CCM inategemea vyombo vya dola wakati wapinzani wakitegemea nguvu ya Umma, Nani zaidi

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,479
30,144
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele na milele, kwa kutumia vyombo vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa yeye mwenyewe kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi vyote vitahakikisha katika uchaguzi ujao, ni lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike kwa wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Hata hivyo wananchi wote tumeshuhudia kuwa katika awamu hii ya utawala wa awamu ya tano, hata hayo majukwaa ya kisiasa ni CCM pekee ambao wameachiwa wakijidai, inapotokea vyama vya siasa makini, kama Chadema, nacho kikitaka kufanya siasa ya majukwaani, Jeshi la Polisi linajitokeza kwa kuzuia mikutano hiyo!

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini!

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na "option" moja pekee nayo ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikiongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola, yaani mapolisi, ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele kwa kutumia vyombo vyote vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi yote vinahakikisha katika uchaguzi ujao, lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike na wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchagizi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho ni chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini.

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na option moja pekee ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
Andiko bora kabisa
 
CHADEMA waliichezea nguvu ya umma mwaka 2015 wakidhani bahati hujirudia mara mbili!

Baada ya Uchaguzi Mkuu 2015, CCM walijua makosa yaliyosababisha kuikosa nguvu ya uuma na kuyarekebisha kwa haraka sana!

CHADEMA ya sasa haina tena nguvu ya umma nchini bali wanategemea nguvu kutoka nje ya nchi kwa makubaliano ya raslimali za taifa.
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele kwa kutumia vyombo vyote vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi yote vinahakikisha katika uchaguzi ujao, lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike na wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchagizi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho ni chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini.

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na option moja pekee ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
✌✌✌daima
 
Chama Dola!!
Lazima Iegemee Hayo Maeneo
Mpira Mzuri Upate Refer Ambaye Yupo Upande Wako
Utapata Kandanda Nzuri Iliyoegemea Upande Huu
 
CHADEMA waliichezea nguvu ya umma mwaka 2015 wakidhani bahati hujirudia mara mbili!

Baada ya Uchaguzi Mkuu 2015, CCM walijua makosa yaliyosababisha kuikosa nguvu ya uuma na kuyarekebisha kwa haraka sana!

CHADEMA ya sasa haina tena nguvu ya umma nchini bali wanategemea nguvu kutoka nje ya nchi kwa makubaliano ya raslimali za taifa.
Wewe jidanganye hivyo hivyo....
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele kwa kutumia vyombo vyote vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi yote vinahakikisha katika uchaguzi ujao, lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike na wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchagizi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho ni chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini.

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na option moja pekee ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
Nafikiri hata chadema,Act vyote vinapigania kushika dola hicho ni kiswahili usikwazike!
 
CCM wanacheza na moto, kwa kuamini kuwa kwa kuwa wao ndiyo "wanaovimiliki" vyombo vya dola, kwa hiyo wanaweza viagiza wanavyotaka na vyenyewe vikatii..............

Lakini ni lazima wajue kwamba, historia ya duniani pote, ambapo amani imetoweka nchini kwao, chanzo ni nchi hiyo, kutoheshimu sanduku la kura, kwa kutoendesha uchaguzi ulio huru na wa haki
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele kwa kutumia vyombo vyote vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa yeye mwenyewe kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi yote vinahakikisha katika uchaguzi ujao, lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike na wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchagizi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho ni chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini.

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na option moja pekee ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
Muulize hosni Mubarak Nani zaidi
 
CHADEMA waliichezea nguvu ya umma mwaka 2015 wakidhani bahati hujirudia mara mbili!

Baada ya Uchaguzi Mkuu 2015, CCM walijua makosa yaliyosababisha kuikosa nguvu ya uuma na kuyarekebisha kwa haraka sana!

CHADEMA ya sasa haina tena nguvu ya umma nchini bali wanategemea nguvu kutoka nje ya nchi kwa makubaliano ya raslimali za taifa.
Huu ndio ukweli. Huenda wanajua walipovuruga wakapoteza trust ya wananchi.
Warudi nyuma wajipange.
 
CHADEMA waliichezea nguvu ya umma mwaka 2015 wakidhani bahati hujirudia mara mbili!

Baada ya Uchaguzi Mkuu 2015, CCM walijua makosa yaliyosababisha kuikosa nguvu ya uuma na kuyarekebisha kwa haraka sana!

CHADEMA ya sasa haina tena nguvu ya umma nchini bali wanategemea nguvu kutoka nje ya nchi kwa makubaliano ya raslimali za taifa.
Kwahiyo mikusanyiko ya ccm na policcm wakijumuika nayo kwambio ni kwa nguvu ya umma?
Ccm bila vyombo vya dola asahau kushinda.

Katibu wako kashayamalizq maneno kwamba huo ndio ushindi wenu mnaotegemea.
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele na milele, kwa kutumia vyombo vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa yeye mwenyewe kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi vyote vitahakikisha katika uchaguzi ujao, ni lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike kwa wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Hata hivyo wananchi wote tumeshuhudia kuwa katika awamu hii ya utawala wa awamu ya tano, hata hayo majukwaa ya kisiasa ni CCM pekee ambao wameachiwa wakijidai, inapotokea vyama vya siasa makini, kama Chadema, nacho kikitaka kufanya siasa ya majukwaani, Jeshi la Polisi linajitokeza kwa kuzuia mikutano hiyo!

