CCM ina utaratibu wa Wazi wa kupata viongozi wake tofauti na Chadema walioteua wabunge wa viti maalumu faraghani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,826
141,736
Tumeona namna CCM walivyofanikiwa kumpata mgombea wao wa nafasi ya Spika wa bunge la JMT, kwa uwazi kabisa.
Wanachama 71 wamechukua fomu, kamati kuu imekaa na kumpitisha mmoja kwa kauli moja.

Hii ni tofauti na Chadema ambao utaratibu wao hauko bayana.

Kwa mfano Lazaro Nyalandu alilalamika kuwa alishinda kura za kugombea urais kwa tiketi ya Chadema lakini kura zake ndio zikatangazwa za Tundu Lisu.

Dr Mahela wa NEC alisema J J Mnyika Katibu mkuu wa Chadema ndiye aliyempelekea majina 19 ya wabunge wa viti maalumu lakini kamati kuu ya Chadema ikasema haikukaa kikao cha kikatiba kuwapitisha wabunge hao.

Ni wakati sasa wa Chadema kuiga maxuri ya CCM na yale mabaya wawaachie wenyewe.

Maendeleo hayana vyama!
 
Tumeona namna CCM walivyofanikiwa kumpata mgombea wao wa nafasi ya Spika wa bunge la JMT, kwa uwazi kabisa.
Wanachama 71 wamechukua fomu, kamati kuu imekaa na kumpitisha mmoja kwa kauli moja.

Hii ni tofauti na Chadema ambao utaratibu wao hauko bayana.

Kwa mfano Lazaro Nyalandu alilalamika kuwa alishinda kura za kugombea urais kwa tiketi ya Chadema lakini kura zake ndio zikatangazwa za Tundu Lisu.

Dr Mahela wa NEC alisema J J Mnyika Katibu mkuu wa Chadema ndiye aliyempelekea majina 19 ya wabunge wa viti maalumu lakini kamati kuu ya Chadema ikasema haikukaa kikao cha kikatiba kuwapitisha wabunge hao.

Ni wakati sasa wa Chadema kuiga maxuri ya CCM na yale mabaya wawaachie wenyewe.

Maendeleo hayana vyama!
Haya tumekusikia mwana ccm mwenzetu.
 
Tumeona namna CCM walivyofanikiwa kumpata mgombea wao wa nafasi ya Spika wa bunge la JMT, kwa uwazi kabisa.
Wanachama 71 wamechukua fomu, kamati kuu imekaa na kumpitisha mmoja kwa kauli moja.

Hii ni tofauti na Chadema ambao utaratibu wao hauko bayana.

Kwa mfano Lazaro Nyalandu alilalamika kuwa alishinda kura za kugombea urais kwa tiketi ya Chadema lakini kura zake ndio zikatangazwa za Tundu Lisu.

Dr Mahela wa NEC alisema J J Mnyika Katibu mkuu wa Chadema ndiye aliyempelekea majina 19 ya wabunge wa viti maalumu lakini kamati kuu ya Chadema ikasema haikukaa kikao cha kikatiba kuwapitisha wabunge hao.

Ni wakati sasa wa Chadema kuiga maxuri ya CCM na yale mabaya wawaachie wenyewe.

Maendeleo hayana vyama!
Unahakika utaratibu wenu ndio bora?
 
Tumeona namna CCM walivyofanikiwa kumpata mgombea wao wa nafasi ya Spika wa bunge la JMT, kwa uwazi kabisa.
Wanachama 71 wamechukua fomu, kamati kuu imekaa na kumpitisha mmoja kwa kauli moja.

Hii ni tofauti na Chadema ambao utaratibu wao hauko bayana.

Kwa mfano Lazaro Nyalandu alilalamika kuwa alishinda kura za kugombea urais kwa tiketi ya Chadema lakini kura zake ndio zikatangazwa za Tundu Lisu.

Dr Mahela wa NEC alisema J J Mnyika Katibu mkuu wa Chadema ndiye aliyempelekea majina 19 ya wabunge wa viti maalumu lakini kamati kuu ya Chadema ikasema haikukaa kikao cha kikatiba kuwapitisha wabunge hao.

Ni wakati sasa wa Chadema kuiga maxuri ya CCM na yale mabaya wawaachie wenyewe.

Maendeleo hayana vyama!
Lakini juzi tu Wana CCM walionywa anayewaza 2025 nitamwondoa akajiandae vizuri, ikiwa hata kuwaza tu 2025 unafukuzwa kazi, ndio utaratibu mzuri?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Dr Mahela wa NEC alisema J J Mnyika Katibu mkuu wa Chadema ndiye aliyempelekea majina 19 ya wabunge wa viti maalumu lakini kamati kuu ya Chadema ikasema haikukaa kikao cha kikatiba kuwapitisha wabunge hao.
mnyika alivyobanwa akawakana eti hawajui kumbe ni yeye alipeleka majina na kama hakupeleka kwanini haendi kufungua jalada la aliyegushi saini yake
 
Back
Top Bottom