Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,878
- 32,272
Tatizo kubwa la Dr. Kitila Mkumbo ni kuwa mkweli na fikra zake kuvuka kiwango cha viongozi wake wa chama, ambao hawataki kukosolewa wala kuhojiwa.
Bahati mbaya ulikuwa umepanda jahazi moja na wenzako lakini ulikuwa haujuhi safari inaishia kisiwa gani umekuja kujua jahazi limeishapigwa na dharuba.
Nakupongeza kwa kukusimamia kile unachokiamini mpaka dakika ya mwisho.
Bahati mbaya ulikuwa umepanda jahazi moja na wenzako lakini ulikuwa haujuhi safari inaishia kisiwa gani umekuja kujua jahazi limeishapigwa na dharuba.
Nakupongeza kwa kukusimamia kile unachokiamini mpaka dakika ya mwisho.