Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Kufanikisha uwepo wao katikati ya nguvu za serekali, majeshi, bunge na dola vilivyotaka kuifuta lakini wakashindwaBaptist ukikuwa wapi?
Ok hayo maarifa yao yamewasaidia kufanikisha kitu gani?
Hata Magu mwanzoni mlisema anatekeleza sera za chadema
Wewe!
Huoni ushawishi alionao mama baada ya dhalimu wako kufariki?
Si unaona jinsi anavyotenda haki?
Si unaona ccm sasa ina ushawishi hadi miongoni mwa wana chadema,?
Huoni kila kona sasa ni makofi kwa mama?
Wewe ni mataga nini? Kwa nini unakashfu chama cha mama kinachotenda haki namna hii?
Chadema ina maarifa lakini imeshindwa kuwashawishi wananchi waikubali
Magufuli kwenye eneo hilo la kuendesha uchaguzi hakuwa na maarifa hata chembeNdio maana jiwe aliamua kufanyia uchaguzi gizani?