Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,220
- 9,648
Ndugu zangu watanzania,
CCM Itaendelea kuwepo na Kusalia madarakani kwa miaka mingi sana,kwa kuwa CCM imeonyesha kuwathamini na Kuwaheshimu Sana Watanzania,ndio maana ilani yake inabeba mambo na vitu vinavyogusa maisha ya watanzania.
CCM wakati wote imekuwa ikizungumzia ajenda,kero, changamoto na matatizo ya watu pamoja na suluhu zake.Viongozi wa CCm wakisimama majukwaani wanazungumzia habari za shida za watu na namna ya kuyatatua,wanazungumzia mizigo ya watu na namna ya kuwatua watanzania,wanazungumzia vilio vya watu na kuwafuta machozi.
CCM Ni chama kisichopenda kuona Wala kuwa Tayari kuona mtanzania akionewa au kuzulumiwa au kunyonywa au kuumizwa au kulizwa.Ndio maana kimekuwa kikipinga na kukemea dhuluma waziwazi bila haya Wala aibu, ndio maana ukienda migodini utaikuta CCM ikiwatetea wachimbaji wadogo wadogo wanaozulumiwa,utaikuta CCM ikiwatetea na kuwasemea vijana wasio na sauti wanaohitaji kupewa nguvu,utaikuta CCM ikiwakingia kifua wanaonewa na wawekezaji wanaokiuka Sheria za uwekezaji,utaikuta CCM ikiwasemea wajasiriamali,mamalishe, machinga,bodaboda n.k.
Ndio maana kila mwenye kuonewa anafahamu kuwa ukienda katika ofisi za CCM Ni lazima utapata msaada,mwenye kulizwa anafahamu ya kuwa Ni katika ofisi za CCM utakapofutwa machozi na kupewa msaada,Mwenye kunyimwa haki anafahamu kuwa Ni CCM pekee inayoweza kukusaidia kupata haki yako kwa kuwa Ni CCM ndio iliyounda serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na viongozi wote wa serikali wanapaswa kuwatumikia watanzania kwa haki na utumishi uliotukuka pasipo ubaguzi wa Aina yoyote Ile.
Ndio sababu CCM imekuwa kimbilio la wanyonge na sauti yao, ndio maana CCM imekuwa faraja na Tumaini la watanzania,ndio maana CCM inaendelea kuaminika na kubeba Imani ya watanzania,ndio maana CCM inaendelea kuungwa mkono,kuchaguliwa na kupita katika kila uchaguzi,ndio maana CCM inaendelea kuwa chama kiongozi hapa nchini na Barani Afrika,ndio maana CCM inaendelea kuwa chama Cha kupigiwa mfano Barani Afrika na ndio maana CCM Inaheshimika Sana Barani Afrika na ndio maana wengi huja Tanzania kujifunza kutoka CCM na ndio maana CCM haina mbadala wake hapa nchini.
Kazi iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
CCM Itaendelea kuwepo na Kusalia madarakani kwa miaka mingi sana,kwa kuwa CCM imeonyesha kuwathamini na Kuwaheshimu Sana Watanzania,ndio maana ilani yake inabeba mambo na vitu vinavyogusa maisha ya watanzania.
CCM wakati wote imekuwa ikizungumzia ajenda,kero, changamoto na matatizo ya watu pamoja na suluhu zake.Viongozi wa CCm wakisimama majukwaani wanazungumzia habari za shida za watu na namna ya kuyatatua,wanazungumzia mizigo ya watu na namna ya kuwatua watanzania,wanazungumzia vilio vya watu na kuwafuta machozi.
CCM Ni chama kisichopenda kuona Wala kuwa Tayari kuona mtanzania akionewa au kuzulumiwa au kunyonywa au kuumizwa au kulizwa.Ndio maana kimekuwa kikipinga na kukemea dhuluma waziwazi bila haya Wala aibu, ndio maana ukienda migodini utaikuta CCM ikiwatetea wachimbaji wadogo wadogo wanaozulumiwa,utaikuta CCM ikiwatetea na kuwasemea vijana wasio na sauti wanaohitaji kupewa nguvu,utaikuta CCM ikiwakingia kifua wanaonewa na wawekezaji wanaokiuka Sheria za uwekezaji,utaikuta CCM ikiwasemea wajasiriamali,mamalishe, machinga,bodaboda n.k.
Ndio maana kila mwenye kuonewa anafahamu kuwa ukienda katika ofisi za CCM Ni lazima utapata msaada,mwenye kulizwa anafahamu ya kuwa Ni katika ofisi za CCM utakapofutwa machozi na kupewa msaada,Mwenye kunyimwa haki anafahamu kuwa Ni CCM pekee inayoweza kukusaidia kupata haki yako kwa kuwa Ni CCM ndio iliyounda serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na viongozi wote wa serikali wanapaswa kuwatumikia watanzania kwa haki na utumishi uliotukuka pasipo ubaguzi wa Aina yoyote Ile.
Ndio sababu CCM imekuwa kimbilio la wanyonge na sauti yao, ndio maana CCM imekuwa faraja na Tumaini la watanzania,ndio maana CCM inaendelea kuaminika na kubeba Imani ya watanzania,ndio maana CCM inaendelea kuungwa mkono,kuchaguliwa na kupita katika kila uchaguzi,ndio maana CCM inaendelea kuwa chama kiongozi hapa nchini na Barani Afrika,ndio maana CCM inaendelea kuwa chama Cha kupigiwa mfano Barani Afrika na ndio maana CCM Inaheshimika Sana Barani Afrika na ndio maana wengi huja Tanzania kujifunza kutoka CCM na ndio maana CCM haina mbadala wake hapa nchini.
Kazi iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.