20220718_134038.jpg
20220623_070853.jpg
20220523_134007.jpg
20220517_190009.png
20220424_035206.jpg
 
Tanzania chini ya CCM Ni imara Sana, Ni salama Sana, Ni tumaini la wanyonge, Ni kimbilio la waliokata tamaa na kudhulumiwa, Ni Nuru kwa wanaoona Giza mbele, Ni tumaini kwa wenye ndoto yoyote ya heri, Ni jibu kwa wenye kero na matatizo, Ndio maana unaona viongozi wake kila kukicha wapo kwa wananchi kuwatumikia na kuwasikiliza kero zao ili kutoa majibu


Tanzania ipo katika mikono salama ya mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wa CCm Taifa na Rais wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania
Naunga mkono hoja.
P
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli japo ukweli mchungu kwa wasiotaka kuamini ukweli huo, ukiangalia muundo wa chama hiki, ukiangalia, Sera na ajenda za chama hiki, ukiangalia mpokezano wa uongozi ndani ya chama hiki, ukiangalia namna viongozi wake wanavyopikwa na kuandaliwa,


Ukiangalia namna migogoro inavyotatuliwa na kumalizwa, ukiangalia mtandao wake kiuongozi, Ukiangalia mizizi ya chama hiki ,Hakika utahitimisha kwa kukubali ukweli kuwa hapa nchini Hakuna chama mbadala wa CCM na bado hakijatokea Wala Hakuna dalili ya kutokea zaidi ya kupotea kabisa kwa vyama vya upinzani, Maana vyama vyote vilivyopo hapa nchini vinavyojiita vyama vya upinzani Ni Kama Ni vyama SHIKIZI Tu,

Ndio maana Leo unaweza kuona kiongozi mkubwa wa upinzani kesho akawa CCM lakini Ni ngumu kukuta kiongozi mkubwa toka CCM akaenda upinzani na akadumu huko, sababu Ni kuwa Ni ngumu kwa mtu mwenye uelewa na anayependa kulinda heshima yake akawa upinzani, maana kule Ni Kama mkusanyiko wa kambale, Hakuna kuheshimiana Wala kusikilizana, kule kijana yoyote wa umri wowote anaweza kumtukana mzee anayelingana umri na babu yake na bado akashangiliwa na kuitwa huyo ndiyo kamanda aliyeiva,

Upinzani wa Tanzania hauna ajenda Wala Sera za kuuzika kwa mwananchi, kule mgombea ndio huwa ilani,Sera na ajenda ya chama, Ndio maana huwa hawana hata muda wa kuandaa kiongozi wa kuja kugombea nafasi fulani ya juu Zaid ya kwenda na upepo na kusubili Mtu atoke CCM aje kwao Jambo ambalo huwezi kulikuta likitokea CCM,

CCM imejaa hazina ya viongozi wa leo kesho na hata kesho kutwa, Ni chama ambacho ukianza kuangalia safu yake ya viongozi waliopoo na hata waliopembeni unaona Ni chama kilichokamilika kila idara, Ndio maana hakuna mkubwa ndani ya CCM, unaweza ukaondoka CCM na bado CCM ikasonga mbele tu,

Lakini upinzani Ni vyama vilivyoweka matumaini kwa mtu, Ni vyama ambavyo havina hata mbadala wa uongozi, Ni vyama ambavyo ukimtaja mtu Ni Kama ndio chama mwenyewe, Angalia mh Mbowe Ni Mwenyekiti Tangia lini? Nani mbadala wake? Angalia safu yake ya uongozi, je unaleta matumaini? Hapana haileti matumaini maana ukiona viongozi wa kamati kuu wanatukana na kuvunjiana heshima hadharani ujuwe hapo Hakuna chama Zaid ya ubabaishaji na kusaka fursa

CCM Ni chama kilichobeba Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, ni chama kinachosikiliza na kubadilika kulingana na wakati na mahitaji ya wakati, Ni chama kilichobeba matumaini na Imani ya watanzania katika kuwapa maendeleo, mtu akifika katika ofisi ya CCM anakuwa na matumaini na uhakika wa kupata suluhisho ya tatizo au kero yake

Ndio maana kila utakapokwenda katika nchi hii utaikuta CCM, ukienda katika taasisi yoyote Ile utaikuta CCM na ukiwa katika kundi lolote lile utaikuta CCM, mizizi ya CCM imetapakaa na kuambaa kila eneo, CCM Ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu, Wakati Sera na ajenda za upinzani huwa Ni mgombea mwenyewe kulingana na anavyojisikia, wakati CCM huongozwa na ilani ya chama

Tanzania chini ya CCM Ni imara Sana, Ni salama Sana, Ni tumaini la wanyonge, Ni kimbilio la waliokata tamaa na kudhulumiwa, Ni Nuru kwa wanaoona Giza mbele, Ni tumaini kwa wenye ndoto yoyote ya heri, Ni jibu kwa wenye kero na matatizo, Ndio maana unaona viongozi wake kila kukicha wapo kwa wananchi kuwatumikia na kuwasikiliza kero zao ili kutoa majibu


Tanzania ipo katika mikono salama ya mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wa CCm Taifa na Rais wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania
🤣🤣🤣🤣
 
Miaka 61 ya uhuru,
Mikopo,Kodi,Tozo ndio mjadala na si Misaada,kukopesha nchi maskini au kuwa na Uchumi unaojitegemea.

