kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Nimezunguka sana wakati huu waka mpeni sehemu mbalimbali za nchi. Nilicho kundua nikwamba watu wanahitaji mabadiliko.
CCM, kwa mwaka huu, wanaiona ni adui wamaendeleo yao. Kiukweli hali ya maisha ya walio wengi vijijini hata mijini ni tete. Sijui ccm wanajinadi vipi kwa wananchi hawa nilio waona.
Tatizo kubwa kwao ni maji, afya na elimu na kilimo. Ccm imesgindwa kutatua changamoto zilizopo kwenye hizi sekta tajwa.
Kwahio wanasema mabadiliko ni lazima, wanahudhulia mikutano ya ccm angalao wapate hela ya kula, ila kura ni kwa upinza.
Wanadai wana wavaa nguo mpya wakati wa uchaguzi tuu ambazo ni sale za ccm. Wanadai hali hii kwa sasa wameicho, wanahitaji kuona uongozi wa chama kingine.
Kiufu wanasema hawana shida na mgombea wa ccm, ila wa hasira na mfumo ccm na kumchagua magufuli ni kuchagua mfumo uleule.
"Change is what they believe in"
CCM, kwa mwaka huu, wanaiona ni adui wamaendeleo yao. Kiukweli hali ya maisha ya walio wengi vijijini hata mijini ni tete. Sijui ccm wanajinadi vipi kwa wananchi hawa nilio waona.
Tatizo kubwa kwao ni maji, afya na elimu na kilimo. Ccm imesgindwa kutatua changamoto zilizopo kwenye hizi sekta tajwa.
Kwahio wanasema mabadiliko ni lazima, wanahudhulia mikutano ya ccm angalao wapate hela ya kula, ila kura ni kwa upinza.
Wanadai wana wavaa nguo mpya wakati wa uchaguzi tuu ambazo ni sale za ccm. Wanadai hali hii kwa sasa wameicho, wanahitaji kuona uongozi wa chama kingine.
Kiufu wanasema hawana shida na mgombea wa ccm, ila wa hasira na mfumo ccm na kumchagua magufuli ni kuchagua mfumo uleule.
"Change is what they believe in"