CCM inatumia kanuni ipi kumchagua Mwenyekiti wake wa Taifa?

Kwa kuwa katiba za vyama hubadilika mara kwa mara, nataka kujua ni kanuni ipi hutumika kumchagua Mwenyekiti wa CCM taifa. Jee kuna fomu huwa wana CCM wanaotaka nafasi hiyo hujaza ama inakuwaje?

Halafu ni kwa nini mara nyingi anayekuwa Rais wa nchi ndiye anayekuwa Mwenyekiti wa CCM, ina maana bila ya kuwa Rais wa Tanzania huwezi kuwa na uwezo wa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho. Na siku CCM ikitoka madarakani haitakuwa na Mwenyekiti wa Taifa?

Kwenye uchaguzi wa Mwisho wa CCM niliouona wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho walipiga kura kimikoa. Jee upigaji kura huu ni wa kikanuni ama ni mbinu za kubanana ndani ya chama? Halafu Inakuwaje kwenye chama hicho mwenyekiti wa chama hicho taifa mara nyingi hupata kura zaidi ya asilimia tisini?

Kwa mfano Kikwete aliwahi kupata kura asilimia 99.92 na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM taifa. Ina maana wana CCM wanafanana kiakili na kimtazamo kwa asilimia mia moja linapokuja suala la kumchagua Mwenyekiti wa Taifa wa chama chao?

Jee Mwenyekiti wa CCM taifa naye atatakiwa kutokuwa na "kofia" mbili?

Kuuliza si ujinga!!
Lowassa alipitishwa kwa kura ngapi na Baada ya kushindana na Mgombea Yupi Huko UKIWA?
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Bora wa CCM, yule wa CUF kachaguliwaje?
Nadhani ni busara kujibu jambo ulilo lielewa ipasavyo, kukurupuka kujibu jambo ambalo hulifahamu ni kosa ndugu yangu.

Rudi soma nilicho andika ndio uweke majibu yako, sijauliza kushindana ama kujaza seva za JF
 
Kwa kuwa katiba za vyama hubadilika mara kwa mara, nataka kujua ni kanuni ipi hutumika kumchagua Mwenyekiti wa CCM taifa. Jee kuna fomu huwa wana CCM wanaotaka nafasi hiyo hujaza ama inakuwaje?

Halafu ni kwa nini mara nyingi anayekuwa Rais wa nchi ndiye anayekuwa Mwenyekiti wa CCM, ina maana bila ya kuwa Rais wa Tanzania huwezi kuwa na uwezo wa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho. Na siku CCM ikitoka madarakani haitakuwa na Mwenyekiti wa Taifa?

Kwenye uchaguzi wa Mwisho wa CCM niliouona wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho walipiga kura kimikoa. Jee upigaji kura huu ni wa kikanuni ama ni mbinu za kubanana ndani ya chama? Halafu Inakuwaje kwenye chama hicho mwenyekiti wa chama hicho taifa mara nyingi hupata kura zaidi ya asilimia tisini?

Kwa mfano Kikwete aliwahi kupata kura asilimia 99.92 na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM taifa. Ina maana wana CCM wanafanana kiakili na kimtazamo kwa asilimia mia moja linapokuja suala la kumchagua Mwenyekiti wa Taifa wa chama chao?

Jee Mwenyekiti wa CCM taifa naye atatakiwa kutokuwa na "kofia" mbili?

Kuuliza si ujinga!!
CCM ni very Irrational Party.Watakuambiwa ilitengenezwa ili rais asipinduliwe.As if hawajui kuwa raia kuondelewa na chama pia ni changamoto nzuri.Kwa vile itampa nidhamu na ikibidi chama kisaidie kuonda shida ktk nchi. Wanasubiri watanzania wapige kura ndipo wapate mwenyekiti. Itawachukua miaka ccm kuelewa shid ailiyopo hapa km mwenyekiti hatotolea ufafanuzi hili
 
Kwa kuwa katiba za vyama hubadilika mara kwa mara, nataka kujua ni kanuni ipi hutumika kumchagua Mwenyekiti wa CCM taifa. Jee kuna fomu huwa wana CCM wanaotaka nafasi hiyo hujaza ama inakuwaje?

Halafu ni kwa nini mara nyingi anayekuwa Rais wa nchi ndiye anayekuwa Mwenyekiti wa CCM, ina maana bila ya kuwa Rais wa Tanzania huwezi kuwa na uwezo wa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho. Na siku CCM ikitoka madarakani haitakuwa na Mwenyekiti wa Taifa?

