Kwa sasa sio siri hakuna mpango wowote wa CCM kwa upande wa Zanzibar usio julikana kuhusiana na mipango ya kuchezea daftari la wapiga kura.
Mitandanoni kumejaa ushahidi uliowazi na wa kuaminika kabisa kuwa waajiriwa wa vyombo husika hapo juu wanapangwa kutumiwa ili kuiletea ushindi CCM,mambo yote na mipango yote ipo uwanjani. Ndio nikasema CCM ipo uchi ,kiswahili sanifu kabisa.
Kuanza kwa kura kwa Zanzibar ni tarehe 27/10/2020 ,baada ya ufuatiliaji na uchunguzi uliojaa tahadhari kwanini imepangwa hivyo,imegundulika vyombo hivyo vimepangwa kupiga kura tarehe 27/10/2020 na hawataweka wino kidole gumba na halafu tena wafaajiriwa wa vyombo hivyo kupiga kura 28/10/2020 kwa maana hio watapiga kura mara mbili kuipaisha CCM kimagumashi.
Hayo yete kwa sasa yapo nje na hakuna Mzanzibari asiesikia na kulijua na bado linazungumzwa .
Suali ni Je Wakuu wa vyombo hivyo wanalielewa hilo kuwa wanataka kuingizwa kwenye mauzauza na hawa CCM waliopo Zanzibar na sio Zanzibar peke yao hawana ubavu wa kuamuru hivyo Vyombo, mambo haya yana baraka za kina Polepole na bashiru na yule kibaraka wao wao aliepo Zanzibar Mabodi,mipango yao imeshajulikana.
Maafande wana muda wa kufuatilia na kuwatia hatiani waliopanga njama hizo, kuvihusisha vyombo vyao na kutaka kufanya udanganyifu. sasa kama ushenzi huu unataka kufanywa yale majilabu ya Afande Siro yapo wapi ? taarifa zimezagaa mitandanoni hivi vyombo vinapakwa mivi na CCM na pia vitu hivyo ni ushahidi kikinuka kimataifa wataingia hatiani kiurahisi,kila mmoja atakuwa anajitetea hamtamuona Bashiru wala Polepole kuwatetea.
Na vizuri mjue balaa lililowakumba CCM Zanzibar kutokana na mgombea wao kutokubalika wacha kwa ujumla wa Zanzibar, ndani ya CCM Zanzibar ni mtihani mara nyingi kumeripotiwa sintofahamu ,hivyo ni vigumu nani yupo na nani,ndio ukaona wanapanga njama usiku asubuhi hata haijafika unakuta habari za kikao na njama zipo mtandaoni.
Msijaribu kuvitia na kuvihusisha vyombo vyenu katika Zanzibar katika kupanga matokea huko hakuna siri ndani ya CCM ,imekuwa sasa hadi picha za wanaopanga mbinu za kuiba na kubadilisha au kucheza na data za uchaguzi kutokea TISS zinawekwa mitandaoni,hio ni aibu na fedheha kubwa,usalama wa taifa hatakiwi hata kupiga au kupigwa picha.
Mitandanoni kumejaa ushahidi uliowazi na wa kuaminika kabisa kuwa waajiriwa wa vyombo husika hapo juu wanapangwa kutumiwa ili kuiletea ushindi CCM,mambo yote na mipango yote ipo uwanjani. Ndio nikasema CCM ipo uchi ,kiswahili sanifu kabisa.
Kuanza kwa kura kwa Zanzibar ni tarehe 27/10/2020 ,baada ya ufuatiliaji na uchunguzi uliojaa tahadhari kwanini imepangwa hivyo,imegundulika vyombo hivyo vimepangwa kupiga kura tarehe 27/10/2020 na hawataweka wino kidole gumba na halafu tena wafaajiriwa wa vyombo hivyo kupiga kura 28/10/2020 kwa maana hio watapiga kura mara mbili kuipaisha CCM kimagumashi.
Hayo yete kwa sasa yapo nje na hakuna Mzanzibari asiesikia na kulijua na bado linazungumzwa .
Suali ni Je Wakuu wa vyombo hivyo wanalielewa hilo kuwa wanataka kuingizwa kwenye mauzauza na hawa CCM waliopo Zanzibar na sio Zanzibar peke yao hawana ubavu wa kuamuru hivyo Vyombo, mambo haya yana baraka za kina Polepole na bashiru na yule kibaraka wao wao aliepo Zanzibar Mabodi,mipango yao imeshajulikana.
Maafande wana muda wa kufuatilia na kuwatia hatiani waliopanga njama hizo, kuvihusisha vyombo vyao na kutaka kufanya udanganyifu. sasa kama ushenzi huu unataka kufanywa yale majilabu ya Afande Siro yapo wapi ? taarifa zimezagaa mitandanoni hivi vyombo vinapakwa mivi na CCM na pia vitu hivyo ni ushahidi kikinuka kimataifa wataingia hatiani kiurahisi,kila mmoja atakuwa anajitetea hamtamuona Bashiru wala Polepole kuwatetea.
Na vizuri mjue balaa lililowakumba CCM Zanzibar kutokana na mgombea wao kutokubalika wacha kwa ujumla wa Zanzibar, ndani ya CCM Zanzibar ni mtihani mara nyingi kumeripotiwa sintofahamu ,hivyo ni vigumu nani yupo na nani,ndio ukaona wanapanga njama usiku asubuhi hata haijafika unakuta habari za kikao na njama zipo mtandaoni.
Msijaribu kuvitia na kuvihusisha vyombo vyenu katika Zanzibar katika kupanga matokea huko hakuna siri ndani ya CCM ,imekuwa sasa hadi picha za wanaopanga mbinu za kuiba na kubadilisha au kucheza na data za uchaguzi kutokea TISS zinawekwa mitandaoni,hio ni aibu na fedheha kubwa,usalama wa taifa hatakiwi hata kupiga au kupigwa picha.