CCM Inashindwa Kujitathimini Kwanini Imechoka na Kuchokwa?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,707
71,017
Ni ukweli usio pingika kuwa Chama cha Mapinduzi ndio chama kikongwe na chenye hazina ya wanasiasa wengi sana wenye uzoefu kwa vile wamekuwa katika uendeshaji wa nchi hii ndani na nje kwa miongo zaidi ya mitano.
Tukiona picha za vikao vya Halmashauri yao kuu au Kamati kuu, tunawaona watu kama Salim Ahmed Salim, Warioba, Butiku, Kikwete, Mwinyi, Msuya nk nk ambao ni wabobezi na tunaamini kwa nafasi walizokuwa nazo mpaka kustaafu hawana njaa kwani wanatunzwa vyema na pension ya serikali.
Sasa sababu ni nini wabobezi wanashindwa kujitathmini na kujua kuwa chama chao kimechoka na kuchokwa na kuwa uongozi wake wa sasa unakwenda ndivyo sivyo katika kuendesha Serikali hivyo kufanya watumishi wa umma kufanya kazi kwa Unafiki na kujikomba badala ya kutumia UBUNIFU ili kusaidia kukuza uchumi?
Au lengo ni kuwa mkikabidhi nchi 2020 iwe ime collapse na hoi kabisa kiuchumi? CCM inaweza kuchukua maamuzi magumu ya kumshughulikia wanaye muona anakifanya chama kishindwe kusimamia serikali ipasavyo hata kama hatua hizo zitasababisha uchaguzi ufanyike mapema kabla ya 2020 kwa manufaa ya nchi.
 
Kwa akili yako FUPI ni CHAMA kipi Ambacho wewe unakiona ni MBADALA wa CCM kwa sasa??????.......subiri mpaka siku mbadala wa CCM akipatikana ndio CCM itatoka madarakani na hii ni baada ya miaka isiyo pungua au zaidi ya hamsini ijayo...Maana ndani ya CCM kuna VICHWA balaa......Na CCM mpya ndiyo hiyo inazaliwa
 
CCM itaondoka mafisadi wote ila chama kitabaki imara na kinasonga mbele.....Tathimini inafanyika katika vikao vya chama sio mitandaoni tuliza mshono
 
Kwa akili yako FUPI ni CHAMA kipi Ambacho wewe unakiona ni MBADALA wa CCM kwa sasa??????.......subiri mpaka siku mbadala wa CCM akipatikana ndio CCM itatoka madarakani na hii ni baada ya miaka isiyo pungua au zaidi ya hamsini ijayo...Maana ndani ya CCM kuna VICHWA balaa......Na CCM mpya ndiyo hiyo inazaliwa
Unajua madhara ya Chama tawala kushindwa kukidhi haja na matarajio ya wananchi? Hapo haijalishi kama kuna chama mbadala au hakuna, maisha yakiwa magumu ndipo yanapotokea mabadiliko ya nguvu ya utawala.
Imeshatokea sehemu mbalimbali duniani (hasa Afrika) na hapo ndio hata wale wa chama tawala wanapojutia kwa nini hawakuhakikisha vyama mbadala vinakuwa na nguvu kwani moto watakao uona wakitolewa kwa nguvu na wale jamaa ni balaa
 
Watu waliotumikia ccm ktk ujana wao mpk wamezeekea huko unadhani walipohamia upande wa pili ndo wanaweza kuongoza nchi?

Je walilifanyia nini Taifa hili ktk utumishi wao kabl
 
Kwa akili yako FUPI ni CHAMA kipi Ambacho wewe unakiona ni MBADALA wa CCM kwa sasa??????.......subiri mpaka siku mbadala wa CCM akipatikana ndio CCM itatoka madarakani na hii ni baada ya miaka isiyo pungua au zaidi ya hamsini ijayo...Maana ndani ya CCM kuna VICHWA balaa......Na CCM mpya ndiyo hiyo inazaliwa
Kuuliza si ujinga , una akili timamu ?
 
Ufipa wako bize kutafuta uhuru wa kutukana matusi mitandaoni na kuuza chama, badala ya kutatua shida za wananchi kama alivyofanya mh Zito.

Hakika Zito ni kiongozi makini.
 
Hatuwezi kuwakabidhi wapinzani
Nchi hii siyo ya majaribio mtaendelea kuwa wapinzani mpaka mtakapotambua watanzania wanahitaji nini siyo kujali matumbo yenu na utapele wa kisiasa za majitaka
 
Hatuwezi kuwakabidhi wapinzani
Nchi hii siyo ya majaribio mtaendelea kuwa wapinzani mpaka mtakapotambua watanzania wanahitaji nini siyo kujali matumbo yenu na utapele wa kisiasa za majitaka
Umeelewa mada au bora kuandika tuu? Rudi uisome kwanza.
 
Unajua madhara ya Chama tawala kushindwa kukidhi haja na matarajio ya wananchi? Hapo haijalishi kama kuna chama mbadala au hakuna, maisha yakiwa magumu ndipo yanapotokea mabadiliko ya nguvu ya utawala.
Imeshatokea sehemu mbalimbali duniani (hasa Afrika) na hapo ndio hata wale wa chama tawala wanapojutia kwa nini hawakuhakikisha vyama mbadala vinakuwa na nguvu kwani moto watakao uona wakitolewa kwa nguvu na wale jamaa ni balaa
Kimeshindwa kukidhi haja ya matarajio yako na chadema wenzako tu.Na hata mmpewe nini hamtaridhika.
Subiri tulete muswada wa kufuta ruzuku kwa vyama vya siasa mpaka kwenye uchaguzi ndio tutaheshimiana
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Chama cha Mapinduzi ndio chama kikongwe na chenye hazina ya wanasiasa wengi sana wenye uzoefu kwa vile wamekuwa katika uendeshaji wa nchi hii ndani na nje kwa miongo zaidi ya mitano.
Tukiona picha za vikao vya Halmashauri yao kuu au Kamati kuu, tunawaona watu kama Salim Ahmed Salim, Warioba, Butiku, Kikwete, Mwinyi, Msuya nk nk ambao ni wabobezi na tunaamini kwa nafasi walizokuwa nazo mpaka kustaafu hawana njaa kwani wanatunzwa vyema na pension ya serikali.
Sasa sababu ni nini wabobezi wanashindwa kujitathmini na kujua kuwa chama chao kimechoka na kuchokwa na kuwa uongozi wake wa sasa unakwenda ndivyo sivyo katika kuendesha Serikali hivyo kufanya watumishi wa umma kufanya kazi kwa Unafiki na kujikomba badala ya kutumia UBUNIFU ili kusaidia kukuza uchumi?
Au lengo ni kuwa mkikabidhi nchi 2020 iwe ime collapse na hoi kabisa kiuchumi? CCM inaweza kuchukua maamuzi magumu ya kumshughulikia wanaye muona anakifanya chama kishindwe kusimamia serikali ipasavyo hata kama hatua hizo zitasababisha uchaguzi ufanyike mapema kabla ya 2020 kwa manufaa ya nchi.
Tatizo ndugu unashauri mfu
 
Kimeshindwa kukidhi haja ya matarajio yako na chadema wenzako tu.Na hata mmpewe nini hamtaridhika.
Subiri tulete muswada wa kufuta ruzuku kwa vyama vya siasa mpaka kwenye uchaguzi ndio tutaheshimiana
Wewe semea tuu mtandaoni. Kama unajihisi unazungumzia Watanzania basi maneno yako ya kusifia ccm nenda kasifie pale soko kuu la Kariakoo kama hujakumbana na dhahma kama vile mtu aliyeingia msikitini na kutangaza kuwa anauza nyama ya kiti moto kwa bei rahisi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kweli chadomo imefanikiwa, wamefanya kesi 10 na wameshinda zote, chadomo oeeeeee, zaidi ruzuku mbowe kagawa vizuri, lowasa hajalalamika
 
Mkuu swali lako limetulia sana. Hivi hawa watu zinawatosha kweli? Maana hali ilivyo sasa hivi hata watoto wadogo wamegundua kuwa siyo ya kawaida lakini kuna watu wazima wanaona ni sawa tuu kama vile mazuzu.
mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya za kuwinda, nashangaaa chadomo kutwa mnamtreini mzeee, poleni sana
 
mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya za kuwinda, nashangaaa chadomo kutwa mnamtreini mzeee, poleni sana
Kunywa pombe kwa mpangilio. Una kila dalili kuwa umelewa na hatuna uhakiki hiyo pombe ni approved na bodi ya vileo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni ukweli usio pingika kuwa Chama cha Mapinduzi ndio chama kikongwe na chenye hazina ya wanasiasa wengi sana wenye uzoefu kwa vile wamekuwa katika uendeshaji wa nchi hii ndani na nje kwa miongo zaidi ya mitano.
Tukiona picha za vikao vya Halmashauri yao kuu au Kamati kuu, tunawaona watu kama Salim Ahmed Salim, Warioba, Butiku, Kikwete, Mwinyi, Msuya nk nk ambao ni wabobezi na tunaamini kwa nafasi walizokuwa nazo mpaka kustaafu hawana njaa kwani wanatunzwa vyema na pension ya serikali.
Sasa sababu ni nini wabobezi wanashindwa kujitathmini na kujua kuwa chama chao kimechoka na kuchokwa na kuwa uongozi wake wa sasa unakwenda ndivyo sivyo katika kuendesha Serikali hivyo kufanya watumishi wa umma kufanya kazi kwa Unafiki na kujikomba badala ya kutumia UBUNIFU ili kusaidia kukuza uchumi?
Au lengo ni kuwa mkikabidhi nchi 2020 iwe ime collapse na hoi kabisa kiuchumi? CCM inaweza kuchukua maamuzi magumu ya kumshughulikia wanaye muona anakifanya chama kishindwe kusimamia serikali ipasavyo hata kama hatua hizo zitasababisha uchaguzi ufanyike mapema kabla ya 2020 kwa manufaa ya nchi.
Wapinzani hawana Wagombea wala Chama Mbadala. Hilo ndio tatizo. Unaokotezaje Wagombea waliokataliwa na CCM halafu utegemee kuchukua Nchi??
 
Hatuwezi kuwakabidhi wapinzani
Nchi hii siyo ya majaribio mtaendelea kuwa wapinzani mpaka mtakapotambua watanzania wanahitaji nini siyo kujali matumbo yenu na utapele wa kisiasa za majitaka
Baelezee ndugu! Batie akili kumukichwa!!
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom