CCM isiyo na diwani yaishinda CHADEMA iliyo na diwani katika juhudi za maendeleo sinza

Developer IOS

JF-Expert Member
Jun 20, 2017
1,457
1,409
Habari wakuu,

Sisi wakazi wa sinza tumesema kwa nguvu moja tumekoma tena tumekoma zaidi ya tulivyokoma manyonyo ya mama zetu kuwapa ridhaa ya uongozi CHADEMA ambao hawajali waliowachagua ambao hawajali walipigwa na jua katika foleni kuwapa ridhaa wawatumikie ambao waliwapa ahadi kedekede.

Baada ya kuwapa ridhaa wamekimbia hatuwaoni zaidi zaidi wanatuhumiwa kwa ufisadi tuu katika kata yetu. Leo chama ambacho hakina diwani kimekuwa mstari wa mbele kushiriki na sisi wanyonge wenzao katika shughuli za maendeleo wakati tuliompa power hiyo kakimbia.

Leo anadai ana pesa hata ya kununua vitabu katika shule za msingi ilihali chama kisichokuwa na diwani ngazi ya kata CCM kimeweza. Leo wameshindwa kujenga hata daraja dogo la kuvukia mtaro sinza e ilihali chama cha mapinduzi kwa ngazi ya mjumbe shina kimeweza kwa kushirikiana na wananchi.

Kazi wanayoiweza ni kukaa twitter kumtukana mh Rais na kudai eti wanaibiwa kura ndo maana hawapati hatamu ya kutawala. Wajiulize wamewafanyia nini wananchi katika tawala ndogo tu walizopewa sinza inaonyesha picha ya tawala za upinzani huku zimejawa na watu selfish ambao wanawaza madaraka bila kujua watawafanyia nini wananchi wananchi hatutaki viongozi wa kushinda twitter tunataka viongozi wanaopiga kazi kweli kweli.
 
unachoma mwizi wa simu unamuacha lowassa anapita barabarani by freeman mbowe..... yupo huko kwenu ccm mchomeni sasa;);););)
 
Habari wakuu,

Sisi wakazi wa sinza tumesema kwa nguvu moja tumekoma tena tumekoma zaidi ya tulivyokoma manyonyo ya mama zetu kuwapa ridhaa ya uongozi CHADEMA ambao hawajali waliowachagua ambao hawajali walipigwa na jua katika foleni kuwapa ridhaa wawatumikie ambao waliwapa ahadi kedekede.

Baada ya kuwapa ridhaa wamekimbia hatuwaoni zaidi zaidi wanatuhumiwa kwa ufisadi tuu katika kata yetu. Leo chama ambacho hakina diwani kimekuwa mstari wa mbele kushiriki na sisi wanyonge wenzao katika shughuli za maendeleo wakati tuliompa power hiyo kakimbia.

Leo anadai ana pesa hata ya kununua vitabu katika shule za msingi ilihali chama kisichokuwa na diwani ngazi ya kata CCM kimeweza. Leo wameshindwa kujenga hata daraja dogo la kuvukia mtaro sinza e ilihali chama cha mapinduzi kwa ngazi ya mjumbe shina kimeweza kwa kushirikiana na wananchi.

Kazi wanayoiweza ni kukaa twitter kumtukana mh Rais na kudai eti wanaibiwa kura ndo maana hawapati hatamu ya kutawala. Wajiulize wamewafanyia nini wananchi katika tawala ndogo tu walizopewa sinza inaonyesha picha ya tawala za upinzani huku zimejawa na watu selfish ambao wanawaza madaraka bila kujua watawafanyia nini wananchi wananchi hatutaki viongozi wa kushinda twitter tunataka viongozi wanaopiga kazi kweli kweli.
Hahahahahaha mmefanya la maana Sana hongleni sanaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom