CCM inatuzuga wananchi

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,293
12,593
Hakuna mtu anayejiundia tume ili kujichunguza yeye mwenyewe namna alivyoutumia mshahara wake hovyo au alivyotumia hovyo mavuno yake shambani. Tangu 1961 CCM ilikuwepo Ikulu. Kusema ukweli ni CCM CCM CCM kwa kila kitu kizuri na kibaya Tanzania, over!!. Kama wananchi kweli wana dhamira ya kuitengeneza na kuitetea Tanzania waiweke CCM pembeni kwanza kwa miaka 5 ndio kila ukweli utafahamika. Hutaweza kuupata ukweli halisi kama kama kama kama hutaweza na huruhusiwi kuwahoji Waheshimiwa Ali Hassani Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete.
 
Joverest bado hajapita hapa......
emoji1.png
:D
emoji1.png
:(
emoji1.png
Naona mmeamua kumharibia rekodi yake...
 
Ufipa mnatumia nguvu, mda, na rasilimali nyingi sana kuchafua serikali na rais, lakini kiukweli Jpm anapangua kiki zote na kuwaacha nje ya ulingo.
mpaka mtapike nyongo awamu hii
#Hapakazitu#
 
Ufipa mnatumia nguvu, mda, na rasilimali nyingi sana kuchafua serikali na rais, lakini kiukweli Jpm anapangua kiki zote na kuwaacha nje ya ulingo.
mpaka mtapike nyongo awamu hii
#Hapakazitu#
Utajuaje chanzo cha ajali bila kumhoji aliyekuwa dereva wa kiberenge?
 
INASEMEKANA KUWA WATUKUFU HAWATAKIWI KUHOJIWA,WAMEFANYIA NCHI MEMA MENGI WAACHWE WAPUMZIKE
 
kwani wewe unapoharibikiwa ukimaisha huna utaratibu wa kujithamini? au ndo unatafuta mtu akutathimini ndipo ujue wapi umeanguka? achana na hizo mambo acha rais afanye kazi......hapa kazi tu
 
kwani wewe unapoharibikiwa ukimaisha huna utaratibu wa kujithamini? au ndo unatafuta mtu akutathimini ndipo ujue wapi umeanguka? achana na hizo mambo acha rais afanye kazi......hapa kazi tu
Huhitaji kuunda tume kufahamu mshahara wako uliutumia vipi, unachotakiwa ni kubadilisha tu tabia yako maana kila kitu unafifahamu juu ya matumizi yako. Kuunda tume ni kuendelea kuharibu pesa zako nyingine ambazo hazipo wakati ukweli unaujua kuwa ulikuwa unalala baa, unahonga sana, n.k. Kitu gani kilikuwa hakifahamiki pale? Wapinzani walikuwa wanaimba kila siku "tunaibiwa, tunaibiwa, mikataba iletwe, iletwe, sheria, sheria" wimbo huo ulikuwa maarufu na wananchi wameusikia pia na baadhi walichukua hatua kwa kuwachagua wapinzani na kuwaacha wenzao wa CCM ambao walikuwa hawaimbi kabisa wimbo huo ama kwa makusudi, kwa kuogopa au kwa kutokujua.
 
Back
Top Bottom