Mimi na Watanzania wengine tunajua wazi sasa CCM inapigania kitu kimoja tu maslahi ya watu na biashara za watu wanao wapa pesa kwa maslahi binafsi na si kwa Tanzania.
Viongozi wote wa juu wanajihusisha na rushwa kwa namna moja au nyingine. Hata kama ukiomba pesa huku nje ya kusaidia miradi ya maendeleo vijijini ukifika Tanzania cha kwanza ni watu wa wizarani kukuomba rushwa hata kama pesa imetoka nje na ni ya kusaidia masikini wa Tanzania.
Kuna watu wengi wamesimamaisha misaada ya maendeleo kwasababu ya kuomba rushwa ambazo hazikuwa kwenye budget ya miradi.
Tanzania tusipokuwa wazalendo nchi yetu, kizazi kijacho kitakuwa na matabaka makubwa sana
Viongozi wote wa juu wanajihusisha na rushwa kwa namna moja au nyingine. Hata kama ukiomba pesa huku nje ya kusaidia miradi ya maendeleo vijijini ukifika Tanzania cha kwanza ni watu wa wizarani kukuomba rushwa hata kama pesa imetoka nje na ni ya kusaidia masikini wa Tanzania.
Kuna watu wengi wamesimamaisha misaada ya maendeleo kwasababu ya kuomba rushwa ambazo hazikuwa kwenye budget ya miradi.
Tanzania tusipokuwa wazalendo nchi yetu, kizazi kijacho kitakuwa na matabaka makubwa sana