Chama cha mapinduzi CCM kimelipotiwa kuwa na wafuasi wengi wenye kuishi maisha ya bunduki na mabomu.wafuatao wamewai kutumia na kumiliki vibaya silaa nzito nzito zenye kuatarisha usalama wa wananchi-DITOPILE MZUZU, ADEN RAGE, ESTER BULAYA, AESHI HILAL, MWIGULU NCHEMBA wote ni vigogo wakuu NEC TAIFA.
Tunawashangaa sana kusikia wao ndio wakwanza kusifu kwamba Tanzania kuna amani wakati wao na wenzao wanaishi maisha ya BUNDUKI MABOMU NA VIFARU. Tunaendelea kufanya uchunguzi kubaini vigogo wengine wanao tisha wananchi kwa bunduki na mabomu yao.
Tunawashangaa sana kusikia wao ndio wakwanza kusifu kwamba Tanzania kuna amani wakati wao na wenzao wanaishi maisha ya BUNDUKI MABOMU NA VIFARU. Tunaendelea kufanya uchunguzi kubaini vigogo wengine wanao tisha wananchi kwa bunduki na mabomu yao.