Kwenye uchaguzi wa Mwisho wa CCM niliouona wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho walipiga kura kimikoa. Jee upigaji kura huu ni wa kikanuni ama ni mbinu za kubanana ndani ya chama? Halafu Inakuwaje kwenye chama hicho mwenyekiti wa chama hicho taifa mara nyingi hupata kura zaidi ya asilimia tisini?

Kwa mfano Kikwete aliwahi kupata kura asilimia 99.92 na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM taifa. Ina maana wana CCM wanafanana kiakili na kimtazamo kwa asilimia mia moja linapokuja suala la kumchagua Mwenyekiti wa Taifa wa chama chao?

Jee Mwenyekiti wa CCM taifa naye atatakiwa kutokuwa na "kofia" mbili?

Kuuliza si ujinga!!

CHADEMA imetumia Kanuni ipi kumbakiza Madarakani Mwenyekiti wake wa Taifa wakati hata Kikatiba muda wake umeisha ila bado anang'ang'ana tu na kuwahadaa Wanachama wake? Hivi Katiba ya CHADEMA ina Kipengele popote kwamba Mwenyekiti ataongoza muda wote hadi pale labda atakapochoka au atakavyoamua vinginevyo?
 
CHADEMA imetumia Kanuni ipi kumbakiza Madarakani Mwenyekiti wake wa Taifa wakati hata Kikatiba muda wake umeisha ila bado anang'ang'ana tu na kuwahadaa Wanachama wake? Hivi Katiba ya CHADEMA ina Kipengele popote kwamba Mwenyekiti ataongoza muda wote hadi pale labda atakapochoka au atakavyoamua vinginevyo?
Wamehold kwanza km kujenga office.Kipaumbele ni kuimaliza kabisa ccm.
 
CHADEMA imetumia Kanuni ipi kumbakiza Madarakani Mwenyekiti wake wa Taifa wakati hata Kikatiba muda wake umeisha ila bado anang'ang'ana tu na kuwahadaa Wanachama wake? Hivi Katiba ya CHADEMA ina Kipengele popote kwamba Mwenyekiti ataongoza muda wote hadi pale labda atakapochoka au atakavyoamua vinginevyo?
Muda wa mwenyekiti wa CHADEMA umeishaje halafu kwani alipogombea na kina Mussa Kansa ilikuwa mwaka gani?

Hata hivyo hoja ya bandiko hili ni kuhusu Mwenyekiti wa CCM na siyo wa CHADEMA!

Ina maana hayo maswali kwenye bandiko ulilolinukuu hukuyaona ama umeamua kujitia upofu wa fikra?
 
Siku unayopiga kura kumchagua mgombea urais kwa tiketi ya CCM ndio siku unayomchagua mwenyekiti wa CCM ajae pia.
Utakumbuka ulikua ni mchakato wa kura za uras kupitia CCM ambapo Mwandosya alitoa kasoro kuwa wamechagua mwenyekiti ambae hajawahi hata kua mjumbe wa nyumba kumi. Nafikiri ulijiuliza mbona anaechaguliwa ni mgombea urais kwa tiketi ya CCM na sio mwenyekiti wa CCM? Jibu ni wazi kwa anaejua utamaduni wa CCM atakayechaguliwa kugombea urais na kupata imani ya wanachama ndio mwenyekiti wa chama punde.
Ndio maana kwenye urais walijitokeza wengi na demokrasia ilichukua mkondo wake kupata mtu sahihi lakini kwenye uenyekiti hawakujitokeza kwasababu hata ungejitokeza ungepoteza muda tu ila nafasi ya uenyekiti ni ya rais kwa kuwa uchaguzi ulishafanyika inabaki kupitisha tu kukamilisha taratibu za chama.
Watanzania wanapopiga kura za urais huwa pia wanapiga kura za mwenyekiti pendekezwa wa CCM.
Demokrasia ni kufuata katiba na sheria pia kanuni ukijumuisha na maoni ya wengi mintarafu utamaduni na mazoea pendwa.
 
dindilichuma bado hujatuelewesha wenzio. Au swali hujalisoma!?

Halafu watanzania huwa hawapigi kura kumchagua Mwenyekiti wa CCM bali ni CCM humfanya aliyechaguliwa Rais wa Tanzania kuwa Mwenyekiti wa chama chao. Swali hapa ni utaratibu upi unaotumika kumpa huyo mwana CCM uenyekiti wa chama hicho?
 
Back
Top Bottom