Bora ungekaa kimya.
 
Nafikiri kwa kuwa hakuna mizani sawa ya kufanya siasa nchini ndio maana CCM itabaki kuwa chama kiongozi.

Pia factors kama Umasikini , Elimu duni na Elimu kasuku, yaani ujinga uliokithiri wa watanzania walio wengi ndio maana ni ngumu kwa vyama vingine kupata public attention.

Naamini CCM ipo siku itakufa kwa kugawanyika vipande vipande. Itachukua muda mrefu kulingana na mabadiliko ya mawazo na fikra za watanzania wenyewe. Upinzani wa sasa bado hauna ushawishi kwa majority.
 
Nafikiri kwa kuwa hakuna mizani sawa ya kufanya siasa nchini ndio maana CCM itabaki kuwa chama kiongozi.

Pia factors kama Umasikini , Elimu duni na Elimu kasuku, yaani ujinga uliokithiri wa watanzania walio wengi ndio maana ni ngumu kwa vyama vingine kupata public attention.

Naamini CCM ipo siku itakufa kwa kugawanyika vipande vipande. Itachukua muda mrefu kulingana na mabadiliko ya mawazo na fikra za watanzania wenyewe. Upinzani wa sasa bado hauna ushawishi kwa majority.
Well said
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli japo ukweli mchungu kwa wasiotaka kuamini ukweli huo, ukiangalia muundo wa chama hiki, ukiangalia, Sera na ajenda za chama hiki, ukiangalia mpokezano wa uongozi ndani ya chama hiki, ukiangalia namna viongozi wake wanavyopikwa na kuandaliwa,


Ukiangalia namna migogoro inavyotatuliwa na kumalizwa, ukiangalia mtandao wake kiuongozi, Ukiangalia mizizi ya chama hiki ,Hakika utahitimisha kwa kukubali ukweli kuwa hapa nchini Hakuna chama mbadala wa CCM na bado hakijatokea Wala Hakuna dalili ya kutokea zaidi ya kupotea kabisa kwa vyama vya upinzani, Maana vyama vyote vilivyopo hapa nchini vinavyojiita vyama vya upinzani Ni Kama Ni vyama SHIKIZI Tu,

Ndio maana Leo unaweza kuona kiongozi mkubwa wa upinzani kesho akawa CCM lakini Ni ngumu kukuta kiongozi mkubwa toka CCM akaenda upinzani na akadumu huko, sababu Ni kuwa Ni ngumu kwa mtu mwenye uelewa na anayependa kulinda heshima yake akawa upinzani, maana kule Ni Kama mkusanyiko wa kambale, Hakuna kuheshimiana Wala kusikilizana, kule kijana yoyote wa umri wowote anaweza kumtukana mzee anayelingana umri na babu yake na bado akashangiliwa na kuitwa huyo ndiyo kamanda aliyeiva,

Upinzani wa Tanzania hauna ajenda Wala Sera za kuuzika kwa mwananchi, kule mgombea ndio huwa ilani,Sera na ajenda ya chama, Ndio maana huwa hawana hata muda wa kuandaa kiongozi wa kuja kugombea nafasi fulani ya juu Zaid ya kwenda na upepo na kusubili Mtu atoke CCM aje kwao Jambo ambalo huwezi kulikuta likitokea CCM,

CCM imejaa hazina ya viongozi wa leo kesho na hata kesho kutwa, Ni chama ambacho ukianza kuangalia safu yake ya viongozi waliopoo na hata waliopembeni unaona Ni chama kilichokamilika kila idara, Ndio maana hakuna mkubwa ndani ya CCM, unaweza ukaondoka CCM na bado CCM ikasonga mbele tu,

Lakini upinzani Ni vyama vilivyoweka matumaini kwa mtu, Ni vyama ambavyo havina hata mbadala wa uongozi, Ni vyama ambavyo ukimtaja mtu Ni Kama ndio chama mwenyewe, Angalia mh Mbowe Ni Mwenyekiti Tangia lini? Nani mbadala wake? Angalia safu yake ya uongozi, je unaleta matumaini? Hapana haileti matumaini maana ukiona viongozi wa kamati kuu wanatukana na kuvunjiana heshima hadharani ujuwe hapo Hakuna chama Zaid ya ubabaishaji na kusaka fursa

