Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,297
- 18,896
(1) Dynamic systems zina impulse response za aina hii hapa ambayo kukitokea mshtuko basi kutakuwa na overshoots na undershoots kabla ya kustabilize tena. Msuguano uliokuapo ndani ya chadema ni lazima ulileta impulsive response ya namna hii ndani ya chama.
(2) Halafu conservative systems zina asili ya kubadilishana kinetic na potential energy kiasi kuwa total energy ni constant. Uchaguzi ni conservative system, chama kimoja kikipata kura ni lazima chama lazima kingine kipoteze.
(3) Ukichukulia mambo hayo mawili hapo juu inakuwa si vizuri kutoa conclusion yoyote kutokana na matokeo ya uchaguzi wa madiwani uliofanyika kipindi ambacho Kitila na wenzake kwa Upande mmoja walikuwa wakiishambulia Chadema na CCM kwa upande mwingine nayo ikiishambulia Chadema ili kupata kura wakati upande wa chadema viongozi wake wakihangaika kushughulikiana na akina Kitila na wakati huo huo kuhangaika na kampeini. Magazetini habari za chadema zilikuwa mara zote ni sura mbili wakati habari za CCM zilikuwa na sura moja tu. Kwa vyovyote combination hiyo inasabaisha impuslive response kwa chadema, na ni wazi kuwa uchaguzi ulifanyika wakati ikiwa bado kwenye undershoot.
(4) Kutokana na conservative nature za uchaguzi, iwapo CHADEMA ilikuwa kwenye undershoot, basi si ajabu kwa CCM au chama kingine kupata advantage.
(5) Halafu analysis ya Dr Kitila ni shallow kidogo safari hii ukiilinganisha na ile aliyotoa mwaka huo 2012, kwa sababu safari hii amejikita katika generalization ya namba kuliko kuchambua namba hizo zina maana gani. Mwishoni anatumia results hizi kutuma ujumbe wake binafsi dhidi ya viongozi wenzake aliokorofishana nao huko chadema bila kuangalia effect ya impulsive response aliyosababisha kwenye chama chao. Matokeo ya uchaguzi yana parameters nyingi za kuangalia, na mojawapo incumbency. Mambo ambayo ningetegemea aonyeshe ni kata ngapi ambazo Chadema imepoteza na kati ya hizo ni ngapi zimechukuliwa na CCM. Iwapo uchaguzi ulihusu kata zilizokuwa zinasimamiwa na CCM zote halafu chadema ikachukua mbili au moja kati ya hizo huwezi kusema ina shrink hata kama percentage waliopata mwaka huu ni ndogo kulingana na mwaka uliopita. Kuna ile ya CHADEMA kupoteza kata moja au mbili huko Kigoma, hiyo alitakiwa aichukulie kuwa ni outlier kwa sababu Kigoma inahusiana na Zito ambaye naye alikuwa na mgogoro na CHADEMA na wala haitoi long term reflection ya performance ya CHADEMA; ni kati ya matokeo ya impulsive responses niliyozungumza hapo juu.
(2) Halafu conservative systems zina asili ya kubadilishana kinetic na potential energy kiasi kuwa total energy ni constant. Uchaguzi ni conservative system, chama kimoja kikipata kura ni lazima chama lazima kingine kipoteze.
(3) Ukichukulia mambo hayo mawili hapo juu inakuwa si vizuri kutoa conclusion yoyote kutokana na matokeo ya uchaguzi wa madiwani uliofanyika kipindi ambacho Kitila na wenzake kwa Upande mmoja walikuwa wakiishambulia Chadema na CCM kwa upande mwingine nayo ikiishambulia Chadema ili kupata kura wakati upande wa chadema viongozi wake wakihangaika kushughulikiana na akina Kitila na wakati huo huo kuhangaika na kampeini. Magazetini habari za chadema zilikuwa mara zote ni sura mbili wakati habari za CCM zilikuwa na sura moja tu. Kwa vyovyote combination hiyo inasabaisha impuslive response kwa chadema, na ni wazi kuwa uchaguzi ulifanyika wakati ikiwa bado kwenye undershoot.
(4) Kutokana na conservative nature za uchaguzi, iwapo CHADEMA ilikuwa kwenye undershoot, basi si ajabu kwa CCM au chama kingine kupata advantage.
(5) Halafu analysis ya Dr Kitila ni shallow kidogo safari hii ukiilinganisha na ile aliyotoa mwaka huo 2012, kwa sababu safari hii amejikita katika generalization ya namba kuliko kuchambua namba hizo zina maana gani. Mwishoni anatumia results hizi kutuma ujumbe wake binafsi dhidi ya viongozi wenzake aliokorofishana nao huko chadema bila kuangalia effect ya impulsive response aliyosababisha kwenye chama chao. Matokeo ya uchaguzi yana parameters nyingi za kuangalia, na mojawapo incumbency. Mambo ambayo ningetegemea aonyeshe ni kata ngapi ambazo Chadema imepoteza na kati ya hizo ni ngapi zimechukuliwa na CCM. Iwapo uchaguzi ulihusu kata zilizokuwa zinasimamiwa na CCM zote halafu chadema ikachukua mbili au moja kati ya hizo huwezi kusema ina shrink hata kama percentage waliopata mwaka huu ni ndogo kulingana na mwaka uliopita. Kuna ile ya CHADEMA kupoteza kata moja au mbili huko Kigoma, hiyo alitakiwa aichukulie kuwa ni outlier kwa sababu Kigoma inahusiana na Zito ambaye naye alikuwa na mgogoro na CHADEMA na wala haitoi long term reflection ya performance ya CHADEMA; ni kati ya matokeo ya impulsive responses niliyozungumza hapo juu.