Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu.
Tupo Dodoma kushuhudia vikao na mikutano ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.
Tayari tumewapata maRais kwa upande wa Zanzbar na pia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dr. Hussein Ali Mwinyi na Dr. John Pombe Magufuli.
CCM ina resources nyingi sana za kuendelea kuongoza na kutawala hapa Tanzania :-
1. Wazee waasisi wa Taifa letu
2. Wanachama zaidi ya 40 mil
3. Ina sera na ilani inayogusa na kusolve matatizo ya wananchi
4. Ina pesa na mali
5. Ina uthubutu na maamuzi magumu hasa katika kupokezana vijiti katika uongozi. Hakuna mapapa.
6. Imetekeleza miradi mikubwa sana inayoonekana
7. Imezaliwa upya
Kwa ninayoyaona Dodoma , aisee wajipange hawa Upinzani.
Tupo Dodoma kushuhudia vikao na mikutano ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.
Tayari tumewapata maRais kwa upande wa Zanzbar na pia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dr. Hussein Ali Mwinyi na Dr. John Pombe Magufuli.
CCM ina resources nyingi sana za kuendelea kuongoza na kutawala hapa Tanzania :-
1. Wazee waasisi wa Taifa letu
2. Wanachama zaidi ya 40 mil
3. Ina sera na ilani inayogusa na kusolve matatizo ya wananchi
4. Ina pesa na mali
5. Ina uthubutu na maamuzi magumu hasa katika kupokezana vijiti katika uongozi. Hakuna mapapa.
6. Imetekeleza miradi mikubwa sana inayoonekana
7. Imezaliwa upya
Kwa ninayoyaona Dodoma , aisee wajipange hawa Upinzani.