Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,452
- 1,042
Hapo sasa,huyo sugu si tunamteka siku ya kurudisha form,uchaguzi mapema tu dr Tuloa anachukua jimboUsijali mkuu NEC yetu, Polisi wetu, Mkurugenzi wetu, Mkuu wa wilaya wetu, mkuu wa mkoa wetu, Majaji wetu na Mahakama zetu na Magereza pia yetu.
Hivyo hatuhitaji vikaratasi kuchukua jimbo.!