Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,641
- 22,240
Wiki inayoishia tarehe 05/04 CCM imefanya mkutano miwili mkubwa mmoja Dodoma kumkaribisha Sumaye na mwingine Mara kuwakaribisha wanachama toka upinzani, ni dhahiri mkutano hii ingafanywa na wapinzani hatua za kuisambaratisha na kulaaniwa zingechukuliwa haraka sana lakini kwa kuwa ni CCM imesifiwa na kupongezwa! Je, tutaweza kuikabiri Corona kwa mtindo huu?