CCM inapoteza mwelekeo na dira yake kama ilivyozoeleka.

Nyalandu amefanya nini katika Taifa hili la Tanzania, au hamkumbuki alipotolewa uwaziri wa mali asili na utalii, wacha aende pia ni uzalendo kujiuzuru, aache Singida nao wafanye mengine, enzi hizi tutqmpinga muheshimiwa Rais sana kwasababu hataki mambo ya kijinga, anataka watu wafanye kazi, mengine yatakuja tuu na sio unaamka unakuta Tanzania ni tajiri, kumkosoa inafaa hakuna kiongozi hajawah kosolewa, ila Magufuli baba 2020 usifanye hata campaign.
ile kuongeza idadi ya tembo tu ni kazi kibwa.
 
Back
Top Bottom