CCM Ni chama kilichobeba Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, ni chama kinachosikiliza na kubadilika kulingana na wakati na mahitaji ya wakati, Ni chama kilichobeba matumaini na Imani ya watanzania katika kuwapa maendeleo, mtu akifika katika ofisi ya CCM anakuwa na matumaini na uhakika wa kupata suluhisho ya tatizo au kero yake

Ndio maana kila utakapokwenda katika nchi hii utaikuta CCM, ukienda katika taasisi yoyote Ile utaikuta CCM na ukiwa katika kundi lolote lile utaikuta CCM, mizizi ya CCM imetapakaa na kuambaa kila eneo, CCM Ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu, Wakati Sera na ajenda za upinzani huwa Ni mgombea mwenyewe kulingana na anavyojisikia, wakati CCM huongozwa na ilani ya chama

Tanzania chini ya CCM Ni imara Sana, Ni salama Sana, Ni tumaini la wanyonge, Ni kimbilio la waliokata tamaa na kudhulumiwa, Ni Nuru kwa wanaoona Giza mbele, Ni tumaini kwa wenye ndoto yoyote ya heri, Ni jibu kwa wenye kero na matatizo, Ndio maana unaona viongozi wake kila kukicha wapo kwa wananchi kuwatumikia na kuwasikiliza kero zao ili kutoa majibu


Tanzania ipo katika mikono salama ya mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wa CCm Taifa na Rais wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania
Napata mashaka kama wewe ni mtanzania wa kawaida, kuna mawili either wewe ni mnufaika wa system au wewe ni mpumbavu... hutoki nje ya hapo haki tena nakuambia jichunguze..
 
Naomba uniambie Sera na ajenda za upinzani kwa Sasa Ni zipi zinazogusa maisha ya mtanzania hasa Yule mnyonge
Napata mashaka kama wewe ni mtanzania wa kawaida, kuna mawili either wewe ni mnufaika wa system au wewe ni mpumbavu... hutoki nje ya hapo haki tena nakuambia jichunguze..
 
Mama yupo kazini kujenga uchumi wa kutotegemea misaada na mamikopo kwa kila jambo
Miaka 61 ya uhuru,
Mikopo,Kodi,Tozo ndio mjadala na si Misaada,kukopesha nchi maskini au kuwa na Uchumi unaojitegemea.

Bora ungekaa kimya.
 
N
Nafikiri kwa kuwa hakuna mizani sawa ya kufanya siasa nchini ndio maana CCM itabaki kuwa chama kiongozi.

Pia factors kama Umasikini , Elimu duni na Elimu kasuku, yaani ujinga uliokithiri wa watanzania walio wengi ndio maana ni ngumu kwa vyama vingine kupata public attention.

Naamini CCM ipo siku itakufa kwa kugawanyika vipande vipande. Itachukua muda mrefu kulingana na mabadiliko ya mawazo na fikra za watanzania wenyewe. Upinzani wa sasa bado hauna ushawishi kwa majority.
Upinzani hautakaa uje uwe na ushawishi kwa watanzania kutokanaa na mfumo wa uongozi wa CCm na kupokezana kwa kijiti Cha uongozzi kunakofanya mabadiliko ya kifikra na kimtizamo kubadilika kutokana na wakati na mahitaji ya watanzania
 
Ungekuwa unaandika kwa fikra zako usingeandika huu ujinga, kuna kitu kimekusukuma kuandika haya!;
Wewe ni sehemu ya walamba asali wachache kwa jasho la wananchi wengi AU
Malipo kdg anayolipwa kuandika ndio yanakusukuma bila kutumia fikra au akili zako!
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli japo ukweli mchungu kwa wasiotaka kuamini ukweli huo, ukiangalia muundo wa chama hiki, ukiangalia, Sera na ajenda za chama hiki, ukiangalia mpokezano wa uongozi ndani ya chama hiki, ukiangalia namna viongozi wake wanavyopikwa na kuandaliwa,


Ukiangalia namna migogoro inavyotatuliwa na kumalizwa, ukiangalia mtandao wake kiuongozi, Ukiangalia mizizi ya chama hiki ,Hakika utahitimisha kwa kukubali ukweli kuwa hapa nchini Hakuna chama mbadala wa CCM na bado hakijatokea Wala Hakuna dalili ya kutokea zaidi ya kupotea kabisa kwa vyama vya upinzani, Maana vyama vyote vilivyopo hapa nchini vinavyojiita vyama vya upinzani Ni Kama Ni vyama SHIKIZI Tu,

