CCM inajuhumiwa pakubwa! Swali je ninani anafanya hivi? Kwa maslahi gani?

Pamoja na kwamba kidunia tunaambiwa adui yako mwombee njaa lakini kiimani tunafundishwa kumpenda adui kama nafsi zetu
Bila kujali CCM imeshindaje uchaguzi lakini ndio chama kilichopo madarakani kikiongoza serikali... Kwahiyo chama hiki kina impact kubwa kwa lolote linalotokea nchini liwe baya ama zuri.... CCM ikiyumba, tunayumba wote.... CCM ikiweza tunaweza wote... CCM ikiharibu, ikichemka, ikishindwa.... Vyovyote vile nasi kama taifa tutacheza mziki huohuo.... Kuna mahali ikibidi kuisaidia CCM basi tuisadie ili nasi tupate kupona.... Tupate kupona
Na kuboronga kwa hiki chama
Na aibu ya hiki chama
Na kushindwa kwa hiki chama
Na lawama za hiki chama
Na ufedhuli, fitina, majungu, roho mbaya nknk
Kuna hii ishu ya TAL, sijui kwanini chama kikubwa chenye wasomi, wataalamu, viongozi na wajuzi wa kila aina wenye uzoefu wa kutosha kabisa wameshindwa kwa umoja na ukubwa wao kui handle kwa akili, hekima, busara na werevu ili kuweza kwenda sawa na mirindimo ya TAL....
Chama hiki kina wasemaji wasomi
Chama hiki kina washauri makini
Chama hiki kina viongozi mashuhuri mpaka ngazi za kimataifa
Chama hiki kina watatuzi wa migogoro Kimataifa wanaoaminiwa na jumuiya za Kimataifa
Chama hiki kina kitengo cha propaganda
Sasa kinashindwa wapi? Kinafeli wapi? Mpaka kinawaachia vijana wachovu na barobaro mitandaoni kujibu hoja za TAL? Hawa vijana chama kimewaokota wapi? Wana hoja za kipuuzi hasa... Hawana akili, hawana fikra hawajui hata wanajibu nini... Zaidi ya kuanzisha nyuzi zilizojaa vituko, vijembe na upuuzi wa kila aina kumhusu TAL
Yaani hawa badala ya kukisaidia chama ndio wanazidi kukiumiza na kufanya kizidi kuchukiwa
Yani hawa badala ya kumshusha Lisu ndio kwanza wanazidi kumtangaza na kumpaisha... Viongozi wa chama wapo kimya... Wanaangalia tu vijana wanavyoharibu.. Hawawakemei wala kuwaelekeza namna bora ya kujibu makombora... Hoja kwa hoja.... Mjadala kwa mjadala... Point kwa point.....!!!
Aliyeunda hili kundi la mitandaoni anakihujumu chama na kukimaliza kwa staili ya aina yake... Je ni nani huyu? Ama ni nani hawa?
Ni wale walioachwa kwenye keki hii ya sasa?
Ni wale waliozibiwa mianya yao ya ulaji na upigaji chamani?
Ni wale CCM asilia? CCM kindakindaki? Ama CCM makinikia? Bila kuwasahau ccm maslahi.... Ni hawa? wanawalipa bei gani hawa vijana wasiojua hata matumizi ya herufi kubwa na ndogo? Matumizi ya sarufi, na hata ngeli za kiarifa? Hizi mada za kupambana na TAL wanaandika wenyewe ama wanaandikiwa? Je zinahakikiwa na yeyote kabla hazijapelekwa mitandaoni?
Kwa vyovyote afanyaye yote haya hatoki nje ya CCM ni mtu wa ndani kabisa.... Mzee baba GUTUKA...!!! kikulacho ki nguoni mwako.....!!!!!

Kidumu Chama cha Mapinduzi....!!!!!


Jr

KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI....!!!!
Kwa hili la Mhe. Tundu Antipas Lissu Mwenyekiti wao Taifa kawaingiza CCM Choo cha kike huku ninino zao zikining'ing'inia uchi wa nyama....!!!!Aibuuuuuuuu!!!!!
 
.
tapatalk_1551108558076.jpeg
 
Pamoja na kwamba kidunia tunaambiwa adui yako mwombee njaa lakini kiimani tunafundishwa kumpenda adui kama nafsi zetu
Bila kujali CCM imeshindaje uchaguzi lakini ndio chama kilichopo madarakani kikiongoza serikali... Kwahiyo chama hiki kina impact kubwa kwa lolote linalotokea nchini liwe baya ama zuri.... CCM ikiyumba, tunayumba wote.... CCM ikiweza tunaweza wote... CCM ikiharibu, ikichemka, ikishindwa.... Vyovyote vile nasi kama taifa tutacheza mziki huohuo.... Kuna mahali ikibidi kuisaidia CCM basi tuisadie ili nasi tupate kupona.... Tupate kupona
Na kuboronga kwa hiki chama
Na aibu ya hiki chama
Na kushindwa kwa hiki chama
Na lawama za hiki chama
Na ufedhuli, fitina, majungu, roho mbaya nknk
Kuna hii ishu ya TAL, sijui kwanini chama kikubwa chenye wasomi, wataalamu, viongozi na wajuzi wa kila aina wenye uzoefu wa kutosha kabisa wameshindwa kwa umoja na ukubwa wao kui handle kwa akili, hekima, busara na werevu ili kuweza kwenda sawa na mirindimo ya TAL....
Chama hiki kina wasemaji wasomi
Chama hiki kina washauri makini
Chama hiki kina viongozi mashuhuri mpaka ngazi za kimataifa
Chama hiki kina watatuzi wa migogoro Kimataifa wanaoaminiwa na jumuiya za Kimataifa
Chama hiki kina kitengo cha propaganda
Sasa kinashindwa wapi? Kinafeli wapi? Mpaka kinawaachia vijana wachovu na barobaro mitandaoni kujibu hoja za TAL? Hawa vijana chama kimewaokota wapi? Wana hoja za kipuuzi hasa... Hawana akili, hawana fikra hawajui hata wanajibu nini... Zaidi ya kuanzisha nyuzi zilizojaa vituko, vijembe na upuuzi wa kila aina kumhusu TAL
Yaani hawa badala ya kukisaidia chama ndio wanazidi kukiumiza na kufanya kizidi kuchukiwa
Yani hawa badala ya kumshusha Lisu ndio kwanza wanazidi kumtangaza na kumpaisha... Viongozi wa chama wapo kimya... Wanaangalia tu vijana wanavyoharibu.. Hawawakemei wala kuwaelekeza namna bora ya kujibu makombora... Hoja kwa hoja.... Mjadala kwa mjadala... Point kwa point.....!!!
Aliyeunda hili kundi la mitandaoni anakihujumu chama na kukimaliza kwa staili ya aina yake... Je ni nani huyu? Ama ni nani hawa?
Ni wale walioachwa kwenye keki hii ya sasa?
Ni wale waliozibiwa mianya yao ya ulaji na upigaji chamani?
Ni wale CCM asilia? CCM kindakindaki? Ama CCM makinikia? Bila kuwasahau ccm maslahi.... Ni hawa? wanawalipa bei gani hawa vijana wasiojua hata matumizi ya herufi kubwa na ndogo? Matumizi ya sarufi, na hata ngeli za kiarifa? Hizi mada za kupambana na TAL wanaandika wenyewe ama wanaandikiwa? Je zinahakikiwa na yeyote kabla hazijapelekwa mitandaoni?
Kwa vyovyote afanyaye yote haya hatoki nje ya CCM ni mtu wa ndani kabisa.... Mzee baba GUTUKA...!!! kikulacho ki nguoni mwako.....!!!!!

Kidumu Chama cha Mapinduzi....!!!!!


Jr
Mi nirifikiri nchi inahujumiwa,niritaka nikachukue zana zangu niingie vitani,kumbe CCM,
CCM sio Tanzania,CCM ikifa,Tanzania itaendelea kuwepo,dawa hapa ni kuiokoa Tanzania,na kuiokoa Tanzania,sio lazima tuisaidie CCM,sio kila mtanzania ni mpenzi wa CCM,na ili kuiokoa TZ,ni kuichomoa CCM madarakani,
Na ukweli mchungu,kwa njia ya kupiga kura,itatuchukua miaka mingi kuitoa madarakani,tunahitaji kitu kama "Arab Uprising"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nirifikiri nchi inahujumiwa,niritaka nikachukue zana zangu niingie vitani,kumbe CCM,
CCM sio Tanzania,CCM ikifa,Tanzania itaendelea kuwepo,dawa hapa ni kuiokoa Tanzania,na kuiokoa Tanzania,sio lazima tuisaidie CCM,sio kila mtanzania ni mpenzi wa CCM,na ili kuiokoa TZ,ni kuichomoa CCM madarakani,
Na ukweli mchungu,kwa njia ya kupiga kura,itatuchukua miaka mingi kuitoa madarakani,tunahitaji kitu kama "Arab Uprising"

Sent using Jamii Forums mobile app


Jr
 
Back
Top Bottom