CCM isimwage petrol kwenye moto unaowaka!!!!

Nuru John

Member
Aug 26, 2009
15
0
Nduguzanguni mie kama mtanzania mpenda amani ya nchi yangu nilikuwa nawasihi hawa ndugu zetu wanaCCM wasichochee hatari iliyopo mbele yetu katika hili jukwaa la siasa.

CDM wamekwisha walk out infront of the president,sawa,tunajua imewauma sana,sawa,JE KUANZA KUSEMA KUWA WABUNGE WA CHADEMA WAJITOE BUNGENI NDIO SULUHISHO LA TATIZO AU NDIO WANATAKA KUZIDISHA MOTO MKALI ZAIDI UENDELEE KUWAKA???

WANATAKA KUWATOA WABUNGE WA CHADEMA KWA SHERIA NA KANUNI IPI??

WAKISAMBAZA HIYO CHUKI INAYOSEMEKANA KWA WANANCHI NA CHADEMA NAO WAKAPITA NA WAO WAKASEMA UKWELI WALIONAO NA KUTOA USHAHIDI,WANAUHAKIKA GANI KAMA WANANCHI WATAWAKUBALI WAO KULIKO CHADEMA??

NAWASHAURI WALITAFAKARI HILI JAMBO KWA UMAKINI NA UZITO WAKE ISIJE IKALA KWAO KWANI NAWAONEA HURUMA WASIJE HIYO DHAMIRA YAO IKAWATESA KUJISAFISHA TENA KAMA ILIVYOTOKEA KWENYE ISSUE YA UFISADI NA ILE ISSUE YA WAFANYAKAZI WA SERIKALI.
WAWE MAKINI HAWAJUI EXACTLY WANANCHI KIASI GANI WAKO NYUMA YA CDM.
 
CCM are deafs . They should be care ful with any thing they do. Hawa si watanzania wa mwaka 1961.
 
CCM wazee wa kuilipua Waombe ushauir kwa walioba na mwanasheria mkuu
 
Watanzania wako makini sana, CCM kama itafanya move yeyote watajimaliza wenyewe. Lakini wanasema sikio lakufa...... hivyo hawajui kwamba mwaka huu walikataliwa kwa sababu ya mijadala mbali mbali ya kuwaamusha watanzania. Leo hii mijadala ya kisiasa ikiendelea watanzania miaka mitano ijayo tutakuwa kama kenya hivi na hilo litakuwa anguko la CCM.

Jana katika pita pita yangu mitaani nilisikia pongezi kila ukigusia suala hili. Hivyo kuna haja CCM kulimaliza mapema kuliko kuliendeleza. Lazima CCM wajue watanzania wamepoteza imani nao na wachukue hatua za kurekebisha mambo mbali mbali badala ya kuacha siasa za marumbano.

Kama CCM hawatajifunza yaliyotokea nyuma waendelee na mijadala hii.
 
Nduguzanguni mie kama mtanzania mpenda amani ya nchi yangu nilikuwa nawasihi hawa ndugu zetu wanaCCM wasichochee hatari iliyopo mbele yetu katika hili jukwaa la siasa.

CDM wamekwisha walk out infront of the president,sawa,tunajua imewauma sana,sawa,JE KUANZA KUSEMA KUWA WABUNGE WA CHADEMA WAJITOE BUNGENI NDIO SULUHISHO LA TATIZO AU NDIO WANATAKA KUZIDISHA MOTO MKALI ZAIDI UENDELEE KUWAKA???

WANATAKA KUWATOA WABUNGE WA CHADEMA KWA SHERIA NA KANUNI IPI??

WAKISAMBAZA HIYO CHUKI INAYOSEMEKANA KWA WANANCHI NA CHADEMA NAO WAKAPITA NA WAO WAKASEMA UKWELI WALIONAO NA KUTOA USHAHIDI,WANAUHAKIKA GANI KAMA WANANCHI WATAWAKUBALI WAO KULIKO CHADEMA??

NAWASHAURI WALITAFAKARI HILI JAMBO KWA UMAKINI NA UZITO WAKE ISIJE IKALA KWAO KWANI NAWAONEA HURUMA WASIJE HIYO DHAMIRA YAO IKAWATESA KUJISAFISHA TENA KAMA ILIVYOTOKEA KWENYE ISSUE YA UFISADI NA ILE ISSUE YA WAFANYAKAZI WA SERIKALI.
WAWE MAKINI HAWAJUI EXACTLY WANANCHI KIASI GANI WAKO NYUMA YA CDM.
ccm ni sikio lisilosikia dawa haliponi kamwe. Tena wamshuru aliyewaonya wasiandamane kuipinga CDM kwa kitendo cha uzalendo walichoonyesha bungeni. CDM bungeni daima lasivyo hakuna bunge.
 
Naafiki mawazo yako. Tatizo la CCM ni kutowasikia wananchi na kuwaza kuwa wanachotaka au kusema ndicho wananchi wanataka. Bado CCM imetawaliwa na ile biashara ya zamani ilyompelekea JK kupata 60% za kuadjust toka 80% mwaka 2005.

Ukweli ni kuwa by design and the likes of watu wa kujikomba km Chiligati ni vigumu sana kwa CCM kijirudi. Kilichobaki kwa vile CCM inajua vizuri tu kua haikubaliki kihivyo ni kutumia nguvu za dola na taasisi kama NEC,REDET ili kuonyesha kuwa CCM na serikali zikubalika. Nadhani mlimskia vizuri Chiligati akizungumzia kushawishi Bunge kufanya maamuzi ya kuwatenga CDM. Jingine ni viongozi waliotaka kuchemka kwa kuandaa maandamano ili hali hakuna wanachama wa CCM waliokuja na ilo wazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom