Chama cha Mapinduzi CCM kimeamua kuendelea kuwatumia wastaafu baada ya vijana kiliowaamini kina Ally Hapi, Sabaya, Makonda, Polepole, Bashiru kuwaangusha kiutendaji, na wengine baadhi kukosa radhi na kuanza kuwabeza Wazee kwa matusi kina Musiba, Musukuma, “Nafurahi Wastaafu Kutukanwa”.- Lusinde.
Labda CCM kimeona kiwarudishe wastaafu kwa ajili ya uzoefu wao, lkn tujiulize hao wazee watakuja na mapya yapi ambayo hawakuyafanya wakati wa ujana wao.
Hali hii ipo hata serikalini tunaona watu walewale kina Nehemia Mchechu, Nape wanarudishwa nafasi zilezile walizoshindwa kuzihudumu utadhani hakuna wengine wenye uwezo.
Hii recycling ya watu wale wale Mwinyi & sons, Kikwete & Sons, Nauye & Sons, Kinana & co inaifanya Tanzania iwe kama nchi ya kifalme. Hali hii ya Nepotism hatukuiona kwenye utawala wa Nyerere.
Nepotism is the practice of favoritism based on kinship.
Labda CCM kimeona kiwarudishe wastaafu kwa ajili ya uzoefu wao, lkn tujiulize hao wazee watakuja na mapya yapi ambayo hawakuyafanya wakati wa ujana wao.
Hali hii ipo hata serikalini tunaona watu walewale kina Nehemia Mchechu, Nape wanarudishwa nafasi zilezile walizoshindwa kuzihudumu utadhani hakuna wengine wenye uwezo.
Hii recycling ya watu wale wale Mwinyi & sons, Kikwete & Sons, Nauye & Sons, Kinana & co inaifanya Tanzania iwe kama nchi ya kifalme. Hali hii ya Nepotism hatukuiona kwenye utawala wa Nyerere.
Nepotism is the practice of favoritism based on kinship.