CCM Inapotema Big-G kwa Karanga za Kuonja

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,793
71,207
Hivi huko CCM mnasumbuliwa na nini hadi wale wenye uwezo wa kuonyesha ufahamu mnawa dump kabisa na kufurahishwa na watu wa vichekesho na mizaha?

Watu wenye exposure ya mambo ya kidunia hamuwataki kabisa ila wale wa category ya Kibajaj, Msukuma au mzee baba ambao hata kutoka mbele za wenzetu wa nje wanajihofia kwa aibu.

Nimemsikiliza Membe na kujiuliza inakuwaje wenye uwezo wa kujieleza kama huyu mnafanya mizengwe hata kumpa fomu tuu ni kasheshe?

Kweli mnaweza kutema Big G kwa Karanga za kuonja?



Angalieni na mahojiano haya ya mgombea wenu mwingine anayegombea kuongoza vyombo vya dola

 
Ingawa Magufuli kiingereza kinamgonga sana, hata Membe pia hana free ride katika kiengereza kwani naye hawezi kutofautisha "piece" na "peace". Kiiengereza siyo sifa kubwa ya mtu kuwa rais, ni ile leadership style ndiyo inayotakiwa tu.
 
Ingawa Magufuli kiingereza kinamgonga sana, hata Membe pia hana free ride katika kiengereza kwani naye hawezi kutofautisha "piece" na "peace". Kiiengereza siyo sifa kubwa ya mtu kuwa rais, ni ile leadership style ndiyo inayotakiwa tu.
Mkuu Kichuguu, lengo sio kiingereza chao bali kuelewa maswali na jinsi ya kuyajibu. Jaribu kufanya maswali hayo wameulizwa kiswahili na wamejibu kiswahili!
Jee ungepata jibu gani? Mkuu wetu huwa anatoka nje ya track hata kwa maswali mepesi sana!
 
Leaders are born. Memne is one of them.
Hapo ulipo uko jirani na grocery!
tapatalk_1592681667868.jpeg
 
kichwa chako kimejaa ujinga mtupu,nani alikwambia ukijua kiingereza tu basi wewe ni kiongozi mzuri? Xi jinping hajui hata kiingereza cha kuombea maji tu na ni moja kati ya viongozi bora na wenye nguvu duniani.Upumbavu ni kuamini kuwa mtu aliyeelimika ni anayejua kiingereza.Sisi tunataka kiongozi wa vitendo anayefanya vitu vinavyoonekana siyo hao makanjanja matapeli wa kucheza na maneno blabla nyingi mipango kibao utekelezaji sifuri.Putin hajui kiingereza anaongea kirusi mwanzo mwisho na ni moja kati ya Marais bora duniani.Uganda ndio nchi inayoongoza Afrika kwa Wananchi wake kuongea kiingereza kizuri na ni moja kati ya nchi maskini maskini Afrika hata ndani ya EA.Huu ushamba wa kushabikia kiingereza tuufute,huwa najisikia furaha sana ninapozungumza kiswahili kuliko huu upumbafu tulioaminishwa kuwa ndio lugha ya kisomi.
 
kichwa chako kimejaa ujinga mtupu,nani alikwambia ukijua kiingereza tu basi wewe ni kiongozi mzuri? Xi jinping hajui hata kiingereza cha kuombea maji tu na ni moja kati ya viongozi bora na wenye nguvu duniani.Upumbavu ni kuamini kuwa mtu aliyeelimika ni anayejua kiingereza.Sisi tunataka kiongozi wa vitendo anayefanya vitu vinavyoonekana siyo hao makanjanja matapeli wa kucheza na maneno blabla nyingi mipango kibao utekelezaji sifuri.Putin hajui kiingereza anaongea kirusi mwanzo mwisho na ni moja kati ya Marais bora duniani.Uganda ndio nchi inayoongoza Afrika kwa Wananchi wake kuongea kiingereza kizuri na ni moja kati ya nchi maskini maskini Afrika hata ndani ya EA.Huu ushamba wa kushabikia kiingereza tuufute,huwa najisikia furaha sana ninapozungumza kiswahili kuliko huu upumbafu tulioaminishwa kuwa ndio lugha ya kisomi.
Soma post #4 utaelewa
 
Leaders are born. Memne is one of them.
Not really;

Leaders don't claim to be the only ones; they look at what we did wrong and how together we can do it better. Whoever proclaims to be the only one ends up being the best dictator. Membe is wasting is time and burning his credibility and energy by expecting to gain absolute power, which frustrate him just like what Lowassa experienced in this is a country of 55 miliion people.
 
Back
Top Bottom