Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,981
- 103,354
Kwa akili yako FUPI ni CHAMA kipi Ambacho wewe unakiona ni MBADALA wa CCM kwa sasa??????.......subiri mpaka siku mbadala wa CCM akipatikana ndio CCM itatoka madarakani na hii ni baada ya miaka isiyo pungua au zaidi ya hamsini ijayo...Maana ndani ya CCM kuna VICHWA balaa......Na CCM mpya ndiyo hiyo inazaliwa
Mkuu hivyo vichwa ndio vimechangia nchi yetu kuwa masikini mpaka leo? Mkuu au mimi ndio sielewi maana ya vichwa?