johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Hili swali nimemuuliza kada mkongwe mzee Mgaya lakini majibu aliyonipa yamenitatiza kidogo, amedai huenda CCM kuna Binadamu wengi lakini " watu " ni wachache. Kwa kunifafanulia amesema binadamu huzaliwa lakini mtu hutengenezwa.
Mdau wa siasa wewe unalionaje hili la wapinzani kuhamia CCM na moja kwa moja kupewa fursa ya kugombea nafasi za uongozi?
Maendeleo hayana vyama!
Mdau wa siasa wewe unalionaje hili la wapinzani kuhamia CCM na moja kwa moja kupewa fursa ya kugombea nafasi za uongozi?
Maendeleo hayana vyama!