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini!

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na "option" moja pekee nayo ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola, yaani mapolisi, ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
Kwahiyo mikusanyiko ya ccm na policcm wakijumuika nayo kwambio ni kwa nguvu ya umma?
Ccm bila vyombo vya dola asahau kushinda.

Katibu wako kashayamalizq maneno kwamba huo ndio ushindi wenu mnaotegemea.
Ni kweli kabisa kuwa CCM wasahau kabisa ushindi wa aina yoyote, iwapo tu vyombo vya dola vitaamua kuwa "neutral" katika mambo ya siasa.
 
Chadema ilishakufa tangia ametoka dr.slaa.kwa sasa inasubiri mazishi izikwe rasmi October 2020.
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele na milele, kwa kutumia vyombo vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa yeye mwenyewe kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi vyote vitahakikisha katika uchaguzi ujao, ni lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike kwa wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Hata hivyo wananchi wote tumeshuhudia kuwa katika awamu hii ya utawala wa awamu ya tano, hata hayo majukwaa ya kisiasa ni CCM pekee ambao wameachiwa wakijidai, inapotokea vyama vya siasa makini, kama Chadema, nacho kikitaka kufanya siasa ya majukwaani, Jeshi la Polisi linajitokeza kwa kuzuia mikutano hiyo!

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini!

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na "option" moja pekee nayo ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikiongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola, yaani mapolisi, ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
🙏🙏
 
Vyama vya upinzani vinaweza tu kushawishi kuinuka kwa nguvu ya umma lakini ikishainuka haitaegemea chama fulani.

Badala yake, itajikita kupambana na dola ovu.

Hii nchi sio mali ya chama chochote cha siasa.
 
Kama alivyonukuliwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally hivi karibuni "akijimwambafai" kuwa Chama chake cha CCM, kitaendelea kubaki madarakani milele na milele, kwa kutumia vyombo vyote vya dola vilivyopo nchini ambavyo kama alivyonukuliwa yeye mwenyewe kuwa wao ndiyo wanavimiliiki!

Akimaanisha kuwa vyombo vyote vya dola nchini, kama vile Jeshi la Polisi nchini, maRC na maDC, wakurugenzi wa wilaya, Tume ya uchaguzi ya Taifa, pamoja na vyombo vya habari vya Umma na binafsi vyote vitahakikisha katika uchaguzi ujao, ni lazima CCM inapata ushindi wa kishindo!

Ingawa chama cha CCM ni chama cha siasa, hata hivyo kinajipambanua kuwa chama hiko ni chama dola, ambacho hakitegemei tena ushawishi wa kisiasa majukwaani, bali chenyewe kinategemea mabavu ya vyombo vya dola, kuendelea kulazimisha kubaki madarakani.

Kwa mazingira hayo, vyama vya upinzani hapa nchini, vimekuwa kama watoto yatima, ambavyo vyenyewe vinategemea tu nguvu ya ushawishi kwenye majukwaa ya kisiasa, ili viaminike kwa wananchi wa nchi hii na kupigiwa kura, kwenye sanduku la kura na kuzilinda kura hizo ili zisihujumiwe na CCM kwa "kusaidiwa" na vyombo hivyo vya dola nilivyovitaja

Hata hivyo wananchi wote tumeshuhudia kuwa katika awamu hii ya utawala wa awamu ya tano, hata hayo majukwaa ya kisiasa ni CCM pekee ambao wameachiwa wakijidai, inapotokea vyama vya siasa makini, kama Chadema, nacho kikitaka kufanya siasa ya majukwaani, Jeshi la Polisi linajitokeza kwa kuzuia mikutano hiyo!

Kwa mazingira hayo ni kuwa vyama vya upinzani vinakuwa katika mazingira magumu sana, wakati Taifa likiingia katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, ukilinganisha na CCM, ambacho chenyewe kimejiita bila aibu kiwa ni chama dola, ambacho kama Katibu Mkuu wa chama hicho cha CCM, Dkt Bashiru Ally, alivyoeleza kuwa kinabebwa katika kila hali na vyombo vyote vya dola nchini!

Kwa hiyo kama mwito wa chama kikuu cha upinzani nchini, cha Chadema, ambao umetolewa kwa vyombo vya habari, ukiwaambia watanzania kuwa wao vyama vya upinzani nchini, wamebakiwa na "option" moja pekee nayo ni kuwa-mobilize wananchi katika kutumia nguvu ya Umma, ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao, unakuwa huru na haki na wakaendelea kusisitiza kuwa wasitishwe na vyombo vya dola, vikiongozwa na Jeshi la Polisi nchini, kwa kutaka kuuvuruga uchaguzi huo

Tutambue tu kuwa katika historia, hakujawahi kutokea mahali popote duniani nguvu ya dola, yaani mapolisi, ikaishinda nguvu ya Umma iliyojizatiti

Mungu ibariki Tanzania, ili watawala wake wawe na busara na kuona umuhimu wa uchaguzi mkuu ujao, sanduku la kura ndilo liamue viongozi wetu wajao na wasiuvuruge uchaguzi huo na kusababisha kuleta machafuko nchini na umwagikaji wa damu
Hivi bado CHADEMA ni chama hai?
 
Back
Top Bottom