tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Ufisadi wooote tunaousikia ndani ya Bongoland, uliasisiwa, ukapaliliwa na kustawishwa kwa Chama Cha Mafisadi (CCM). Kutulagai wananchi kwa kujifanya mnashughulika na Makinikia na Escrow, ni sawa na kula matapishi.
[HASHTAG]#hatuitakiccm[/HASHTAG]
[HASHTAG]#hatuitakiccm[/HASHTAG]