Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Kitendo cha polisi kuwa na double standard katika Utendaji wake na kuonekana wazi kuwa kinafanya kazi kama jumui ya chama cha mapindizi kinampunguzia hadhi na kuanza kutilia shaka uwezo na ueredi wa Mkuu wa polisi ndugu Saidi Mwema
Mtakumbuka mwaka Jana wakati wa kampeni, Mzee wa UDA Robert Kusena alimpiga Mtama OCD mpaka chini ka kituoni huko Maswa, Kamanda wa Mkoa wa Shinyanga aliutangazia umma kuwa hilo nijambo binafsi. Kamanda huyo alidai eti ni wajibu wa OCD kumshitaki Kusena. kumbuka OCD amepigwa kituoni siyo kirabuni hilo ni jambo binafsi!!!
Mkuu wa wilaya kakamatwa akiingilia mkutano wa Chadema na kuvulumishwa, polisi wameshika bango wanawakamata wabunge wa Chadema na kuwakimbiza hadi Tabora badala ya kuwafungulia mashitaka Igunga ili washindwe kuwekewa dhamana. CCM ni kawaida yao kuingilia mikutano ya CHaDEMA. Manyara Mama Salma aliingilia mkutano wa Dr. SLaa, Arusha ccm waliingilia mkutano wa Lema Oracity. Iringa mjini CCM iliingilia mkutano wa Mchungaji Msigwa polisi wanawaacha, Chadema wakichukuwa hatua polisi wanawakamata.
Ubaguuzi huu unanifanya nianze kuhoji ueredi wa IGP, pamoja na mikakati yake ya Ulinzi shirikishi na Utii wa sheria bila shuruti inakuwa haina maana. Kwani kwa kujenga matabaka ndani ya nchi ni anahatarisha utaifa wetu na amani ya nchi. Chadema wakijiona wao ni watu wakukamatwa hovyo na CCM wakati wote wako sahii, wanataka kuwasha moto watakaoshindwa kuuzima. Je mwema Unaruhusu haya kwasababu CCM inaongozwa na shemaji?
Mtakumbuka mwaka Jana wakati wa kampeni, Mzee wa UDA Robert Kusena alimpiga Mtama OCD mpaka chini ka kituoni huko Maswa, Kamanda wa Mkoa wa Shinyanga aliutangazia umma kuwa hilo nijambo binafsi. Kamanda huyo alidai eti ni wajibu wa OCD kumshitaki Kusena. kumbuka OCD amepigwa kituoni siyo kirabuni hilo ni jambo binafsi!!!
Mkuu wa wilaya kakamatwa akiingilia mkutano wa Chadema na kuvulumishwa, polisi wameshika bango wanawakamata wabunge wa Chadema na kuwakimbiza hadi Tabora badala ya kuwafungulia mashitaka Igunga ili washindwe kuwekewa dhamana. CCM ni kawaida yao kuingilia mikutano ya CHaDEMA. Manyara Mama Salma aliingilia mkutano wa Dr. SLaa, Arusha ccm waliingilia mkutano wa Lema Oracity. Iringa mjini CCM iliingilia mkutano wa Mchungaji Msigwa polisi wanawaacha, Chadema wakichukuwa hatua polisi wanawakamata.
Ubaguuzi huu unanifanya nianze kuhoji ueredi wa IGP, pamoja na mikakati yake ya Ulinzi shirikishi na Utii wa sheria bila shuruti inakuwa haina maana. Kwani kwa kujenga matabaka ndani ya nchi ni anahatarisha utaifa wetu na amani ya nchi. Chadema wakijiona wao ni watu wakukamatwa hovyo na CCM wakati wote wako sahii, wanataka kuwasha moto watakaoshindwa kuuzima. Je mwema Unaruhusu haya kwasababu CCM inaongozwa na shemaji?