stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Tume HURU itamaliza ubishi
tume huru ya kumtoa nan sasa wakati unaeshindana nae ndo anakupiga jeki uendelee kuishi
Tume HURU itamaliza ubishi
Ulichokoma nini mkuu mmemuua baba wawatu angalia sasa nchi inapoenda ngoja mpelekewe moto chanjo ishatua airport nenda kadungwe uwe shogaKama ww ujakoma sie tushakoma... Amia Uganda au Rwanda huko kuna marais wanafanana nae..
Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
Ndio kabisaPamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
Majaliwa Kassim ni mtu mbad sema watu awajamsoma tu alafu kitaa watu wanamuelewa sana.
Si unajigamba kuwa uko hapo kwa ridhaa ya Wananchi Tume HURU iamuetume huru ya kumtoa nan sasa wakati unaeshindana nae ndo anakupiga jeki uendelee kuishi
Uthubutu au roho mbaya no ajira, no kuongeza ya mshahara mzee wa 16 bullets...Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
kupata kichekesho kingine kama hichi ni bofye wapi?Magufuli alikuwa na IQ kubwa sana... sharp in decision making ... humdanganyi kirahisi
Una takwimu?Pamoja na hayo lakini tumepiga hatua kidogo kwenye maendeleo... na imagine angekuwepo 5 years!
Ameshusha uchumi kuja uchumi wa kati?Ameshusha uchumi halafu unasema ana uthubutu? Hizi sifa za kijinga huwa wanapewa viongozi wa nchi zenye ulemavu wa ujamaa.
Ameshusha uchumi kuja uchumi wa kati?
Si unajigamba kuwa uko hapo kwa ridhaa ya Wananchi Tume HURU iamue
Hoja huwezi wewe
Hoja huwezi wewe