Hisha Sorel
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 192
- 140
Falsafa wanzilishi ya Tanzania, Ujamaa, ilielewa uhusiano kati ya rangi ya ngozi, ukoloni, na ukandamizaji.
Hivyo ilikuwa na lengo la kuondoa dhana ya kudharilishwaji wa ngozi Nyeusi kwa kutokomeza sababu zinazochangia kupitia programu tofauti, mojawapo ikiwa elimu ya uzalendo .
Lengo kubwa lilikuwa ni kuzalisha Taifa la watu ambao waliamini thamani yao kama wanadamu na wenye ujasiri wa kutosha kutetea utu wao.
Ni wazi kuwa malengo haya hayakufanikiwa.
Katika hotuba yake kwa mawaziri wapya walioteuliwa, Rais Magufuli alidokeza juu ya shida hii ambayo alihusisha ujinga wa vijana wa Kitanzania wa historia na upendeleo kwa ushawishi wa nguvu za kigeni.
Ingawa ni kweli, ukosoaji wa rais haukuwa wa kutosha
++++
Hawana uelewa mpana wa masilahi yao, Hawana uelewa wa sehemu yao ndani ya Dunia.
Chuki binafsi ni dhahiri kwani bidhaa za kuchubua ya ngozi zinauzwa wazi na kununuliwa bile kelele zozote.
Vijana wa Tanzania HAWANA kabisa maarifa ya siasa za Rangi ya ngozi au Ubaguzi,
Siasa zao ni za kishabiki bila ufahamu mpana hivyo kuifanya iwe rahisi kwao kudanganywa kusaidia sera zenye faida kwa mabepari.
Ujuzi wao juu ya dhana nyepesi kama ukoloni umepotoshwa sana na wengine hata wanapongeza ukoloni na ubaguzi wa rangi (apartheid).
Hapa tunapozungumza wanawake wadogo wa Kitanzania wanasafirishwa nje ya nchi kwa unyanyasaji wa kijinsia kwa kisingizio kwamba ni watumishi wa ndani.
Hivyo ilikuwa na lengo la kuondoa dhana ya kudharilishwaji wa ngozi Nyeusi kwa kutokomeza sababu zinazochangia kupitia programu tofauti, mojawapo ikiwa elimu ya uzalendo .
Lengo kubwa lilikuwa ni kuzalisha Taifa la watu ambao waliamini thamani yao kama wanadamu na wenye ujasiri wa kutosha kutetea utu wao.
Ni wazi kuwa malengo haya hayakufanikiwa.
Katika hotuba yake kwa mawaziri wapya walioteuliwa, Rais Magufuli alidokeza juu ya shida hii ambayo alihusisha ujinga wa vijana wa Kitanzania wa historia na upendeleo kwa ushawishi wa nguvu za kigeni.
Ingawa ni kweli, ukosoaji wa rais haukuwa wa kutosha
++++
Hawana uelewa mpana wa masilahi yao, Hawana uelewa wa sehemu yao ndani ya Dunia.
Chuki binafsi ni dhahiri kwani bidhaa za kuchubua ya ngozi zinauzwa wazi na kununuliwa bile kelele zozote.
Vijana wa Tanzania HAWANA kabisa maarifa ya siasa za Rangi ya ngozi au Ubaguzi,
Siasa zao ni za kishabiki bila ufahamu mpana hivyo kuifanya iwe rahisi kwao kudanganywa kusaidia sera zenye faida kwa mabepari.
Ujuzi wao juu ya dhana nyepesi kama ukoloni umepotoshwa sana na wengine hata wanapongeza ukoloni na ubaguzi wa rangi (apartheid).
Hapa tunapozungumza wanawake wadogo wa Kitanzania wanasafirishwa nje ya nchi kwa unyanyasaji wa kijinsia kwa kisingizio kwamba ni watumishi wa ndani.