Moja: Elimu.....Mikopo kwa elimu ya juu imefeli
Na Hali ni wazi kabisa kuwa TCU ni taasisi ya serikali na imechaguwa wanafunzi kujiunga chuo kikuu, ila HESLB ni taasisi ya serikali, wamekataa kutoa mikopo....WAMEFELI
Mbili: Afya.....Wamefeli....---MSD inawadai Serikali na bado dawa ni adimu hospitali nyingi mikoani...
Tatu: ajira.....Serikali imefeli..kila mtu anajua
nne: Kuongeza kipato cha wananchi...hakuna fursa kwa vijana na watanzania kwa ujumla....
Tano: Viwanda imefeli...Serikali haijabadili sera kuwezesha viwanda kufufuka....zile sababu zilizosababisha viwanda kufa bado zipo....Mfano...Umeme ghali, Makaa ya mawe ghali, gesi asili ghali.....Linganisha bei ya umeme Ethiopia na Tanzania, Ethiopian is cheaper
Sita: Kilimo: Kilimo imefeli.....hakuna tija....hakuna mikakati ya kuwezesha watanzania kufanya kilimo. Mashamba mengi makubwa Serikali imekumbatia na Mashamba mengi wamepewa wageni na vigogo...Watanzania wengi wanaitwa wavamizi..na kupigwa na FFU
Saba: Madini: Serikali imeshindwa kukusanya kodi, na nchi inaibiwa..Viongozi wa CCM wamewapa wageni machimbo na kodi hakuna. Watanzania wanapigwa mabomu na kuitwa wavamizi....Kama watanzania wanachimba dhahabu, waelimishwe na kupewa leseni....
nane: Utititi wa kodi...Mfano Mfanyakazi
Kodi ya PAYE
VAT ya bidhaa zote
VAT kutoa pesa ATM
VAT ya simu
Na Hali ni wazi kabisa kuwa TCU ni taasisi ya serikali na imechaguwa wanafunzi kujiunga chuo kikuu, ila HESLB ni taasisi ya serikali, wamekataa kutoa mikopo....WAMEFELI
Mbili: Afya.....Wamefeli....---MSD inawadai Serikali na bado dawa ni adimu hospitali nyingi mikoani...
Tatu: ajira.....Serikali imefeli..kila mtu anajua
nne: Kuongeza kipato cha wananchi...hakuna fursa kwa vijana na watanzania kwa ujumla....
Tano: Viwanda imefeli...Serikali haijabadili sera kuwezesha viwanda kufufuka....zile sababu zilizosababisha viwanda kufa bado zipo....Mfano...Umeme ghali, Makaa ya mawe ghali, gesi asili ghali.....Linganisha bei ya umeme Ethiopia na Tanzania, Ethiopian is cheaper
Sita: Kilimo: Kilimo imefeli.....hakuna tija....hakuna mikakati ya kuwezesha watanzania kufanya kilimo. Mashamba mengi makubwa Serikali imekumbatia na Mashamba mengi wamepewa wageni na vigogo...Watanzania wengi wanaitwa wavamizi..na kupigwa na FFU
Saba: Madini: Serikali imeshindwa kukusanya kodi, na nchi inaibiwa..Viongozi wa CCM wamewapa wageni machimbo na kodi hakuna. Watanzania wanapigwa mabomu na kuitwa wavamizi....Kama watanzania wanachimba dhahabu, waelimishwe na kupewa leseni....
nane: Utititi wa kodi...Mfano Mfanyakazi
Kodi ya PAYE
VAT ya bidhaa zote
VAT kutoa pesa ATM
VAT ya simu