Ndio maana Leo unaweza kuona kiongozi mkubwa wa upinzani kesho akawa CCM lakini Ni ngumu kukuta kiongozi mkubwa toka CCM akaenda upinzani na akadumu huko, sababu Ni kuwa Ni ngumu kwa mtu mwenye uelewa na anayependa kulinda heshima yake akawa upinzani, maana kule Ni Kama mkusanyiko wa kambale, Hakuna kuheshimiana Wala kusikilizana, kule kijana yoyote wa umri wowote anaweza kumtukana mzee anayelingana umri na babu yake na bado akashangiliwa na kuitwa huyo ndiyo kamanda aliyeiva,

Upinzani wa Tanzania hauna ajenda Wala Sera za kuuzika kwa mwananchi, kule mgombea ndio huwa ilani,Sera na ajenda ya chama, Ndio maana huwa hawana hata muda wa kuandaa kiongozi wa kuja kugombea nafasi fulani ya juu Zaid ya kwenda na upepo na kusubili Mtu atoke CCM aje kwao Jambo ambalo huwezi kulikuta likitokea CCM,

CCM imejaa hazina ya viongozi wa leo kesho na hata kesho kutwa, Ni chama ambacho ukianza kuangalia safu yake ya viongozi waliopoo na hata waliopembeni unaona Ni chama kilichokamilika kila idara, Ndio maana hakuna mkubwa ndani ya CCM, unaweza ukaondoka CCM na bado CCM ikasonga mbele tu,

Lakini upinzani Ni vyama vilivyoweka matumaini kwa mtu, Ni vyama ambavyo havina hata mbadala wa uongozi, Ni vyama ambavyo ukimtaja mtu Ni Kama ndio chama mwenyewe, Angalia mh Mbowe Ni Mwenyekiti Tangia lini? Nani mbadala wake? Angalia safu yake ya uongozi, je unaleta matumaini? Hapana haileti matumaini maana ukiona viongozi wa kamati kuu wanatukana na kuvunjiana heshima hadharani ujuwe hapo Hakuna chama Zaid ya ubabaishaji na kusaka fursa

CCM Ni chama kilichobeba Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, ni chama kinachosikiliza na kubadilika kulingana na wakati na mahitaji ya wakati, Ni chama kilichobeba matumaini na Imani ya watanzania katika kuwapa maendeleo, mtu akifika katika ofisi ya CCM anakuwa na matumaini na uhakika wa kupata suluhisho ya tatizo au kero yake

Ndio maana kila utakapokwenda katika nchi hii utaikuta CCM, ukienda katika taasisi yoyote Ile utaikuta CCM na ukiwa katika kundi lolote lile utaikuta CCM, mizizi ya CCM imetapakaa na kuambaa kila eneo, CCM Ni Kama maji usipoyanywa utayaoga tu, Wakati Sera na ajenda za upinzani huwa Ni mgombea mwenyewe kulingana na anavyojisikia, wakati CCM huongozwa na ilani ya chama

Tanzania chini ya CCM Ni imara Sana, Ni salama Sana, Ni tumaini la wanyonge, Ni kimbilio la waliokata tamaa na kudhulumiwa, Ni Nuru kwa wanaoona Giza mbele, Ni tumaini kwa wenye ndoto yoyote ya heri, Ni jibu kwa wenye kero na matatizo, Ndio maana unaona viongozi wake kila kukicha wapo kwa wananchi kuwatumikia na kuwasikiliza kero zao ili kutoa majibu


Tanzania ipo katika mikono salama ya mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wa CCm Taifa na Rais wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania

Hakuna mtanzania anaangaika na mambo ya ubora wa chama kwa sasa

JPM na Balozi pole pole walifanya kazi mzuri

Walituonesha mpaka wezi na mafisadi walivyokuwa wananufaika kupitia vyama vya siasa

Now the Ishu ni Kodi tozo na mambo ya matumizi ya fedha na utawala Bora

Mambo ya ccm sijui nn Kwa sasa hakuna mtu ana muda nayo

Why kuna tozo na while vyanzo vingi vya mapato?

Tumekopa Sana, tumepewa misaada sana

Ela ziko wapi?
 
Naomba uniambie Sera na ajenda za upinzani kwa Sasa Ni zipi zinazogusa maisha ya mtanzania hasa Yule mnyonge
Sera wa wapinzani zitagusa wananchi kwa kipi walichonacho? sera za ccm ndio ziguse wananchi positive kwa kuwa kila kitu kipo chini yao, Alafu achana na upinzani suala ni kupambana kwa kulinganisha na waliotuzidi kinchi sio mambo ya upinzani hapa, sijui habari za upinzani nakuuliza ulieshika madaraka miaka 60 je maendeleo yanaendana na muda huo wote uliokaa madarakani? simple tuu hivyo sio ngonjera za kujilinganisha na upinzani asie na kitu nonsense
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom